< Ezekiel 15 >
1 Hiti hin kahenga Pakaija kon in thukhat ahung lhunge.
Neno la Bwana likanijia kusema:
2 “Mihem chapa, lengpigui chu thingphung toh iti kitekah thei ding ham? Lengpi gui hi thingphung tahbeh man bang banga kimang thei ding hinam?
“Mwanadamu, je, ni vipi mti wa mzabibu unaweza kuwa bora zaidi kuliko tawi la mti mwingine wowote ndani ya msitu?
3 Hiche lengpigui thing chu thilkeuva kisem theija belho leh haipeh ho khaina kisem thei ding hinam?
Je, mti wake kamwe huchukuliwa na kutengeneza chochote cha manufaa? Je, watu hutengeneza vigingi vya kuningʼinizia vitu kutokana na huo mti wake?
4 Ahipoi, tiding thing in bou akimangjin, hiche jeng jong chu bailam tah in acajou loichel jin ahi.
Nao baada ya kutiwa motoni kama nishati na moto ukateketeza ncha zote mbili na kuunguza sehemu ya kati, je, unafaa kwa lolote?
5 Lengpigui chu meiya akiti masang hihen, akiti jou hijongleh pannabei ahibouve.
Kama haukufaa kitu chochote ulipokuwa mzima, je, si zaidi sana sasa ambapo hauwezekani kufanyishwa chochote cha kufaa baada ya moto kuuchoma na kuuunguza?
6 Chule hiche hi thanei tah Pakai thusei ahi. Jerusalem mite chu gammang thingphung lah a keh langpigui tobangbep bou ahiuve. Pannabei ahiuva kipatna chu keiman akavam dinga meilah a kalelut dingu ahi.
“Kwa hiyo hili ndilo Bwana Mwenyezi asemalo: Kama nilivyoutoa mti wa mzabibu miongoni mwa miti ya msituni kuwa nishati kwa ajili ya moto, hivyo ndivyo nitakavyowatendea watu waishio Yerusalemu.
7 Keiman meilah a kon in sohcha jong leu meikou dangkhat lah a lhalut kit thou thou ding ahi. Keiman amaho douna kaki hei teng, nangin keima hi Pakai kahi chu nahet doh ding ahi.
Nitaukaza uso wangu dhidi yao. Ingawa watakuwa wameokoka kwenye moto, bado moto utawateketeza. Nami nitakapoukaza uso wangu dhidi yao, ninyi mtajua kwamba Mimi ndimi Bwana.
8 Kamite hi keija dinga tahsan umlou ahi jeh uva gamsung chu mihem chenna lou gam'a kasem ding tia,” keima thanei tah Pakaiyin kasei ahi.
Nitaifanya nchi kuwa ukiwa kwa sababu wamekuwa si waaminifu, asema Bwana Mwenyezi.”