< Joshua 15 >
1 Judah phung sunga chun ainsung dungjui cheh a achandiu chu hitihin akihoppehin ahi. Zin gammanga Edom gamgi lhanglang chu alhangnung penna gamgi chu ahitai.
Ugawanaji wa nchi kwa kabila la watu wa Yuda, walipewa kwa kufuatana na koo zao, kutoka upande wa kusini hadi mpaka wa Edomu, pamoja na nyika ya Sini iliyokuwa mbali sana kuelekea kusini.
2 Chuleh lhanglang gamgichu lhanglang ngat tuikolla pat Chitwilen lang changei ahi.
Mpaka wao wa upande wa kusini ulianzia mwisho wa Bahari ya Chumvi, kutoka ghuba iliyokabili upande wa kusini.
3 Hitichun Akrabbim lhanglang ninga achesuh in Zin gam ahopan, Kadesh-barnea lhanglang ning langa akaltouvin, chuleh Hezron ahopan chuleh Adar langa akaltouvin chuleh Karka vel kollang ahopan ahi.
Mpaka wao mwingine ulielekea upande wa kusini wa mlima wa Akrabimu na kupita kuelekea Sini, na kupanda upande wa Kadeshi Barnea, karibu na Hezroni, hadi Addari mahali ambapo ulipinda kuelekea Karika.
4 Hichea kon chun Azmon lang ajonnin achainan Egypt vadung langa achepeh in Mediterranean twikhanglen changei alhungin ahi. Hichehi amaho lhanglang gamgi chu ahitai.
Ulipita katika Azimoni, kuelekea kijito cha Misri, na mwisho ulikuwa katika bahari. Huu ulikuwa ni mpaka wa kusini.
5 Chutengleh solam gamgichu Chitwilen changei akilhung dohin Jordan kom changeijin achepehin ahi. Sahlang gamkaiya gamgi chu Jordan vadung ola chun akipannin. Chitwilen achun alonglutnin ahi.
Mpaka wa mashariki ulikuwa ni Bahari ya Chumvi, katika mdomo wa Yordani. Mpaka wa upande wa kasikazini ulianzia katika ghuba ya bahari katika mdomo wa Yordani.
6 Beth-hoglah-a konin achetouvin Beth-arabah sahlang geijin ache-in Bohan songphung gei achu gamgi kilhungdoh peh in ahi.(Bohan chu Reuben chapa ahi).
Ulielekea mpaka Bethi Hogla na ulipita kaskazini mwa Bethi Araba. Kisha ulipanda hata JIwe la Bohani mwana wa Rubeni.
7 Hichea patna gamgi chu Achor phaicham Dabir la konna chetoupeh a Gilgal langa chetouva ahi. Hichehi Adummin kaltouna masang ahi. Gamgi chu En-shamesh tuitah geijin achepeh in En-rogel munnah akichaijin ahi.
Basi mpaka ule ulienda hadi Debiri kutoka katika bonde la Akori, kuelekea upande wa kasikazini, kuendelea hadi Giligali, ambayo iko mkabala na mlima Adumimu, iliyo upande wa kusini wa bonde. Kisha mpaka uliendelea hata katika chemichemi za Eni Shemeshi na kufika Eni Rogeli.
8 Gamgi chun Ben Hinnom phaicham chu apal galkaijin erusalem khopi kitundohna munlang Jebus mite chenna lhangsuh a chun akilhungdoh peh in ahi.
kisha mpaka ulishuka hadi bonde la Beni Hinomu kuelekea upande wa kusini wa mji wa Wayebusi ( ambao ni Yerusalemu). Kisha ulipanda hata katika mlima ulio juu ya bonde la Hinomu, katika upande wa magharibi, ulio mwishoni mwa bonde la Refaimu katika upande wa kasikazini.
9 Hicheakon chun gamgi molsang chung vumma kon in ahung kijidoh in, Nephtoah tuiputna changeijin achetoupeh in, hichea kon chun Ephron lhang khopiho changeijin akilhunglutnin ahi. Hicheakon chun Baalah (Hichu Kiriath-jearim akiti’e) akiheilut’a ahi.
