< Jeremiah 46 >

1 Namtin vaipi chung changa Pakai thusei ho, Jeremiah themgao heng ahung lhung in;
Hili ni neno la Bwana lililomjia nabii Yeremia kuhusu mataifa:
2 Egypt chung chang thudol asei chu, Judah gam’a Josiah chapa Jehoiakim lengvaipoh kal kumli na-ah, Ephrates vadung pang’a, Carchemish galmun’a, Babylon lengpa Nebuchadnezzar in Egypt lengpa Pharaoh Neco leh asepaite chunga agaljona chu, hitin aseiye.
Kuhusu Misri: Huu ni ujumbe dhidi ya jeshi la Farao Neko mfalme wa Misri, lililoshindwa huko Karkemishi kwenye Mto Frati na Nebukadneza mfalme wa Babeli, katika mwaka wa nne wa utawala wa Yehoyakimu mwana wa Yosia mfalme wa Yuda:
3 Nangma cheh in lum kisemtup unlang, galmun chu manotauvin,
“Wekeni tayari ngao zenu, kubwa na ndogo, mtoke kwa ajili ya vita!
4 Sakol ho chunga pho sepdoh unlang, sakol chunga toudoh uvin. Na thih-lukhuh kikhuh unlang, nagalvon hou kisemtup uvin.
Fungieni farasi lijamu, pandeni farasi! Shikeni nafasi zenu mkiwa mmevaa chapeo! Isugueni mikuki yenu, vaeni dirii vifuani!
5 Amavang, keiman ipi kamum? Egypt sepaite kichatah in anungjam tauve. Alah uva gal hangpen hojong, tijalih leuvin hung kinunghei louhel in, ajammang tauve, tin Pakaiyin aseiye.
Je, ninaona nini? Wametiwa hofu, wanarudi nyuma, askari wao wameshindwa. Wanakimbia kwa haraka pasipo kutazama nyuma, tena kuna hofu kuu kila upande,” asema Bwana.
6 Alhai jangkhaipen ho jong ajamdoh aumpon, Gal hangpen hojong atoldoh aumpouve. Amaho chu sahlamgam’a Ephrates vadunbg panga, akipallhu gam uvin, abonchauvin akijam chap gamtauve.
Walio wepesi na wenye mbio hawawezi kukimbia, wala wenye nguvu hawawezi kutoroka. Kaskazini, kando ya Mto Frati, wanajikwaa na kuanguka.
7 Koi ho ham, Nile vadung twisoh khang teltul banga khang a, gamtin hinchup soh chu?
“Ni nani huyu ajiinuaye kama Mto Naili, kama mito yenye maji yanayofanya mawimbi?
8 Egypt mite ahiuve. Twisoh bangin amahon gamjouse achupsoh uvin, khopi holeh asunga cheng ho jouse asumang gamtauve.
Misri hujiinua kama Mto Naili, kama mito yenye maji yanayofanya mawimbi. Husema, ‘Nitainuka na kufunika dunia, nitaiangamiza miji na watu wake.’
9 Manouvin, nangho sakol ho leh kangtalai ho, Galhang sepaite hung uvin hung delkhom un! Nangho Ethiopia leh Libya chule Lydia miho, thalpi kap themho leh lumdal themho hung uvin, atiuve.
Songeni mbele, enyi farasi! Endesheni kwa ukali, enyi magari ya farasi, Endeleeni mbele, enyi mashujaa: watu wa Kushi na Putu wachukuao ngao, watu wa Ludi wavutao upinde.
10 Ajeh chu hiche hi Pakai nikho ahin, amelmate chunga hatching nung Pakai phulah nikho ahi. Chemjam in aban satchap diu, athisan u adonkham leuva chimset ding; Tunia hi, sahlam gam’a Euphrates vadung panga Hatchungnung Pakaiyin, kilhaina gantha khat anei ahi.
Lakini ile siku ni ya Bwana, Bwana Mwenye Nguvu Zote, siku ya kulipiza kisasi, kisasi juu ya adui zake. Upanga utakula hata utakapotosheka, hadi utakapozima kiu yake kwa damu. Kwa maana Bwana, Bwana Mwenye Nguvu Zote, atatoa dhabihu kwenye nchi ya kaskazini, kando ya Mto Frati.
