< Thutan Vaihom Ho 19 >

1 Hiche phatlai hi Israelten leng ananei masangu chu ahi. Ephraim thinglhang gamkun’ah Levi mikhat anachengin ahi. Nikhat hi aman Judah gam Bethlehem akon in numei khat athaikem dingin ahin kipuijin ahi.
Katika siku hizo Israeli hawakuwa na mfalme. Basi Mlawi mmoja aliyeishi sehemu za mbali katika nchi ya vilima ya Efraimu, akamchukua suria mmoja kutoka Bethlehemu ya Yuda.
2 Ahinlah amanu hitoh akina-lhonin ahileh Bethlehem ma apa in'ah ana kile kittan ahi. Lha li alhin jouvin,
Lakini suria wake akafanya ukahaba dhidi yake, naye akamwacha akarudi nyumbani kwa baba yake huko Bethlehemu ya Yuda. Baada ya kukaa huko kwa muda wa miezi minne,
3 Ajipa chu Bethlehem jon dingin akipat doh in amanu chu gajol lungdam’a hin kile puikit agot ahi. Aman sangan kopkhat toh alhachapa chu ana kipuijin ahi. Ama ajinu pa in agalhun chun ajinu pa chun ngailutna neitah in anasangin ahi.
mume wake akaenda kumsihi ili arudi. Alikwenda na mtumishi wake na punda wawili. Yule mwanamke akamkaribisha nyumbani mwa baba yake, baba yake alipomwona akamkaribisha kwa furaha.
4 Anupa pachun nichomkhat beh umdingin ana ngehin ahi. Hijeh chun, ama chu nithum anichongin, aneuvin, adonnun chuleh ajan geh un ahi.
Baba mkwe wake, yaani, baba yake yule msichana, akamzuia ili akae, hivyo akakaa na huyo baba mkwe wake kwa siku tatu, wakila, wakinywa na kulala huko.
5 Ni li channi chun amapa chu matah in athouvin cheding akigotan, ahinla anupa pachun amapa komma chun “Nache kah un bu themkhat beh gahne kitnun,” atin ahi.
Siku ya nne wakaamka mapema naye akajiandaa kuondoka, lakini baba wa yule msichana akamwambia mkwewe, “Ujiburudishe kwa kula kitu chochote, ndipo uweze kwenda.”
6 Hijeh chun amani jong atoukit lhonnin themkhat anelhon tan ahi. Hijouchun numeinu pachun hiti hin ahin seikit in, “Jankhat beh gehkit inlang kicholdo kit’un ati.”
Basi wakaketi wote wawili ili kula na kunywa pamoja. Baadaye baba wa msichana akamwambia, “Tafadhali ubakie usiku huu upate kujifurahisha nafsi yako.”
7 Levi pachu akipatdoh in achegotan ahileh anupa pan aum kit nadiuvin angeh teitei jengin ahileh ajona in anom’in jankhat ageh kittai.
Basi yule mtu alipotaka kuondoka baba wa yule msichana akamsihi, basi akabaki usiku ule.
8 Ni nga channin amachu matah in athouvin chedingin akigotai, ahin numeinu pachun, “Nehthei themkhat beh nenlang nilhah lamleh chenauvin nate” tin ahin seikit’in ahi. Hichun amaho chun nehkhomna aneikit’un ahi.
Asubuhi ya siku ya tano, alipoamka ili aondoke, baba wa yule msichana akamwambia, “Jiburudishe nafsi yako. Ngoja mpaka mchana!” Kwa hiyo wote wawili wakala chakula pamoja.
9 Hichejou chun amapa le athaikemnu chuleh alhachapa chu che dingin akigo tauvin ahi, anupapan aseijin, “Ven tuhi nilhah lang hiding ahitai, tujan gehkit inlang nomtah in kicholdon lang jing tengleh matah in athouvin natin na-inlam u jon tauvin nate,” ati.
Basi wakati yule mtu alipoinuka aende zake, pamoja na suria wake na mtumishi wake, baba mkwe wake, yaani, baba wa yule msichana akamwambia, “Tazama sasa jioni inakaribia. Ulale hapa usiku unakaribia. Ukae, ukajifurahishe nafsi yako. Kesho unaweza kuamka mapema asubuhi na uende nyumbani kwako.”
10 Ahinlah tuphat vang'in chetei agotan ahi. Hijeh chun asangan teni leh athaikemnu chu akipuijin Jebus (Hichu Jerusalem) lang ahin jontauvin ahi.
