< Joshua 5 >
1 Jordan lhumlamma cheng Amor mite lengho leh Mediterranean panga cheng Canaan mite lenghon Israel mipitehi a Pathennun Jordan vadung asuhkhangpeh’in ahin palgalkai sahtai ti ajahdoh phatnun kichatnan alungthimmu alhulhop gamtauvin ahi.
Basi wafalme wote wa Waamori magharibi ya Yordani na wafalme wote wa Kanaani waliokuwa kwenye pwani waliposikia jinsi Bwana alivyoukausha Mto Yordani mbele ya Waisraeli hata tulipokwisha kuvuka, mioyo yao ikayeyuka kwa hofu, wala hawakuwa na ujasiri kuwakabili Waisraeli.
2 Hiche pettah chu Pakaiyin Joshua kommah “Songhem chu chemcha bangin semminlang Israelte chu akhangni channin achep’u tanpeh’in,” ati.
Wakati huo Bwana akamwambia Yoshua, “Tengeneza visu vya mawe magumu sana na uwatahiri Waisraeli tena.”
3 Hitichun Joshua’n jong songhem chemchan asemmin Israelte chu Gibeath-haaraoth munnah achep’u anatanpeh’in ahi.
Kwa hiyo Yoshua akatengeneza visu vya mawe magumu sana na kutahiri Waisraeli huko Gibeath-Haaralothi.
4 Joshua’n amaho chu achepmu atanpeh louva khoh-a ahi, ajeh chu Egypt ahin dalhah uva galsatthei pasalho jouse chu gamthip gamma anathigam ah ahitauve.
Hii ndiyo sababu ya Yoshua kufanya hivyo: Wanaume wote waliotoka Misri, wote wenye umri wa kwenda vitani, walikufa jangwani wakiwa njiani baada ya kuondoka Misri.
5 Egypt hindalha a pasalho jouse chu achepmu anakitan sohkeija ahiuvin, Ahinlah Egypt ma konna ahungpotdoh uva gamthip noija ahung kholjinnao kumsunga pengho chu achepmu kitan loulai ngen ahiuve.
Watu wote waliotoka Misri walikuwa wametahiriwa, lakini watu wote waliozaliwa jangwani wakiwa safarini toka Misri walikuwa hawajatahiriwa.
6 Israelten Egypt ahin dalhah uva galsatthei jouse athigam kahseuva kum somli sunghi gamthip noija hung kholjinna ahiuve. Ajeh chu amahon Pakai thupeh anitlou jeh’un Pakaiyin khoiju le bongnoi lonna gam pehdinga ateppehnao gamchu alutsahlouna dinga ana kihahsella ahi.
Waisraeli walitembea jangwani miaka arobaini mpaka wanaume wote wale waliokuwa na umri wa kwenda vitani wakati waliondoka Misri walipokwisha kufa, kwa kuwa hawakumtii Bwana. Kwa maana Bwana alikuwa amewaapia kuwa wasingeweza kuona nchi ambayo alikuwa amewaahidi baba zao katika kuapa kutupatia, nchi inayotiririka maziwa na asali.
7 Hijeh chun Joshua’n apateu mun lothei dinga hung kikhanlhit hochu achepmu atanpeh’u ahi. Ajeh chu amahohin gamtepgam ahinjotnauva hi achepmu ana kitan khaloulai ngen ahiuve.
Kwa hiyo akawainua wana wao baada yao na hawa ndio hao ambao Yoshua aliwatahiri. Walikuwa hawajatahiriwa bado kwa sababu walikuwa safarini.
8 Pasal jouse achepmu akitan jehchun amaho adamdoh kahsen ngahmunna chun ana kicholdou taovin ahi.
Baada ya taifa lote kutahiriwa, waliendelea kukaa kambini mpaka walipokuwa wamepona.
9 Hichun Pakaiyin Joshua komma chun “Tunia hi Egypt gamma nasohchan nauva najumnao chu katolmangpeh’u ahitai,” ati. Hijeh a chu hiche mun chu tunichangeija Gilgal kitia ahitai.
Bwana akamwambia Yoshua, “Leo nimeiondoa aibu ya Wamisri kutoka kwenu.” Basi mahali pale pakaitwa Gilgali hadi leo.
10 Israelten Gilgal munna ngahmun asemsungu lhamasa nisomle nili chan nilhahchun Jericho phaichamma kalchuh kut anamangun ahi.
Jioni ya siku ya kumi na nne ya mwezi, wakiwa kambini huko Gilgali katika tambarare za Yeriko, Waisraeli wakaadhimisha Pasaka.
11 Hichejou ajing nikhotah chun agamsungsoh agamga cholsolou changlhah a kisemleh anchang kikang chu anapantauvin ahi.
Siku iliyofuata Pasaka, katika siku ile ile, wakala mazao ya nchi, mikate isiyotiwa chachu na nafaka za kukaanga.
12 Amahon agamsungsoh agamga aneh masat niuvapat chun Manna akimutapon, mujong akimukit mongmong tapon ahi.
Mana ilikoma siku iliyofuata baada ya Waisraeli kula chakula kilichotoka katika nchi; hapakuwa na mana tena kwa ajili ya Waisraeli, ila mwaka huo walikula mazao ya nchi ya Kanaani.
13 Joshua chu Jericho khopi kom agalhun chun akhodah in chunglang agahvetleh akhutna chemjam kichoi mikhat amasanga adinchu amun ahi. Joshua chun ajonlutnin amapa chu ana dongin, “Nanghi eipanpi ding kagol nahim ahilouleh galmi nahim? ati.
Basi wakati Yoshua alipokuwa karibu na Yeriko, akainua macho, akaona mtu aliyesimama mbele yake, akiwa na upanga mkononi uliofutwa kwenye ala. Yoshua akamwendea na kumuuliza, “Je, wewe uko upande wetu au upande wa adui zetu?”
14 Amachun ahindonbutnin “Khatchachu kahipoi, keima Pakai sepaite lamkaija pang tuahi hungkon kahitai,” ati. Hichun Joshua chu tolla abohkhupmin achibeijin, “Ka Pakaiyin nalhacha keima hi ipi neibolsah got ham?” ati.
Akajibu, “La, siko upande wowote, lakini mimi nimekuja nikiwa jemadari wa jeshi la Bwana.” Yoshua akaanguka kifudifudi hadi chini, akasujudu, akamuuliza, “Je, Bwana, una ujumbe gani kwa mtumishi wako?”
15 Pakai sepaite lamkai pachun adonbutnin, “Nakengkoh chu sutlhan ajeh chu nadinna chu muntheng ahi,” ati. Hichun Joshua’n aseibang chun aboltai.
Jemadari wa jeshi la Bwana akajibu, “Vua viatu vyako, kwa maana mahali hapa unaposimama ni patakatifu.” Naye Yoshua akafanya hivyo.