Kisha mpaka ulitanuka kutoka katika kilele cha milima hata chemichemi ya Nefutoa, na ulipanda kutoka hapo kuelekea miji ya Mlima Efroni. Kisha mpaka ulipiga kona kuelekea Baala ( ambao ndio Kiriathi Yearimu).
10 Gamgi chun Baalah lhumlam avellin Seir thinglhang chu ajonlutnin, Jearim molsang sahlama Kesalon khopi sung ahohpan, chuin Beth-shemesh langa akigolsuh in, Timnah lang ajotpaije
Baadaye mpaka ulizunguka kuelekea magharibi mwa Baala kukabili Mlima Seiri, na kupita kufuata upande wa Mlima wa Yearimu katika upande wa kasikazini (ambao ndio Kesaloni), ulienda chini hadi Bethi Shemeshi na kuvuka hata ng'ambo ya Timna.
11 Hichea konchun gamgi chu Ekron sahlang thinglhang chu ajonlutnin hichea kon chun Shikkeron leh Baalah lhanglang ajonnin ahi. Hichebanna chun Jabneel ahohpan Mediterranean twikhanglennah akichaijin ahi.
Mpaka uliendelea karibu na mlima wa kasikazini mwa mlima wa Ekroni, na kisha ukakata kona kuzunguka Shikeroni na kupita kuelekea sambasamba na Mlima Baala, kutoka hapo uliendelea hadi Yabneeli. Mpaka ule ulikomea katika bahari.
12 Lhumlam gamgi chu Mediterranean twikhanglenpangjui chu ahipehe. Hichehi Juda phung bahkaiho gamgi chu ahi.
Mpaka wa magharibi ulikuwa Bahari Kuu na katika ukanda wa pwani yake. Huu ndio mpaka uliozunguka kabila la Yuda, ukoo kwa ukoo.
13 Pakaiyin Judah gambihkhatchu Jephunneh chapa Caleb apehdingin Joshua chu thu apen ahi. Hijeh chun Caleb chu Kiriath-arba (Hebron tina ahi) khopichu apen ahi. Hiche Hebron hi Anak apu apateu minkhatna anakiminvo ahi.
Katika kulitunza agizo la Yahweh kwa Yoshua, Yoshua alimpa Kalebu mwana wa Yefune mgao wa nchi ya. miongoni mwa kabila la Yuda, alimgawia nchi Kiriathi Arba, ambayo ndio Hebroni (Arba alikuwa ni baba wa Anaki).
14 Caleb chun Anak chate Sheshai, Ahiman leh Talmai chilhah hon thum hochu ana no doh in ahi.
Kalebu aliwafukuzia mbali wana watatu wa Anaki: Sheshai, Ahimani na Talmai, wazawa wa Anaki.
15 Hichea kon chun Debir khopi (tumasanga chu Kiriath-sepher kiti ahi) achengte galkisatpi din anakontai.
Alipanda kutoka pale kinyume cha wenyeji wa Debiri (Debiri hapo mwanzo iliitwa Kiriathi Seferi).
16 Caleb min aseijin, “Koi hileh Kiriath-sepher nokhumna galla galjou penchu kachanu Acsah akichen pidinga kapeh ding ahi” ati.
Kalebu akasema, “Mtu atakayeishambulia Kiriathi Seferi na kuiteka, nitampa binti yangau, Akisa, awe mke wake.
17 Caleb sopipa Kenaz chapa Othniel chun aga joutan ahileh Acsah chu Othniel ji ahung hitai.
Wakati huo Othinieli mwana wa Kenazi, kaka yake na Kalebu, aliuteka mji, na Kalebu alimpatia Akisa, binti yake awe mke wake.
18 Acsah in Othniel akichenpi chun amanun apa komma loumun khat thumdin ajipa chu angeh in ahi. Amanu asangan chunga konna akum lhahchun Caleb in “Ipi nadeiham?” tin anadonge.
Mara baada ya hayo, Akisa alienda kwa Othinieli na alimsihi amwombe baba yake shamba. Na mara aliposhuka kutoka katika punda wake, Kalebu alimwambia Akisa, “Unataka nini?”