Lakini akakataa kulala tena, akaondoka na kwenda mpaka Yebusi (ndio Yerusalemu), akiwa na punda wake wawili waliotandikiwa, pamoja na suria wake.
11 Jebus anaiphat’in agei thimlheh tan alhachapa chun akom’ah chun “Jebus khopia hin kinga pa uhitin, jan geh taote” ati.
Alipokaribia Yebusi na usiku ukiwa umekaribia, mtumishi akamwambia bwana wake, “Haya sasa natuingie katika mji huu wa Wayebusi tulale humo.”
12 Apakaipan “Hithei ponte Israel mi um nalou gamchom mite khopia igeh theilou diu ahi,” hiche sang chun Gibeah lam ana jonsuh taohite.
Lakini bwana wake akamjibu, “Hapana. Hatutaingia kwenye mji wa kigeni, ambao watu wake si Waisraeli. Tutaendelea mpaka tufike Gibea.”
13 Hungin Gibeah ahilouleh Ramah lhuntei go uhitin hiche khopiho khatpen pennahin gehnao hite” ati.
Akasema, “Haya, tujitahidi tufike Gibea au Rama, nasi tutalala katika mji mmojawapo.”
14 Hitichun achetaove. Gibeah agalhun uchun nisalhum ding kon ahitai, Gibeah chu Benjamin gamsunga khopi khat ahi.
Hivyo wakaendelea na safari, jua likachwea walipokaribia Gibea ambao ni mji wa Benyamini.
15 Hilai mun achun akinga uvin jan-geh ding in akigo tauvin ahi. Koiman ainna lhunsah dinga akoulou jeh uchun hiche khopi lamlen khatna chun akicholnga tauvin ahi.
Wakageuka ili kuingia na kulala Gibea. Wakaingia humo, wakaketi kwenye uwanja wa mji, wala hakuna mtu yeyote aliyewakaribisha kwake ili wapate kulala.
16 Hiche janchun tehse alouva anatohna akon a-inlam hinjonkhat aumin ahi. Amachu Ephraim thinglhang akonna Gibeah a hung kichaolut ahin, hiche khopia chenghohi Benjamin phungmi ahiuve.
Jioni ile mtu mmoja mzee toka nchi ya vilima ya Efraimu, aliyekuwa anaishi huko Gibea (watu wa sehemu ile walikuwa Wabenyamini), akarudi kutoka kwenye kazi za shamba.
17 Amaho chu khopi lamsom’a anatou chu amu phatnin “Hoiya hungkon hoilang jonding nahiuvam?” tin anadongin ahi.
Alipotazama na kuwaona hao wasafiri katika uwanja wa mji, yule mzee akawauliza, “Ninyi mnakwenda wapi? Nanyi mmetoka wapi?”
18 Amapan adonbutnin, “Keiho hi Judah gam Bethlehem’a konna Ephraim thinglhang gamgilla um ka in-mun u jonding kahiuve. Ahinla koiman a-in na lhungding in eikou pouvin ahi.
Akamwambia, “Tumepita kutoka Bethlehemu ya Yuda, tunaelekea katika nchi ya vilima ya Efraimu, ambako ndiko ninakoishi. Nilikwenda Bethlehemu ya Yuda na sasa ninakwenda katika nyumba ya Bwana. Hakuna mtu yeyote aliyenikaribisha katika nyumba yake.
19 Keihon kangaichat diu jouse kanei naove, sangan nehding changpol kaneijun, keiho nehding changlhah le theitui lhingset’in kanei naovin ahi” atiuve.
Tunazo nyasi na chakula cha punda wetu na mkate na divai kwa ajili yetu sisi watumishi wako, yaani mimi, mtumishi wako mwanamke, pamoja na huyu kijana tuliyefuatana naye. Hatuhitaji kitu chochote.”
20 Tehsepu chun, “Kei kommah geh tauvin, keiman nangaichat diu jouse nape naovinge, amavang hiche lamsom’a vang hin jan-geh hihbeh un,” ati.
Yule mzee akawaambia, “Amani iwe kwenu! Karibuni nyumbani mwangu. Nitawapa mahitaji yenu yote, msilale katika uwanja huu wa mji.”
21 Hiti chun a-in na apuijin asangan teni jong chu avahtan ahi. Amahon akeng akisilluva an aneh uva adonjou phat’un,
Hivyo akamwingiza nyumbani mwake na kuwalisha punda wake. Baada ya kunawa miguu yao, wakala na kunywa.