11 Vo nungah theng, Egypt chanu! Gilead a kaltouvin lang, kijen nading lou gahol in; Amavang nakijenna lou le ai hochun nadamsah joulou ding ahi.
“Panda hadi Gileadi ukapate zeri, ee Bikira Binti wa Misri. Lakini umetumia dawa nyingi bila mafanikio; huwezi kupona.
12 Namtin in najumna thuho ajasoh tan, Leiset chung hi naka ogin adimsohtai. Na galhang penho jong amaho leh amaho akipalhhu gam un, abonchauvin alhuchap gamtauve, ati.
Mataifa yatasikia juu ya aibu yako, kilio chako kitaijaza dunia. Shujaa mmoja atajikwaa juu ya mwingine, nao wataanguka chini pamoja.”
13 Chuin Pakaiyin Jeremiah themgao henga, Egypt mite sat dinga Nebuchadnezzar lengpa kigotna chu aseipih in, hitin ati.
Huu ndio ujumbe Bwana aliomwambia nabii Yeremia kuhusu kuja kwa Nebukadneza mfalme wa Babeli ili kuishambulia Misri:
14 Egypt gamsunga samphong uvin, Migdol leh Memphis chule Tahpanhes khopi ho’a, gaphongjal uvin. Galsat dingin kigosan um uvin, ajeh chu nakimvel uva miho chu chemjam in asatgam soh hel ding ahiuve.
“Tangaza hili katika Misri, nawe ulihubiri katika Migdoli, hubiri pia katika Memfisi na Tahpanhesi: ‘Shikeni nafasi zenu na mwe tayari, kwa kuwa upanga unawala wale wanaokuzunguka.’
15 Nagal hangteu ibol a lhulham’u hitam? Ajeh chu amaho adinjou lou nadiuva, Pakaiyin ajeplhuh gam u ahitai.
Kwa nini mashujaa wako wamesombwa na kupelekwa mbali? Hawawezi kusimama, kwa maana Bwana atawasukuma awaangushe chini.
16 Amaho khat leh khat akipallhu tou uvin, akiseplhu gam tauve. Chule amaho chu akihouvun,” Hung uvin ipennau gam’a imiteu koma kilekit tauhite. Chule melmapa chamjam’a kon’in jamdoh tauhite, akitiuve.
Watajikwaa mara kwa mara, wataangukiana wao kwa wao. Watasema, ‘Amka, turudi kwa watu wetu na nchi yetu, mbali na upanga wa mtesi.’
17 Chutah le amahon, “Egypt lengpa Pharaoh, mi kamtam mi hoitho,” tia aminvo diu ahi.
Huko watatangaza, ‘Farao mfalme wa Misri ni makelele tu, amekosa wasaa wake.’
18 Lengpa, Hatchungnung Pakai chun aseiye, “Keima hingjing kahi! Egypt doudin Tabor molsang tobang leh twikhanglen panga Carmel molsang tobang, mikhat ahunge;
“Kwa hakika kama niishivyo,” asema Mfalme, ambaye jina lake ni Bwana Mwenye Nguvu Zote, “mmoja atakuja ambaye ni kama Tabori miongoni mwa milima, kama Karmeli kando ya bahari.
19 Vo Egypt mite, nathil kigottup unlang, sohchanga chemang dingin gotsan um uvin! Ajeh chu Memphis khopi kisumang a, asunga acheng beihel a khogem’a umding ahitai.
Funga mizigo yako kwenda uhamishoni, wewe ukaaye Misri, kwa kuwa Memfisi utaangamizwa na kuwa magofu pasipo mkazi.
20 Egypt khu bongla hoitah tobang ahin; Ahinlah sahlam gamkaiya kon in sel-lhip ahung leng in achunga achutai.
“Misri ni mtamba mzuri, lakini kipanga anakuja dhidi yake kutoka kaskazini.
