< Semtilbu 40 >
1 Hicheng thilsoh kichai nung chun Pharaoh lengpa natong ju vaihompa le an vai hompan apupa Egypt lengpa doumah abol lhon in achonse lhontai.
Ikawa baada ya mambo haya, mnyweshaji wa mfalme wa Misri na mwokaji wa mfalime walimkosa bwana wao, mfalme wa Misri.
2 Hiche lamkai teni chunga hi Pharaoh nasatah in alunghang tan ahi.
Farao akawakasirikia hawa maafsa wawili, mkuu wa wanyweshaji na mkuu wa waokaji.
3 Chuin Pharaoh in amani chu Joseph umna lengpa songkul natong ho umna ah akoiyin ahi.
Akawaweka katika lindo katika nyumba ya kapteni wa walinzi, katika gereza lile Yusufu alimofungwa.
4 Songkul ngahpan amani chu Joseph thanei na noiya a umsah in Joseph in jong amani chu vetkolna anei jing in ahi.
Kapteni wa walinzi akamweka Yusufu kuwa mtumishi wao. Walikaa kifungoni kwa muda fulani.
5 Jan khat chun songkul insunga kihen teni Egypt lengpa juvaihompa le an vaihompa chun mang khat cheh, amang ledohna toh kilhon cheh-in anei lhon in ahi.
Wote wakaota ndoto - mnyweshaji na mwokaji wa mfalme wa Misri waliokuwa wamefungwa gerezani - kila mmoja akaota ndoto usiku huo huo, na kila ndoto ilikuwa na tafsiri yake.
6 Hichun Joseph in amani chu jingkah lama amailhon lunglhai lou chu ahedohtan Joseph in amani chu adongin, ibola nang teni namai lhon kipah lou ham ati.
Yusufu akaja kwao asubuhi na kuwaona. Tazama, walikuwa na uzuni.
7 Joseph in adong in, “Sopi teni ibola namai lhon lhailou ham,” ati.
Akawauliza maafsa wa Farao waliokuwa pamoja naye kifungoni katika nyumba ya bwana wake, kusema, “Kwa nini leo mnaoneka wenye uzuni?”
8 Amanin adon but lhon in, “Janlhah in keinin mang kanei gel lhon in amavang koi machan kamang ipi kisei na ahi aledoh thei aumpoi ati lhon e, ahin Joseph in adonbut in,” mang in ipi ahetsah dichu Pathen kin ahi. Chule namang lhon chu neisei peh lhon in ati.
Wakamwambia, Sisi wote tumeota ndoto na hakuna wakuitafsiri.” Yusufu akawambia, “Je tafsiri haitoki kwa Mungu? Niambieni, tafadhari.”
9 Hichun khon dom le a pang lamkai pa chun Joseph chu amang ho chu asei peh tai. Ka manga lengpi bah ka masanga ka mun.
Mkuu wa wanyweshaji akamwambia Yusufu ndoto yake. Akamwambia, “Katika ndoto yangu, tazama, kulikuwa na mzabibu mbele yangu.
10 Hiche lengpi phunga chun abah thum ajam kamun, gang tah in ahung mum in chu in apah lha tai, hiche aga hochu lengpithei ga ahung hitai.
Na kulikuwa na matawi matatu katika mzabibu huo. Ulipochipua, ukachanua maua na kuzaa vichala vya zabibu.
11 Pharaoh chakhon chu ka khut chunga ana um'in, hichun keiman lengpi ga chu ka sujot in atwi chu Pharaoh khona ka sun peh e.
Kikombe cha Farao kilikuwa mkononi mwangu. Nikachukua zabibu na kuzikamua katika kikombe cha Farao, na kukiweka kikombe katika mkono wa Farao.”
12 Joseph in hitin aseiye, “Lengpi bah thum hochu nithum tina ahi.
Yusufu akamwambia, “Tafsiri yake ni hii. Yale matawi matatu ni siku tatu.