22 Nomsatah a agah umpet laitah un, khopi sunga konchun miphalou honkhat’in inchu ahin umkhum un, kotchu ahin chum’un tehsepu chu ahinsap thouvin, “na in na lhungpa chu hinpui doh in keihon numei bolla kaboldiu ahi” atiuvin ahi.
Walipokuwa wakijiburudisha, watu waovu wa mji huo, wakaizingira ile nyumba. Wakagonga mlango na kusema na yule mzee mwenye nyumba, “Mtoe nje yule mtu aliyeingia kwako, tupate kumlawiti.”
23 Tehsepu chu amaho to kihou dingin apotdoh in aga kihoupin “Ahipoi sopite ho, hitobang thilse chu bolpou hite, ajeh chu amapahi ka-in na lhung kamaljin ahibouve, chutobang thilmelse tah chu bolpoute,
Yule mwenye nyumba akatoka nje na kuwaambia, “Hapana, ndugu zangu msiwe waovu namna hii, ninawasihi. Kwa kuwa huyu mtu ni mgeni wangu msifanye jambo hili la aibu.
24 Veuvin, kachanu nungah thengtah khat leh hiche mipa thaikemnu hi hinpedoh inge nalo lo lotauvin, ahinla hiche mipa chunga vang hin chutobang thilmelse chu bol hihbeh un” ati.
Tazameni, hapa yupo binti yangu ambaye ni bikira na suria wa huyu mtu. Nitawatoleeni hawa sasa, mkawatwae kwa nguvu na kuwafanyia lolote mtakalo. Lakini kwa mtu huyu msimfanyie jambo ovu hivyo.”
25 Ahinlah amahon angaideh pouvin ahi. Hijeh chun Levi pachun athaikemnu chu kotpamma asondoh in ahileh, khopi mitechun amanu chu khovah lhah tokah in kichepnan aneitauvin ahi. Khovah then then chun amanu chu alhakang bep’un ahi.
Lakini wale watu hawakumsikia. Hivyo yule mtu akamtoa yule suria wake nje kwa wale watu, nao wakambaka na kumnajisi usiku ule kucha mpaka asubuhi. Kulipoanza kupambazuka wakamwachia aende.
26 Khovah lhahchun amanu chu ajipa lhunna a chun ahung kilen kotbul aphahchun alhulhop tan khovah lhah geijin ana kijamtan ahi.
Alfajiri yule mwanamke akarudi kwenye ile nyumba bwana wake alikokuwa, akaanguka chini mlangoni, akalala pale hata kulipopambazuka.
27 Ajipan gahpot dinga kotchu ahin honleh athaikemnu chu kotbulla anakijam jengin akhut teni chu tolla anakiphatho jengin ahi.
Bwana wake alipoamka asubuhi na kufungua mlango wa nyumba na kutoka nje ili kuendelea na safari yake, tazama, yule suria wake alikuwa ameanguka pale penye ingilio la nyumba na mikono yake ikiwa penye kizingiti cha chini.
28 Aman “thouvin chetate” atileh adonbut tapon ahi. Hitichun atahsa chu sangan chungah ajamin ain geijin apoluttai.
Akamwambia yule suria, “Inuka, twende.” Lakini hakujibu. Yule bwana akamwinua akampandisha juu ya punda wake, wakaondoka kwenda nyumbani.
29 Ain alhunphatnin, chemkhat alan athaikemnu hub oh somle bohni ason bohkhat cheh chu Israel gampumpia phungkhat cheh chu athot’in ahi.
Alipofika nyumbani, akachukua kisu na kumkatakata yule suria kiungo kwa kiungo, sehemu kumi na mbili, na kuvipeleka hivyo vipande katika sehemu zote za Israeli.
30 Hiche mujouse chun, “Israelten Egypt ahin dalhah uva pat tuni chan geijin hitobang thilmelse hi sohkha hih laijin ahi chule mujong akimu kha hih laiye, hichepi hi gel temun, tuahi ipi ibolluva i-ilodiu hitam? Koiham aseithei ding’ah?” akiti tauvin ahi.
Kila mtu aliyeona akasema, “Jambo la namna hii halijaonekana wala kutendeka, tangu Israeli walipopanda kutoka Misri. Fikirini juu ya jambo hili! Tafakarini juu ya jambo hili! Tuambieni tufanye nini!”

< Thutan Vaihom Ho 19 >