< Ezekiel 22 >

1 Tun Pakaija konna thu kisei kahenga ahung lhunge:
Neno la Bwana likanijia kusema:
2 “Mihem chapa, Jerusalem thutan dinga nakigot jou hitam? Hiche tolthatte khopi thutan dinga nakigot hitam? Kidah dah um achonsetna ho khu japi masanga phondoh pehsoh hellin.
“Mwanadamu, je, wewe utauhukumu? Je, utauhukumu huu mji umwagao damu? Basi uujulishe juu ya matendo yake yote ya machukizo
3 Chule thaneitah pakaija kon hiche thu amanu khu gapen: O tolthat khopi, manthahna ke mochanna milim doi dimsetna khopi, anen leh anamse
uuambie: ‘Hili ndilo Bwana Mwenyezi asemalo: Ee mji ule ujileteao maangamizi wenyewe kwa kumwaga damu ndani yake na kujinajisi wenyewe kwa kutengeneza sanamu,
4 Nathisanso jeh a themmo chang nahi. Nangma namilim doi sem ho jeh a kisuboh nahi. Namanthahna nikho chu hung lhung ahitai. Nakum kichaina chu nalhun ahitai.
umekuwa na hatia kwa sababu ya damu uliyomwaga na umetiwa unajisi kwa sanamu ulizotengeneza. Umejiletea mwisho wa siku zako na mwisho wa miaka yako umewadia. Kwa hiyo nitakufanya kitu cha kudharauliwa kwa mataifa na kitu cha mzaha kwa nchi zote.
5 O minse khopi! Nohphah na a dimset, nanghi agamla leh anaija miho jouse tot nopna nahung hi tei ding ahitai.
Wale walio karibu na wale walio mbali watakudhihaki, Ewe mji wenye sifa mbaya, uliyejaa ghasia.
6 Israel sunga lamkai ho jouse nakulpi sunga chengho jouse chu tolthat kun cheh ahiuve.
“‘Ona jinsi kila mkuu wa Israeli aliyeko ndani yako anavyotumia nguvu zake kumwaga damu.
7 Mipate lhe minu teho kimusit a kilhemto cheh ahiuve. Gamchom miho jong chu namna a avengtup diu akikoiju ngai ahitai. Chagate leh meithai ho jong dan dihlou vin akibol in, chuleh genthei akithoh sah uve.
Ndani yako wamewadharau baba na mama, ndani yako wamewatendea wageni udhalimu na kuwaonea yatima na wajane.
8 Nangin kathil thengho ijan neise peh pon, chuleh ka cholngah nikhon cholngah ni jong nasukeh uve.
Mmedharau vitu vyangu vitakatifu na kuzinajisi Sabato zangu.
9 Miho chun midang khat chu dihlou tah in themmo achanin chule amaho chu athina diu munna chun asol jiuve. Nangla namilim doihou chule thilphalou bol nadimset uve.
Ndani yako wako watu wasingiziaji, watu walio tayari kumwaga damu, ndani yako wako wale wanaokula vyakula vilivyotolewa mahali pa ibada za miungu kwenye milima, na kutenda matendo ya uasherati.
10 Pasal ho chu apa jinu toh alum khomun, chule numei athilon pet jong akitimat piuve.
Ndani yako wako wale wanaovunjia heshima vitanda vya baba zao, ndani yako wamo wale wanaowatendea wanawake jeuri wakiwa katika hedhi, wakati wakiwa si safi.
11 Nakulpi sunga chun pasal ho chu a inhengpa jinu toh ajongun ahi. Khat chun amounu asuboh in, khat kit ma chun asopinu khel khel jong ada achamlouvin aluppin ahi.
Ndani yako mtu hufanya mambo ya machukizo na mke wa jirani yake, mwingine kwa aibu kubwa hukutana kimwili na mke wa mwanawe, mwingine humtenda jeuri dada yake, binti wa baba yake hasa.
