< Ezekiel 47 >

1 Keiman kagao thilmuna a mipa chun houin lutna langa chun einung puikit tai. Houin kotpi noija kon in niso lam ngan twi ana longe chule maicham jet lang lhang langa chu longa ahi.
Yule mtu akanirudisha mpaka kwenye ingilio la Hekalu, nami nikaona maji yakitoka chini ya kizingiti cha Hekalu yakitiririkia upande wa mashariki (kwa maana upande wa mbele wa Hekalu ulielekea mashariki). Maji yalikuwa yakitoka chini upande wa kusini wa Hekalu, kusini mwa madhabahu.
2 Mipa chun sahlam kelkotna kon chun bang polanga chun eipui doh in chule solam kelkot chu eivel pin ahi. Hilaija chun twi chu solam kelkot lhang lang sanga ana longin ahi.
Ndipo akanitoa nje kupitia lango la kaskazini na kunizungusha mpaka kwenye lango la nje linaloelekea mashariki, nayo maji yalikuwa yakitiririka kutoka upande wa kusini.
3 Mipa chun thiltena akichoijin vadung langa chun eipuijin feet 1750 jen atedoh in, chuti chun vadunga chun eipui galkaije. Atwi chu ka ahkhomit chan athuh e.
Mtu yule alipokwenda upande wa mashariki akiwa na kamba ya kupimia mkononi mwake, akapima dhiraa 1,000 kisha akanipitisha kwenye hayo maji ambayo yalifika kwenye vifundo vya miguu.
4 Amapan feet 1750 atedoh be kit in chule vadunga chun eipui galkaije. Hiche phatna hin atwi chu kakhup chan aphatai. Chujouvin feet 1750 ma atedoh kit in hichu kong chan ahitai.
Akapima dhiraa 1,000 nyingine na kunipitisha kwenye hayo maji ambayo yalifika magotini. Akapima dhiraa nyingine 1,000 na kunipitisha kwenye hayo maji ambayo yalifika kiunoni.
5 Chuin feet 1750 ma atedoh be kit in ahile twi athuh vallin pal galkai thei ahitapoi. Hichu kijapna thei ahin pal galkai dingin athuh behseh tai.
Akapima tena dhiraa 1,000 nyingine, lakini wakati huu yalikuwa mto ambao sikuweza kuvuka, kwa kuwa maji yalikuwa na kina kirefu ambacho ni cha kuogelea, mto ambao hakuna mtu yeyote ambaye angeweza kuvuka.
6 Hichun aman kajah a mihem chapa, nangman navet jing hinam eti. Hichun aman vadunga chun eilepui kitne.
Akaniuliza, “Je, mwanadamu, unaona hili?” Kisha akanirudisha mpaka kwenye ukingo wa huo mto.
7 Keiman kanung che phat chun vadung apang tenia thing tampi ana ke chu kamun kadatmo lheh e.
Nilipofika pale, nikaona idadi kubwa ya miti kila upande wa ule mto.
8 Hichun amapan kajah a hiche vadung hi nisolam a konna nelgam ajot twithi umna phaicham ajotpa ahi. Hiche vadung twihin Twithi a twi al chu asuh thenga chule atwi chu chim ding ahitai.
Akaniambia, “Haya maji yanatiririka kuelekea nchi ya mashariki na kushuka mpaka Araba, ambapo huingia Baharini. Yanapomwagikia kwenye hiyo Bahari, maji yaliyoko humo huponywa na kuwa safi.
9 Hiche vadung twi lonna channa chu ganhing ahon hon kijot ho umdiu ahi. Nga jeng jong hiche twithia chu atama tam umdiu ahitai, ijeh inem itile atwi chu kisuthenga ahitan, hichu vadung lonphahna channa chu ganhing hon hinna anei diu ahitai.
Popote mto huu uendapo kila kiumbe hai kinachoyaparamia hayo maji kitaishi, nako kutakuwa na samaki wengi mno, mara maji haya yafikapo huko. Maji hayo yatakuwa hai na kila kitu kitakachoishi kule mto uendako.
10 Ngaman miho jong twikhanglen panga hung dinguvin te. Engedi a kipatna En-eglaim chan twipang chu len kiphou dimset ding ahi. Mideterrenean a nga ho atam banga khu twithi a jong nga jatkima hung dimding ahitai.
Wavuvi watasimama kando ya bahari, kuanzia En-Gedi hadi En-Eglaimu huko patakuwa mahali pa kutandaza nyavu za kuvulia samaki. Samaki watakuwa wa aina nyingi, kama samaki wa Bahari Kuu
11 Ahivangin dam kotong ho leh doplah vang kisuchim lou ding amaho chu chial banga al jing diu ahitai.
Lakini madimbwi yake na mabwawa yake hayatakuwa na maji yanayofaa kunywa, bali yatabakia kuwa maji ya chumvi.
12 Vadung apang lang to gella chu thei jatchom chom hung keh doh ding ahi. Hiche thing hohi ana jong agao leh apullha umlou diu, chule a itih a beitih neilouva abah ho a chu aga umjing ding ahi. Lhaseh in changlhah lhung jingin tin, ijeh inem itile houin a konna hung long doh vadung chun achap nou jing ding ahi.
