< Esther 8 >
1 Hicheni mama chun Xerxes lengpan Judate galmi Haman thil leh lo ho jouse chu lengnu Esther apedoh tai. Hichejou chun Esther in Mordecai chu insungmi ahi lengpa kom’ah aseidoh tan ahileh Mordecai chu lengpa kom’a ahin puilut taovin ahi.
Siku ile ile Mfalme Ahasuero akampa Malkia Esta shamba la Hamani, adui wa Wayahudi. Naye Mordekai akaja mbele ya mfalme, kwa kuwa Esta alikuwa amesema jinsi anavyohusiana naye.
2 Lengpan Haman’a konna ana nung lahdoh asoi namna khutjem chu aladoh in Mordecai chu apetai. Hiti chun Esther chun Mordecai chu Haman thil le lo chunga vaihom in ana pansah tan ahi.
Mfalme akaivua pete yake ya muhuri, ambayo alikuwa amemnyangʼanya Hamani, akampa Mordekai, naye Esta akamweka Mordekai juu ya shamba la Hamani.
3 Hijou chun Esther chu lengpa kom’a ache kit'in akeng khopi muh a abohkhup in Agag mi Haman in Judate te douna thil giloutah ana gon chu suh-tangna dingin mitlhi pumin anataovin ahi.
Esta alimsihi tena mfalme, akianguka miguuni pake na kulia. Akamwomba akomeshe mpango mwovu wa Hamani Mwagagi ambao alikuwa ameupanga dhidi ya Wayahudi.
4 Avellin lengpan Esther dingin asana tengol chu ahin lhungdoh in hiti chun ama athoudoh in a-angsung’ah adingtai.
Kisha mfalme alimnyooshea Esta fimbo yake ya utawala ya dhahabu naye aliinuka na kusimama mbele yake.
5 Esther in ajah a, “Lengpa nalunglhai dinga chuleh khotona kamu theiding ahija chujongle nalung lhaina kachanthei dinga ahile Agag mipa Haman thupeh hohi suhbei na dingin dan khat semdoh le chun kati, ajehchu aman lengpa gambih jousea cheng Judate ho jouse suh gamna dinga thupeh ananei ahi,” ati.
Esta akasema, “Kama ikimpendeza mfalme, nami kama nikipata kibali naye akiona ni jambo lililo sawa kunitendea na kama akipendezwa nami, basi iandikwe amri ya kuzitangua barua zile Hamani mwana wa Hamedatha, Mwagagi, alizotunga na kuandika kuangamiza Wayahudi katika majimbo yote ya mfalme.
6 Ajehchu kamipite le kainsung mite akitha gamma akisuhmang ding ken iti kathoh dingham?”
Kwa maana nitawezaje kuvumilia kuona maafa yakiwapata watu wangu? Nitawezaje kuvumilia kuona maangamizi ya jamaa yangu?”
7 Hichun Xerxes lengpan lengnu Esther le Judate mi Mordecai kom’ah, “Keima Haman thilkeo jouse Esther kape tan chuleh aman Judate te suhmang ding agot jeh in thinglhon chunga amajoh akikhailih tan,
Mfalme Ahasuero akawajibu Malkia Esta na Mordekai Myahudi, “Kwa sababu Hamani aliwashambulia Wayahudi, nimetoa shamba la Hamani kwa Esta, naye ameangikwa kwenye mti wa kunyongea.
8 Tun lengpa min’in Judate techu nadei dandan’in thuthot tan chuleh lengpa khutjem chun mohor namkhum tan. Chule lengpa minna khatvei mohor kinamsa chu kinung lahdoh kit theitalou ding ahi, ti melchih lhon in, atipeh tai.
Basi andika amri nyingine kwa jina la mfalme kwa ajili ya Wayahudi kama unavyoona vyema, kisha uifunge kwa kutia muhuri kwa pete ya mfalme kwa kuwa hakuna andiko lililoandikwa kwa jina la mfalme na kutiwa muhuri kwa pete ya mfalme linaloweza kutanguliwa.”
9 Hiti chun lhathum lhinna, Sivan lha, nisom ni le nithum nichun, Mordecai in lengpa lekha jeh a pangho chu akikou khomin chuleh Mordecai jin jih in ati dungjui chun ajih taovin ahi. Hiche chu Judate ho komlah vaihom ho jouse kom, gamvaipo ho kom, gambih jakhat le somni le sagi, India a patna Ehopia changeijin milen milal ho jouse kom’ah akithot dohtan ahi. Hiche dan chu lenggam sunga mipite Judate op um'in ama ama paole ama lekhajem cheh in akisunin ahi.