12 Hicheho hi tolthat ding kigo sumpa homma dan dihlou sumhol, muntinna mi nei lahpeh in aume. Aman keima mong mong eigelpha tapouvin, chuleh kathupeh ho jong ahepha tapouve.
Ndani yako watu hupokea rushwa ili kumwaga damu, mnapokea riba na faida ya ziada na kupata faida isiyokuwa halali kutoka kwa jirani ili kupata faida kubwa kupita kiasi. Nawe umenisahau mimi, asema Bwana Mwenyezi.
13 Ahinlah tua hi keiman nalung thim thenlouna leh nathisan so hatna jeh a vetda naum na chunga kakhut teni kabeh ding ahi.
“‘Hakika nitapiga makofi kwa ajili ya faida isiyo halali uliyojipatia na kwa damu uliyoimwaga ndani yako.
14 Nachung thu kitan niteng ichan thahatna hia chule hangsan tah le kichatna beihel nah idem? Keima, Pakaiyin kasei ahi. Chuleh keiman kaseisa chu kabol ding ahi.
Je, ujasiri wako utadumu au mikono yako itakuwa na nguvu siku hiyo nitakapokushughulikia? Mimi Bwana nimesema na nitalifanya.
15 Keiman namtin vaipi ho lah a kathu thethanga chule nagitlouna jousea kasuhtheng ding nahi.
Nitakutawanya miongoni mwa mataifa na kukutapanya katika nchi mbalimbali nami nitakomesha unajisi wako.
16 Nangho jeh a namtin vaipi jouse lah a jabolna beija kahung um teng leh keima hi Pakai kahi ti neihin hetdoh ding ahi.
Ukiisha kunajisika mbele ya mataifa, utajua kuwa Mimi ndimi Bwana.’”
17 Hichun Pakaija konin hiche thuhi kahenga ahung lhunge:
Ndipo neno la Bwana likanijia kusema:
18 Mihem chapa, Israelte hi dangka kisol nunga thih eh panna neilou bep ahiuve. Amaho hi thih eh kidalha hah, tin thih chule ngenthih kihal panna bei ahiuve.
“Mwanadamu, nyumba ya Israeli imekuwa kwangu takataka ya chuma, wote kwangu wamekuwa shaba, bati, chuma na risasi iliyoachwa kalibuni. Wao ni taka ya madini ya fedha tu.
19 Hijeh chun, amaho chu seipeh in, hiche hi Pakai thusei ahi. Nangho Jerusalema patepna hoise tah kapuilut ding nahi.
Kwa hiyo hili ndilo Bwana Mwenyezi asemalo: ‘Kwa kuwa wote mmekuwa takataka ya chuma, nitawakusanya Yerusalemu.
20 Thuhkhuh lentah a hah, thih, ngen chule tinho kisong jol banga kason jol ding nahi. Kalungsatna meikouva kason jol ding nahi.
Kama vile watu wakusanyavyo fedha, shaba, chuma, risasi na bati kalibuni ili kuyeyusha kwa moto mkali, ndivyo nitakavyowakusanya katika hasira yangu na ghadhabu yangu kuwaweka ndani ya mji na kuwayeyusha.
21 Keiman nangho kapui khomuva chule kalung hanna meikou chu kasemlut khum diu nahi.
Nitawakusanya na kupuliza juu yenu moto wa hasira yangu na ghadhabu yangu nanyi mtayeyushwa ndani ya huo mji.
22 Chutia chu nangho danka banga naki song jol diu ahi. Hiteng chuleh nanghon kalung hanna chung uva keima Pakaiyin kasunlhah khumu ahi chu nahin hetdoh dingu ahi.
Kama fedha iyeyukavyo kalibuni, ndivyo mtakavyoyeyuka ndani ya huo mji, nanyi mtajua kuwa Mimi Bwana nimemwaga ghadhabu yangu juu yenu.’”
