< Hosea 4 >

1 Pakai thusei ngaiyuvin, O Israel mite! Ajeh chu Pakaiyin gamsunga chengte toh kinelna khat aneiye. “Kitahna aumpoi, kikhotona jong aumpoi, nagamsunguva Pathen hetna jong aumpoi.
Sikilizeni neno la Bwana, enyi watu wa Israeli. Bwana ana mashtaka dhidi ya wenyeji wa nchi, kwa sababu hakuna ukweli au uaminifu wa agano, hakuna ujuzi wa Mungu katika nchi.
2 Kihahselna jeng alengin, jouthu jeng akiseiyin, na kithatun chule naguchauvin, jonthanhoi nabollun, muntin jousea nakisatun, khatle khat nakithat touvin ahi.
Kuna laana, uongo, mauaji, wizi na uzinzi. Watu wamevunja mipaka yote, na damu inakuja baada ya damu.
3 Hijeh chun nagamsungu hi mihem lunghem bangin alunghemtan, gamsunga cheng miho jong alunggimsoh tauve. Chule mijousen phat namoh mansahuvin, gamlaha gamsaho jeng jong alunghem sohtauvin, chunga leng vachate jengjong alunghem gamtauve. Twilaha nga ho jeng jong, aum gam tapouve.
Kwa hiyo nchi inakauka, na kila mtu aliyeishi ndani yake anaangamia; wanyama katika mashamba na ndege angani, hata samaki katika bahari, wanaondolewa.
4 Koimacha nakhutjungin koh hihin, chule akiheh tojong koima umda jenghen! Ajeh chu keitoh kinelkal, nangjoh nahi, vo thempu.
Lakini usiruhusu mtu yeyote kuleta mashtaka; msiruhusu mtu yeyote ahukumu mtu mwingine. Kwa maana ninyi ndio makuhani, ninaowashtaki.
5 Hijeha chu sunlai changa jong nakipal lhuh ding, jan tengle themgao pa jong nakipal lhuh tha ding ahi.
Ninyi makuhani mtajikwaa wakati wa mchana; manabii pia watajikwaa pamoja nanyi usiku, nami nitamwangamiza mama yako.
6 Kamite chu hetna alhahsam jeh'un amang gam tauve.
Watu wangu wanaharibiwa kwa sababu ya ukosefu wa maarifa. Kwa sababu makuhani wamekataa maarifa, nami nitawakataa msiwe makuhani kwangu. Kwa sababu umesahau sheria yangu, ingawa mimi ni Mungu wako, nami pia nitasahau watoto wako.
7 Thempu atam chenin, chonse kei douding atame.
Makuhani wengi waliongezeka, zaidi walifanya dhambi dhidi yangu. Walibadilisha heshima zao kwa aibu.
8 Miten chonset thilto ahin pohlut chanin, thempuho athaouve.
Wanajilisha dhambi ya watu wangu; wao ni wenye tamaa zaidi ya uovu wao.
9 Chule thempun bolkhat aneile, mipiten jong abolluve.
Itakuwa sawa kwa watu kama kwa makuhani: nitawaadhibu wote kwa matendo yao; Nitawalipa kwa matendo yao.
10 Amahon neuvintin, ahijeng vanga gilkel ding ahiuve. Notin panguvin tin hinlah pungthei lou ding ahiuve. Ajeh chu Pakai dalhan notia pang dingin, donlouvin akoitauve.
Watakula lakini hawatashiba; watafanya uzinzi lakini hawataongezeka, kwa sababu wamekwenda mbali na Bwana.
11 Ju jeng, juthah jeng adonuvin, jun kamite aguhmang ahitai.
Wanapenda uasherati, divai, na divai mpya, ambayo imechukua uelewa wao.
12 Amahon thing khat pou adongun, molkang khattouvin akhonung thu-u aseipeh theiding atahsanun ahi. Milim doihou angaichat chun, angolsah-u ahitai. Amahon noti hi akichepnauvin, pathen dang ajenun ahi.
Watu wangu hutaka shauri kwa sanamu zao za mbao, na fimbo zao za kutembelea huwapa unabii. Kwa maana mawazo ya uasherati yamewadanganya, na wamefanya kama makahaba badala ya kuwa mwaminifu kwa Mungu wao.
13 Amahon molsangvumah, kilhainan gan athatuve. Amaho lhangvumah akaltouvun, gimnamtwi ahaluve.
Wanatoa sadaka juu ya milima na kuteketeza uvumba kwenye milima, chini ya mialoni, milibua na miela, kwa sababu kivuli ni nzuri. Basi binti zenu hufanya uasherati, na binti zenu wanazini.
14 Ahinlah ibola kagimbol dingham natia apanu leh ajon thanhoi jeh-a? O hetna lhasam mingol ho! thil hetkhanna nanotthap tauve. Namiten jong amaho bol bang bang abolluvin ahi.
Mimi siwaadhibu binti zako wakati wanachagua kutenda uasherati, wala binti zako wakati wazini. Kwa maana wanaume pia wanajitoa kwa makahaba, na hutoa dhabihu ili waweze kufanya vitendo vya uasherati na makahaba. Hivyo watu wasiofahamu wataangamizwa.
15 Israel, nang notin pangjeng jongle chun, Juda vang themmo chansah loujenin. Gilgal khopia hunglut dan, Beth-aven a jong hung lutdan.
Ingawa wewe, Israeli, umefanya uzinzi, lakini Yuda asiwe na hatia. Ninyi msiende Gilgali; msiende hadi Beth Aven. Wala msiape, “Aishivyo Bwana.”
16 Bongla gol louchal bangin Israel hi alou challe. Pakaiyin hamhing gam lentaha kelngoi avah banga, Israelte hi avah jing jeng ding hinam ong?
Kwa maana Israeli amefanya ukaidi, kama ndama mkaidi. Je! Bwana anaweza kuwaleta kwenye malisho kama kondoo mahali penye nafasi?
17 Israel hi achangin dalhan, ajeh chu amahi jonthanhoi toh kicheng ahitai.
Efraimu alijiunga na sanamu; mwache peke yake.
18 Jukham hon khat chu noti ho toh alumkhomtauve. Aloupi diu sangin ajachat diu adeijouve.
Hata wakati kileo chao kimeondoka wakaendelea kufanya uzinzi; watawala wake hupenda sana aibu yao.
19 Khoppi huijin alhaving tenin achun chah kheh in Maicham hijat asemthu jouse jeh'a hi kijumso diu ahi.
Upepo utamfunga kwa mabawa yake; nao wataona aibu kwa sababu ya dhabihu zao.

< Hosea 4 >