Mara moja waandishi wa mfalme wakaitwa kwenye siku ya ishirini na tatu, mwezi wa tatu, ndio mwezi wa Siwani. Wakaandika yote Mordekai aliyoamuru kwa Wayahudi, kwa majemadari, watawala na wakuu wa majimbo 127 kuanzia Bara Hindi mpaka Kushi. Maagizo haya yaliandikwa kwa maandishi ya kila jimbo na kwa lugha ya kila mtu pia kwa Wayahudi kwa maandishi yao wenyewe na lugha yao.
10 Hiche dan chu Xerxes lengpa minna kisun ahin, akhut jemma mohor kinamkhum ah ahi. Mordecai in hiche thuhi gangtah a homdoh dingin lengpa kin’a kimang sakol lhaihat cheh chu asoldoh in ahi.
Mordekai aliandika nyaraka kwa jina la Mfalme Ahasuero, akazitia muhuri kwa pete ya mfalme na kuzipeleka kwa njia ya matarishi, ambao waliendesha farasi waendao kasi waliozalishwa maalum kwa ajili ya mfalme.
11 Hiche leng thupeh hin khopi tinna um Judate hochu kipun khomna kihuhdohna anei thei diu ahi. Koi nammi hihenlang hoilai gambih a konna hijohgleh aji achateo leh amaho hindel buluho jouse chu athaova, asuhmang diu chuleh asuhgamhel theidiu chuleh agalmi hou thilkeo akichom theidiu ahi.
Waraka wa mfalme uliwaruhusu Wayahudi katika kila mji kuwa na haki ya kukusanyika na kujilinda wenyewe; kuharibu, kuua na kuangamiza jeshi lolote, taifa lolote au jimbo lile litakalowashambulia wao, wake zao, watoto wao na kuteka mali za adui zao.
12 Xerxes lenggam jousea hitobang tohna dinga nikho kilhengdoh chu Lhakao nisagi ni kumkit hiding ahi.
Siku ambayo iliwekwa kwa Wayahudi kufanya hili katika majimbo yote ya Mfalme Ahasuero ilikuwa siku ya kumi na tatu ya mwezi wa kumi na mbili, yaani mwezi wa Adari.
13 Hiche dan kisodoh hi gambih jousea juiding dan hiding mipiah jousea phondoh ding, hitia chu Judate ten hiche nikho ahi agalmihou chunga phu alah thei nadiu ahi.
Nakala ya tangazo ilikuwa itolewe kama sheria katika kila jimbo na iweze kujulikana kwa watu wa kila taifa, ili kwamba Wayahudi wawe tayari siku hiyo kulipiza kisasi kwa adui zao.
14 Hichehin leng thupeh chun akinotah ahijeh'in, thuhomjal leho chun lengpa kin’a manchah dinga kikoi Sakol hatcheh aman uva gangtah a ahopdoh diu ahi. Hiche dan Susa khopi sunga jong akiphong doh tan ahi.
Matarishi, wakiwa wamepanda farasi wa kifalme, walitoka mbio wakichochewa na agizo la mfalme. Tangazo lilitolewa pia katika ngome ya mji wa Shushani.
15 Hiche jouchun Mordecai chun lengpon oupe aduple akang akisil’in, sana lallukhuh akikhuh in, tupat ponnem le pondup akisil’in lengpa a kon in ahung potdoh'in ahileh khopi sunga mipi chu akipah in othong je-jun asam sam jengun ahi.
Mordekai akaondoka mbele ya mfalme akiwa amevaa mavazi ya kifalme ya buluu na nyeupe, taji kubwa la dhahabu na joho la zambarau la kitani safi. Na mji wa Shushani ukasherehekea kwa furaha.
16 Judate techu kipanale thanopnan adimun chene chan uva miho jana aching un ahi.
Kwa maana kwa Wayahudi ulikuwa wakati wa raha na furaha, shangwe na heshima.
17 Gambih tinle khopia, lengpa dan lhunna channah Judate te akipah un alopna aneiyun anikho nitdingleh mipin golvah neikhom dingin aphongdoh un ahi. Gamsunga mipi lah achun Judate chu ahung pungjal jengun ahi ajeh chu Judate hochun eibolse get unte tia akichat’u ahitai.
Katika kila jimbo na katika kila jiji, popote waraka wa mfalme ulipofika, kulikuwepo furaha na shangwe miongoni mwa Wayahudi, pamoja na karamu na kushangilia. Na watu wengi wa mataifa mengine wakajifanya Wayahudi kwa sababu ya kuwahofu Wayahudi.