21 Egypt ten athalah u sepaite jong, pannabei bongnou thaochet abangun; Amaho galsat din apang ngamtapouve, akileheiyun ajamtauve. Ajeh chu Egypt chunga gotna nasatah ahung lhung in, amanthah nikhou ahunglhungtai.
Askari wake waliokodiwa katika safu zake wako kama ndama walionenepeshwa. Wao pia watageuka na kukimbia pamoja, hawataweza kuhimili vita, kwa maana siku ya msiba inakuja juu yao, wakati wao wa kuadhibiwa.
22 Egypt mite chu gul kitholo bangin ajammangtauve. Melma sepaite chu, amanu doudin hiche pan in ahung kitol lut uvin, thingphung kiphuhlhu bangin atuchap jengtauve.
Misri atatoa sauti kama ya nyoka anayekimbia kadiri adui anavyowasogelea na majeshi, watakuja dhidi yake wakiwa na mashoka, kama watu wakatao miti.
23 Pakaiyin aseiye, “Amanu leh amite chu, melmaten thingphung kiphuhchap banga aphuh chap diu; Ajeh chu amaho chu khaokote sanga tamjo hungkon ahiuve.
Wataufyeka msitu wake,” asema Bwana, “hata kama umesongamana kiasi gani. Ni wengi kuliko nzige, hawawezi kuhesabika.
24 Egypt mite kijumso ahitauve. Amaho chu sahlam’a hung kipan miho khutna pehdoh ahitauve.
Binti wa Misri ataaibishwa, atatiwa mikononi mwa watu wa kaskazini.”
25 Hatchungnung Pakai, Israel Pathen in aseiye, “Keiman Thebes mite Pathen Amon leh Egypt mite Pathen chom lengpa Pharaoh leh anung juite jouse talen kamatsah ding ahi.
Bwana Mwenye Nguvu Zote, Mungu wa Israeli, asema: “Nakaribia kuleta adhabu juu ya Amoni mungu wa Thebesi, na juu ya Farao, Misri na miungu yake, na wafalme wake, pamoja na wale wanaomtegemea Farao.
26 Keiman, amaho thading gojing, Babylon lengpa Nebuchadnezzar leh asepaite khut a kapehdoh ding ahi. Amavang, khonung tengle, masanga banga kiledoh kit dingu ahi, tin Pakaiyin aseiye, ati.
Nitawatia mikononi mwa wale wanaotafuta uhai wao, yaani Nebukadneza mfalme wa Babeli na maafisa wake. Hatimaye, hata hivyo, Misri itakaliwa kama nyakati zilizopita,” asema Bwana.
27 Hijongle kalhacha Jacob, nangma kichahih in; Lung jong lungthoi hih in Israel. Ajeh chu keiman gamla tah’a kon’a nangma kahin lepuikit ding, chule nachilhah’te jong asohchan nauva kon’a hung kile diu ahi. Chuteng koiman Israel chu asuh kichat tah louding, lungmong tah’a chengding ahiuve.
“Usiogope, ee Yakobo mtumishi wangu, usifadhaike, ee Israeli. Hakika nitakuokoa kutoka nchi za mbali, uzao wako kutoka nchi ya uhamisho wao. Yakobo atakuwa tena na amani na salama, wala hakuna hata mmoja atakayewatia hofu.
28 Kicha hih in, vo kalhacha Jacob, keiman nangma kaumpinai, tin Pakaiyin aseiye. Keiman nangho sohchanga kathechah nau namtin vaipi chu kasuhmang hel ding; Amavang nangho kahoidoh ding nahiuve. Keiman nangho thudihtah a kasuh dih ding, ahinla talen manlouva kakoi louhel ding nahiuve, ati.
Usiogope, ee Yakobo mtumishi wangu, kwa maana mimi niko pamoja nawe,” asema Bwana. “Ingawa nitayaangamiza kabisa mataifa yote ambayo miongoni mwake nimekutawanya, sitakuangamiza wewe kabisa. Nitakurudi, lakini kwa haki tu, wala sitakuacha kabisa bila kukuadhibu.”

< Jeremiah 46 >