< Job 26 >
1 Hichun Job in thu aseikit in:
Kisha Ayubu akajibu:
2 Thabei chu nangin iti nana kithopi ham? Atha lhasam chu iti naki thopi ham?
“Tazama jinsi ulivyomsaidia mtu asiye na uwezo! Jinsi ulivyouokoa mkono ulio dhaifu!
3 Kangolna hi iti nahetdoh sah thei ding ham? Ipi chihna chu neihil khah em?
Ni shauri gani ulilompa yeye asiye na hekima? Nayo ni busara gani kubwa uliyoonyesha!
4 Hitobang chihna thusei hohi hoiya nakilah ham? Koi lhagauvin nanga konna thu asei ham?
Ni nani aliyekusaidia kutamka maneno hayo? Nayo ni roho ya nani iliyosema kutoka kinywani mwako?
5 Athisa twitonoija umho chu akithinge.
“Wafu wako katika maumivu makuu, wale walio chini ya maji na wale waishio ndani yake.
6 Pathen masanga chun noimigam jong akeu ahi, manthahna mun chu akihol doh tai. (Sheol )
Mauti iko wazi mbele za Mungu; Uharibifu haukufunikwa. (Sheol )
7 Pathen in van sahlang kai chu onghom laiya ahin khang doh in chule leiset chu imacha umlouna ah akhaije.
Hutandaza anga la kaskazini mahali patupu; naye huiningʼiniza dunia mahali pasipo na kitu.
8 Aman go chu meilhang satah in atom in chule agih a chun apohkeh dehpoi.
Huyafungia maji kwenye mawingu yake, hata hivyo mawingu hayapasuki kwa uzito wake.
9 Aman lha chu amai atompeh in ameilhang ho a chun akhumin ahi.
Huufunika uso wa mwezi mpevu, akitandaza mawingu juu yake.
10 Aman leisetna konna twi achom khenna chu kolmong ana semdoh ahi. Sunle jan gamgi asempeh ahi.
Amechora mstari wa upeo juu ya uso wa maji, ameweka mpaka wa nuru na giza.
11 Van khombul ho akiling in aman asapset teng akithing tuntun jin ahi.
Nguzo za mbingu nazo zatetemeka, zinatishika anapozikemea.
12 Ama thahat in twikhang len thipchet in aumin athilbol theina in twikhanglen'a ganhing len chu asuhchip ahi.
Kwa nguvu zake aliisukasuka bahari; kwa hekima yake alimkata Rahabu vipande vipande.
13 Alhagauva vanho hoitah a asem ahi. Athaneina a gulpi kilap lele chu asutpai ahi.
Aliisafisha anga kwa pumzi yake; kwa mkono wake alimchoma joka aendaye mbio.
14 Athilbol ho lah a hicheho hi akipatna mai mai bou ahi nalaije. Athilboltheina husa mai mai bou ahin kon hitia chu van kithin thahatna chu ahet thei ding ham?
Haya ni mambo madogo tu katika matendo yake; tazama jinsi ulivyo mdogo mnongʼono tunaousikia kumhusu! Ni nani basi awezaye kuelewa ngurumo za nguvu zake?”