13 Nithum sunga hi Pharaoh in nithum jou teng nadom sang intin, chule masanga nana toh na a nanung koi kit ding ahi.
Ndani ya siku tatu Farao atakiinua kichwa chako na kukurudisha katika nafasi yako. Utakiweka kikombe cha Farao katika mkono wake, kama ulivyokuwa ulipokuwa mnyweshaji wake.
14 Chule nangma koma katao ahi, chanvou pha nahung chan teng neihin sumil hih beh in Pharaoh koma hitobang kathil bol hohi eina seipeh in, ajeh chu songkul'a kona eilha doh thei na ding in,” ati.
Lakini unikumbuke ukifanikiwa, na unionesha wema. Unitaje kwa Farao na kuniondoa hapa gerezani.
15 Ajeh chu Hebrew gam a ka in apat a eikiman doh tua hiche songkul'a kaum hi mona neilou bolkhel ka neipoi.
Maana hakika nilitekwa kutoka katika nchi ya Waebrania. Na hapa sijafanya chochote kinachonipasa niwekwe gerezani.”
16 Hichun changlhah hom'a lamkai pachu Joseph in amang hoitah a ale chu amu le ama jong atha anom lheh in; Joseph jah ah hitin aseiye, “Keiman jong jan mang kaneiye, ka manga chun paipeh thum changlhah dimset kalu chunga kapoi.
Mkuu wa waokaji alipoona kwamba tafsiri ilikuwa ya kuvutia, akamwambia Yusufu, “Mimi pia niliota ndoto, na tazama, vikapu vitatu vya mikate vilikuwa juu ya kichwa changu.
17 Paipeh achuna pa sunga chun changlhah ajat lhingsel in aum in, Pharaoh a ding ahi, ahin vacha ho ahung leng un ka luchunga changlhah ho chu ane doh tauve.”
Katika kikapu cha juu kulikuwa na kila aina za bidhaa ya kuokwa kwa Farao, lakini ndege wakavila ndani ya kikapu juu ya kichwa changu.”
18 Joseph in amang chu ale pehtan, “Paipeh thum chun nithum ma avetsah ahin,
Yusufu akajibu na kusema, “Tafsiri ni hii. Vikapu vitatu ni siku tatu.
19 Nithum sunga hi Pharaoh in nalu adopsang ding thing phunga nakhai sang a, vachaten naphe anehchai ding'u ahi.”
Ndani ya siku tatu Fareao atakiinua kichwa chako kutoka kwako na atakutundika juu ya mtu. Ndege watakula mwili wako.”
20 Pharaoh in nithum jou in ama penni kipapina in anoiya a semang pachonga pang jouse akou khom in hiche a pang dinga chu juvai hom lamkai pa le an vaihom lamkaipa chu alhadoh gel in,
Ikawa siku ya tatu ambayo ilikuwa ni siku ya kuzaliwa kwa Farao. Akafanya sherehe kwa watumishi wake wote. “Akakiinua juu” kichwa cha mkuu wa wanyweshaji na kichwa cha mkuu wa waokaji, kati ya watumishi wake.
21 Ju vaihom pachu aju vaihom na ma man apansah kit'in, aman jong jukhon chu Pharaoh khut a agapetai.
Akamrudisha mkuu wa wanyweshaji katika majukumu yake, na akakiweka tena kikombe katika mkono wa Farao.
22 Ahin an vaihom lamkaipa vang chu Joseph in amani henga mang alepeh bang chun akhai lih tan ahi.
Lakini akamtundika mkuu wa waokaji, kama Yusufu alivyokuwa amewatafsiria.
23 Hichun ju vaihom lamkaipan Joseph chu ageldoh tapon asumil deltai.
Hata hivyo mkuu wa wanyweshaji hakukumbuka kumsaidia Yusufu. Badala yake, alimsahau.