19 Amanun aseijin, “Negev ma gamkhat bon neipeh ahitahleh twinah khatjong neipehthan ati.” Hitichun Caleb injong sahlang twinah leh lhanglang twinah khat apen ahi.
Akisa akamjibu, “Nifanyie neema. Kwa kuwa umeshanipa nchi ya Negevu, nipe pia baadhi ya chemichemi za maji.” Na Kalebu alimpa chemichemi ya juu na chemichemi ya chini.
20 Hichehi Judah phungin abahkai abahkai dungjuija ainsung chehuva achenna diuva kipe munchu ahi.
Huu ulikuwa ndio urithi wa kabila la Yuda, waliopewa kufuatana na koo zao.
21 Judah khopihochu Edom gamgi chin anoinung penna umhochu: Kabzeel, Eder, Jagur,
Miji iliyo mali ya kabila la Yuda katika upande wa kusini, kuelekea mpaka wa Edomu, ilikuwa ni Kabzeeli, Eda, Yaguri,
22 Kinah, Dimonah, Adadah,
Kina, Dimona, Adada,
23 Kedesh, Hazor, Ithnan,
Kadeshi, Hazor, Ithinani,
25 Hazor-hadattah, Kerioth-hezron (Hichu Hazor tina ).
Hazori Hadata, Keriothi Hezroni (mji huu ulijulikana kama Hazori),
27 Hazar-gaddah, Heshmon, Beth-pelet,
Hazari Gada, Heshimoni, Bethi Peleti,
28 Hazar-shual, Beersheba, Biziothiah,
Hazari Shuali, Beerisheba, Biziothia.
30 Eltolad, Kesil, Hormah,
Eltoladi, Kesili, Horma,
31 Ziklag, Madmannah, Sansannah,
Ziklagi, Madimana, Sansana,
32 Lebaoth, Shilhim, Ain chuleh Rimmon–agoma khopi somni le ko chule avella khojouse ahi.
Lebaothi, Shilihimu, Aini, na Rimoni. Miji hii ilikuwa ishirini na tisa kwa ujumla, kujumlisha na vijiji vyake.
33 Lhumlam molbulla um khopi ho chengse jonghi Judah anakipe hochu ahiuve: Eshtaol, Zorah, Ashnah,
Katika nchi iliyo chini ya mlima upande wa magharibi, kulikuwa na miji ya Eshtaoli, Zora, Ashina,
34 Zanoah, En-gannim, Tappuah, Enam,
Zanaoa, Eni Ganimu, Tapua, Enamu,
35 Jarmuth, Adullam, Socoh, Azekah,
Yarmuthi, Adulamu, Soko, Azeka,
36 Shaaraim, Adithaim, Gederah chuleh Gederothaim – khopi somleli toh avella khoho jouse ahi.
Shaaraimu, Adithaimu, na Gedera ( ambayo ndio Gederothaimu). Hesabu ya miji hii ilikuwa ni kumi na nne, pamoja na vijiji vyao.
37 Hiche tilou vinjong, Zenan, Hadashah, Migdal-gad,
Zena, Hadasha, Migidagadi,
38 Dilean, Mizpeh, Joktheel,
Dileani, Mizipa, Yokitheeli,
39 Lachish, Bozkath, Eglon,
Lakishi, Bozikathi, Egloni.
40 Cabbon, Lahmam, Kitlish,
Kaboni, Lahmamu, Kitilishi,
41 Gederoth, Beth-dagon, Naamah chuleh Makkedah – khopiho somlegup avella khojouse jong ahi.
Gederothi, Bethi Dagoni, Naama, Makeda. Hesabu ya miji hii ilikuwa kumi na sita, kujumlisha na vijiji vyao.
42 Hiche tilouvin jong, Libnah, Ether, Ashan,
Libna, Etheri, Ashani,
43 Iphtah, Ashnah, Nezib,
Ifuta, Ashina, Nezibu,
44 Keilah, Aczib chule Mareshah – khopi ko holeh avella khoho jouse ahiuve.
Keila, Akizibu, na Maresha. Hii ilikuwa ni miji tisa, kujumlisha na vijiji vyao.