23 Pakaija konin kahenga thukhat ahung lhung kitne:
Neno la Bwana likanijia tena kusema:
24 “Mihem chapa, hiche thuhi Israel mite pen. Vetda a naum lai nikho sunga hi akisubohsa gam, gojuh louna gam tobang hiding ahi.
“Mwanadamu, iambie nchi, ‘Wewe ni nchi ambayo haijapata mvua wala manyunyu katika siku ya ghadhabu.’
25 Naleng chapateu chu guhtima thildih gongho lah a ajauvun keipin aneh ding sa agep bangin avah leuve. Mona neilou miho aval lhumuve. Gou kikholho leh gouthil mantam ho alahpeh uva amhon gamsunga mitamtah meithai asosah tauve.
Kuna hila mbaya ya wakuu ndani yake kama simba angurumaye akirarua mawindo yake, wanakula watu, wanachukua hazina na vitu vya thamani na kuongeza idadi ya wajane ndani yake.
26 Nathempu houvin kahilna ho asuseuvin, chule kathil thengho asuboh tauve. Amahon ipi chu thil theng hija ipi chu athenglou ham ti akikhetsah pouve. Hou thua chondan theng leh athenglou kikah a akibah louna jong kamite ahil pouve. Kachol nikho jong adonse pouvin hijeh chun amaho lah a jabol louvin kaum lotai.
Makuhani wake wameihalifu sheria yangu na kunajisi vitu vyangu vitakatifu, hawatofautishi kati ya vitu vitakatifu na vitu vya kawaida. Wanafundisha kuwa hakuna tofauti kati ya vitu vilivyo najisi na visivyo najisi, nao wanafumba macho yao katika kutunza Sabato zangu, hivyo katikati yao nimetiwa unajisi.
27 Nalamkai teho'u chu athasa bottle tel jeng ngeiho tobang ahiuve. Amahon mihem tamtah hinkho sum jeh in asumang tauve.
Maafisa wake walioko ndani yake ni kama mbwa mwitu wararuao mawindo yao, wanamwaga damu na kuua watu ili kupata faida ya udhalimu.
28 Chule na themgao hou jong gaothil mu dihlou vin akisel un, miho dingin ajou jouvun phun asan peh uve. Amahon kathusei hi thaneitah Pakaija kon ahi atiuve, Pakaiyin bon amaho a koma thu sei khalou hella.
Manabii wake wanapaka chokaa matendo haya kwa maono ya uongo na utabiri wa udanganyifu. Wanasema, ‘Hili ndilo Bwana Mwenyezi asemalo,’ wakati Bwana hajasema.
29 Milham ho jengin jong vaichate abol gentheijun, genthei te achomun, gamdang miho chu anei agou alahpeh jiuve.
Watu wa nchi wanatoza kwa nguvu na kufanya unyangʼanyi, wanawatenda jeuri maskini na wahitaji na kuwaonea wageni, wakiwanyima haki.
30 Keiman agamsung huhna ding chonphatna kulbang gen pha ding mikhat tou aumdem tin kavelen ahi. Keiman agamsung kasuh mang louna dinga a onglai bang kah a ding ding mikhat tou aum dem tin kaholle, ahivangin khatcha kamudoh poi.
“Nami nikatafuta mtu miongoni mwao, ambaye angejenga ukuta na kusimama mbele zangu mahali palipobomoka kwa ajili ya watu wa nchi ili nisije nikaiangamiza, lakini sikumwona mtu yeyote.
31 Hijeh a chu tua hi keiman kalungsatna achung'uva kasunlhah khum diu, kalung hanna meikonga kahalvam diu ahi. Achonsetnau jeh a achung'uva achiana gimbolna aluchung uva kaset khum peh diu ahi tin thaneitah Pakai keiman kasei ahi.”
Hivyo nitaimwaga ghadhabu yangu juu yao na kuwateketeza kwa moto wa hasira yangu, nikiyaleta juu ya vichwa vyao yale yote waliyotenda, asema Bwana Mwenyezi.”

< Ezekiel 22 >