Miti ya matunda ya kila aina itaota kwenye kingo zote mbili za mto huu. Majani yake hayatanyauka wala haitaacha kuwa na matunda katika matawi yake. Kila mwezi kutakuwa na matunda, kwa sababu maji yatokayo patakatifu yanaitiririkia. Matunda yake yatakuwa chakula na majani yake yatakuwa dawa.”
13 Hiche hi Pakai thusei ahi. Hiti hin agam chu Israel phungsom leh phungni ho hoppeh tan, Joshep chilhah ho chu agam leiset channi kipediu ahi.
Hili ndilo Bwana Mwenyezi asemalo: “Hii ndiyo mipaka ambayo kwayo mtagawanya hiyo nchi kuwa urithi miongoni mwa hayo makabila kumi na mawili ya Israeli, pamoja na mafungu mawili ya Yosefu.
14 Adangho chengse vang chu kibanga chang cheh diu ahin, keiman kitah tah a kaki hahsella chule kitepna kaneija napu napa teu chu hiche gam hi kapeh ding kana tia kana sei chu tua hi nnangho gouloa a hung panga ahitai.
Mtagawa kwa usawa miongoni mwao. Kwa sababu niliapa kwa mkono ulioinuliwa kuwapa baba zenu, nchi hii itakuwa urithi wenu.
15 Hiche hohi agam leiset gamgia pang diu ahi. Sahlang gamgi ding chu Mideterrenean napat Hethlon ahin jot ding Lebo Hamath ajot paija Zedah ajot ding
“Huu ndio utakuwa mpaka wa hiyo nchi: “Upande wa kaskazini utaanzia Bahari Kuu kwa njia ya Hethloni kupitia Lebo-Hamathi hadi maingilio ya Sedadi.
16 Chutia chu Berothah chule Siberea teni hi Damascus leh Hamath kikah a agamgi laiya umding, chule Hauran gamgi a um Hazar-hatticon geija kilhung lutpeh ding ahi.
Berotha na Sibraimu (ambao uko kwenye mpaka kati ya Dameski na Hamathi), hadi kufikia Haser-Hatikoni, ambao uko katika mpaka wa Haurani.
17 Sahlang gamgi chu Mediterranean twikhanglen napat Hazar-enan geija hung kilhung lut ding, sahlang Hamath leh lhanglanga Damascus teni kikah chu gamgi hiding ahi.
Hivyo mpaka utaendelea kuanzia Baharini hadi Hasar-Enoni, ukiambaa na mpaka wa kaskazini wa Dameski, pamoja na mpaka wa Hamathi upande wa kaskazini. Huu utakuwa ndio mpaka wa kaskazini.
18 Solam gamgi chu Hauran leh Damuscus kikah a kipanna, Israel leh Gilead kikah Jordan vadung pang lhanglanga lhaisuh peh a Twithi ajotpa a Tamar geija kilhung lut peh ding ahi. Hiche hi Solam gamgi chu hiding ahi.
Upande wa mashariki mpaka utapita kati ya Haurani na Dameski, kuambaa Yordani na kati ya Gileadi na nchi ya Israeli, hadi bahari ya mashariki na kufika Tamari. Huu utakuwa ndio mpaka wa mashariki.
19 Lhanglang sang gamgi chun lhumlam lang ajotna Tamar a kipatna Kadesh a um Meribah twidung chan hiding ahi. Chule hiche a konna hi Egypt vadung ajui peh a Mediterranean twikhanglen chan geija leng lhading ahi. Hiche hi lhanglang gamgi hiding ahi.
Upande wa kusini utaanzia Tamari hadi kufikia maji ya Meriba-Kadeshi, kisha utaambaa na Kijito cha Misri hadi Bahari Kuu. Huu utakuwa ndio mpaka wa kusini.
20 Nilhum lang chu Mediterranean twikhanglen hi agamgi a pang ding lhanglang gamgi akipatna sahlang gamgi kipatna chan chu hiding, Lebo-hamath toh kigalsai ding ahi.
Upande wa magharibi, Bahari Kuu itakuwa ndio mpaka hadi kwenye sehemu mkabala na Lebo-Hamathi. Huu utakuwa ndio mpaka wa magharibi.
21 Hicheng gamgi sunga gam hohi Israel phungsom leh phung niho nahoppeh ding ahi.
“Mtagawanya nchi hii miongoni mwenu kufuatana na makabila ya Israeli.
22 Nanghon agam hi nangho leh nangho goulo dinga chule gamdangmi ahivanga nangho lah a chale nao hingsa ho ahiuvin, amaho jong chu Israel chate tobang bang hidiu ahin, chan jong nangho lah a chan anei diu ahi.
Mtaigawanya kuwa urithi kwa ajili yenu na kwa ajili ya wageni wanaoishi miongoni mwenu na ambao wana watoto. Wao watakuwa kwenu kama wenyeji wazawa wa Israeli, pamoja na ninyi watagawiwa urithi miongoni mwa makabila ya Israeli.
23 Hiche gamdang miho hi koiphung penna cheng kha hiu jongleh achen khah nau phungin achan gam sunga chu achandiu napeh diu ahi. Keima thaneitah Pakaiyin kaseisa ahi.
Katika kabila lolote mgeni atakapoishi hapo ndipo mtakapompatia urithi wake,” asema Bwana Mwenyezi.

< Ezekiel 47 >