< Job 3 >

1 Thilsoh hijat nung hin Job akamkan apen nikho agaosap tai.
Baada ya hayo, Ayubu akafunua kinywa chake na kuilani siku aliyozaliwa.
2 Job in aseijin,
Akasema,
3 “Kapen nikho le keima mihem a kahung kijil na jan chu chulmangin umhen,
“Na ipotelee mbali siku niliyozaliwa mimi, usiku uliosema, 'Mimba ya mtoto wa kiume imetungwa.'
4 Hiche nikho chu muthim soh jeng hen, Chung Pathen a ding jengin jong mang helhen, chule khovah in salvah hih helhen.
Siku hiyo na iwe giza; Mungu toka juu asiifikilie, wala mwanga usiiangazie.
5 Hiche nikho chu muthim khojinin kitom mang jeng hen, meivomin khu jeng hen chule muthim chun kichat tijat sah hen.
Ishikwe na giza na giza la mauti liwe lake. Wingu na likae juu yake; kila kitu kiifanyacho siku kuwa giza kweli na kiitishe.
6 Hiche jan chu nikho kisimna a konin kichop mang jeng hen, kum sunga nikho kisimna a avellin kisimtha kit tahih hel hen, lha kisimna holah a jong avellin hung kilang lut hihhen.
Usiku huo, na ukamatwe na giza tororo. Usihesabiwe miongoni mwa siku za mwaka; na usiwekwe katika hesabu ya miezi.
7 Hiche jan chu nao kijil theilouna jan hihen.
Tazama, usiku huo na uwe tasa; na sauti ya shangwe isiwe ndani yake.
8 Gaosap them Leviathan suthou thei khop a gaosap them hon hiche ni chu gaosap uhen.
Na wailani siku hiyo, hao wafahamuo namna ya kumuamsha lewiathani.
9 Hiche nikho chule jingvalpa jong thim den hen, vahding kinem hen lang ahinlah pannabei hihen lang jingkah khovah jong muhih beh hen.
Nyota za mapambazuko yake zitiwe giza. Siku hiyo iutafute mwanga, lakini isiupate; wala makope ya mapambazuko isiyaone,
10 Kanu naobu khah louva anakoi nikho chu gaosap in umhen, leiset gim gentheina jouse mudinga eina pen sah jeh chun.
kwasababu haikuifunga milango ya tumbo la mama yangu, na kwasababu haikunifichia taabu machoni pangu.
11 Ipijeh a athisa a kanapen louham? Kanu naobu a konna kahung doh a chu kana thilou ham?
Kwanini si-kufa wakati lipotokeza katika tumbo la uzazi? Kwanini sikuitoa roho yangu hapo mama aliponizaa?
12 Ibola kanu phei chunga chu eina kilup sah ham? Ipi bolla kanun anoija eina vah ham?
kwanini magoti yake yalinipokea? Kwanini maziwa yake yanipokee hata ninyonye?
13 Kahung pen chun ana thiden leng kei tua hi lungmong tah a kauma kaimutna kicholdo tadinga.
Kwa sasa ningelikuwa nimelala chini kimya kimya. Ningelala usingizi na kupata pumziko
14 Leiset leng le prime minister oupe u oupe tah tah mangthahsa hotoh kicholdo khoma kium dinga.
pamoja na wafalme na washauri wa dunia, ambao walijijengea makaburi ambayo sasa ni magofu.
15 Sana haotah tah le ain sungu dangka dimset ho chutoh kichodo khom tading.
Au Ningelikuwa nimelala pamoja na wakuu wenye dhahabu, waliozijaza nyumba zao fedha.
16 Athisa a peng chapang holeh naosen khovah mukhalou ho banga eina kivui den lou ham?
Au pengine ningekuwa sijazaliwa, kama watoto wachanga wasio uona mwanga kabisa.
17 Mithisa ho lah a chun miphalou in hahsatna asosah tah lou jeh chun thachol jouse aki choldo tai.
Huko waovu huacha kusumbua; huko waliochoka hupumzika.
18 Thikhol khulla chun sohchang kihen ho jong angah a pangpa sapsetna ajatapouve.
Huko wafungwa kwa pamoja hupata amani; hawaisikii sauti ya msimamizi wa watumwa.
19 Mihao leh migenthei aum khomun chule soh jong apupa a konin a ongthol tai.
Wote wadogo na watu maarufu wako huko; mtumishi yuko huru kwa bwana wake huko.
20 Ipi dinga migentheipa hi khovah kimusah a migentheipa hi hinkho kipea ham?
Kwa nini yeye aliye mashakani kupewa mwanga? Kwa nini hao wenye uchungu moyoni kupewa uhai,
21 Thiding angaicha lheh uvin ahinlah thina chu ahung lhung pon, gou kiselguh sangin ngahlel tah in ahol un ahi.
ambao hutamani mauti lakini hawapati; ambao huyachimbulia mauti zaidi ya kutafuta hazina iliyofichika?
22 Gentheina jouse athoh chai uva athi teng uleh kipana adimset jiuvin lhankhuh amu teng uleh akipah jiuve.
Kwa nini kupewa mwanga ambao hushangilia mno na kufurahi walionapo kaburi?
23 Akhonung ding neilou Pathen in hahsatna dimsetna aumkhum ho chu hinkho kipeuva ham?
Kwanini kupewa mwanga mtu ambaye njia zake zimefichika, mtu ambaye Mungu amemzungushia uwa?
24 Khoisatna ding kanei theipon, kathoh hahsat hohi twi bangin akisung lhai.
Kwa kuwa kushusha kwangu pumzi kwatokea badala ya kula; kuugua kwangu kumemiminika kama maji.
25 Keiman kaki chat pen ipi ham khat kachunga asoh in, hatah a kakichat leh kalung gimna pen ahung lhung tai.
Maana jambo lile niliogopalo limenipata; nalo linitialo hofu limenijilia.
26 Lungmonna kanei poi, thipbeh cha umna kanei poi, choldona kanei pon, boina le hahsatna bou ahung ji'e.”
Mimi sioni raha, sipati utulivu, na sipati pumziko; badala yake huja taabu.”

< Job 3 >