45 Judah phung miten atoupha diuva kipe gamho chu Ekron leh avella khoho jong ahopmin ahi.
Ekroni, pamoja na miji na vijiji vyake vinavyoizunguka;
46 Ekron na kon chun lhumlam gamgi chin geijin akijedohin Ashdod komma khogeiho leh khoho jouse jong ahop’in ahi.
kutoka Ekroni kuelekea Bahari Kuu, makazi yote ambayo yalikuwa karibu na Ashidodi, pamoja na vijiji vyake.
47 Ashdod avella khojouse chule Gaza le asunga khohojouse, Egypt vadung leh Mediterranean twikhanglen pang changei ahopmin ahi.
Ashidodi, na miji na vijiji vyake vinavyoizunguka; Gaza na miji na vijiji vyake vinavyoizunguka; hata kufika kijito cha Misri, na kuelekea Bahari Kuu pamoja na ukanda wake wa pwani.
48 Judah chanchu noija thinglhang khopiho: Shamir, Jattir, Socoh,
Katika nchi ya milima, kuna miji ya Shamiri, Yatiri, Soko,
49 Dannah, Kiriath-sannah (Hichu Debir tina),
Dana, Kiriathi Sana (ambayo ndio Debiri),
51 Goshen, Holon chuleh Giloh – khopi somlekhat toh avella khoho ahiuve.
Gosheni, Holoni, na Gilo. Hii ilikuwa ni miji kumi na moja, kujumuisha na vijiji vyake.
52 Chukitleh Arab khopi ho jong ahop in ahi: Dumah, Eshan,
Arabu, Duma, Ehani,
53 Janim, Beth-tappuah, Aphekah,
Yanimu, Bethi Tapua, Afeka,
54 Humtah, Kiriath-arba (hichu Hebron tina), chuleh Zior – khopi koleh avella khoho ahiuve.
Humta, Kiriathi Arba (ambayo ndio Hebroni), na Ziori. Hii ilikuwa miji tisa, pamoja na vijiji vyake.
55 Hichetilou jongchun, Maon, Carmel, Ziph, Juttah,
Maoni, Karmeli, Zifu, Yuta,
56 Jezreel, Jokdeam, Zanoah,
Yezreeli, Yokdeamu, Zanoa,
57 Kain, Gibeah chuleh Timnah – khopi som leh vella khoho ahiuve
Kaini, Gibea, na Timna. Hii ilikuwa ni miji kumi, kujumuisha na vijiji vyake.
58 Hiche banna jong chun Halhul, Beth-zur, Gedor,
Halhuli, Bethi Zuri, Gedori,
59 Maarath, Beth-anoth chuleh Eltekon – khopi gup leh vella khoho ahiuve.
Maarathi, Bethi Anothi, na Elitekoni. Hii ilikuwa miji sita, pamoja na vijiji vyake.
60 Kiriath-baal (Hichu Kiriath-jearim tina ahi) chuleh Rabbah – khopi ni leh avella khoho ahiuve.
Kiriathi Baali (ambayo ndio Kiriathi Yearimu), na Raba. Hii ilikuwa ni miji miwili, pamoja na vijiji vyake.
61 Gamthip gamma khopiho chun Beth-arabah, Middin, Secacah,
Katika nyika, kulikuwa na miji ya Bethi Araba, Midini, Sekaka,
62 Nibshan, Chi khopi len chule En-gedi – khopi gup leh vella khoho ahiuve.
Nibushani, mji wa chumvi, na Eni Gedi. Hii ilikuwa miji, pamoja na vijiji vyao.
63 Ahin Judah phungin Jerusalem ma cheng Jebu mite ana nodoh joupouvin, hijeh chun tuni chan geijin Jebu mitehi Judah te toh acheng khom jengun ahi.
Lakini kwa Wayebusi, wenyeji wa Yerusalemu, kabila la Yuda halikuweza kuwafukuza, na hivyo, Wayebusi wanaishi pamoja na kabila la Yuda hadi leo hii.