< Daniel 5 >

1 Kum sotthim jouvin, Belshazzar lengpa’n agamsung’a milen milal ho sangkhat toh, golvah loupitah khat abol in, chuleh amaho chutoh ju adonkhomuvin ahi.
Mfalme Belshaza alifanya sherehe kubwa kwa kwa ajili ya wakuu wake wa kuheshimiwa wapatao elfu moja, na alikunywa divai mbele yao wote watu elfu moja.
2 Belshezzar chun ju adon pum’in, apa Nebuchadnezzar in, Jerusalem Hou-in sunga kon’a anapohdoh sana leh dangka khon ho chu ju donna a man dingin thu apetai. Hiche khon ho chu, ajite leh athaikem ho chuleh milen milal hotoh ju donna-a nei ding ati ahi.
Wakati Belshaza alipokuwa akionja divai, alitoa agizo la kuleta vyombo vilivyotengenezwa kwa dhahabu au kwa fedha ambavyo Nebukadneza baba yake alikuwa amevichukua kutoka katika hekalu huko Yerusalemu, ambavyo yeye, na wakuu wake, na wake zake, na masuria waliweza kuvinywea.
3 Chu in Jerusalem Pathen Hou-in sung’a kon’a kipodoh sana leh dangka khon ho chu ahin choi doh’un, lengpa leh ajite ho, athaikem ho, chuleh milen milal hon, ju donnan amang tauve.
Watumishi walivileta vyombo ya dhahabu vilivyokuwa vimechukulia katika hekalu, nyumba ya Mungu huko Yerusalemu. Mfalme na wakuu wake, na wake zake na masuria walivinywea.
4 Hitichun, amahon sana leh dangka khon ho’a chun ju adon’un, chuleh sana, dangka, sum-eng leh thih’a kisemthu doilim pathen ho chu nasatah in avahchoi jeng tauvin ahi.
Walikunywa divai na kuzisifu sanamu zao zilizotengenezwa kwa dhahabu na fedha, shaba, chuma, mbao na mawe.
5 Hichepettah chun, amahon, leng inpi sung’a meivah khom tun nakom’abang kiloijol lai achun, mihem khut khat ahung kilah amu uvin, hiche khut jung chun bang’a lekhajem ahin jihtai. Hichu Lengpa ama tah in jong amutan ahi.
Kwa wakati huo huo vidole vya mkono wa mtu vilionekana mbele ya kinara cha taa na kuandika katika ukuta uliopigwa lipu katika ikulu ya mfalme. Mfalme aliweza kuona sehemu ya mkono ulipokuwa unaandika.
6 Hichun lengpa maiso akikhel deltan, kichat leh tijat in alungsung alodimtan ahi. Atahsa aki thing in chuleh akhup leh akeng ho jong akihot lhu jeng tan ahi.
Ndipo uso wa mfalme ulibadilika na mawazo yake yalimwogopesha; miguu yake haikuweza kumfanya asimame, na magoti yake yalikuwa yakigongana kwa pamoja.
7 Lengpa aping jah jeng in, ai-lhim them ho, ahsi-lekha them ho, vangsan them ho, a-ang sung’a ahin koukhom diuvin thupeh aboltai. Hichun Lengpa’n Babylon miching mithem ho jah’a chun asei tai. “Koi hijong leh, hiche lekha jem kijih hi asimdoh thei aum’a chuleh ipi kiseina ahi phongdoh thei aumleh, Leng inpi kijabolna ponsandup kisilpeh ding chuleh angong’a sana-khivui ki opeh ding ahi. Chuleh ama chu, ka lenggam sung’a vaipoh luboh thum channa-a ka pansah ding ahi” ati.
Mfalme alitoa agizo kwa kupiga kelele, waletwe ndani wale ambao hudai wanaweza kuzungumza na wafu, watu wenye hekima, na wataalamu wa nyota. Mfalme akawaambia wale waliojulikana kwa hekima katika Babeli, “Yeyote atakayeyaeleza maandishi haya na maana yake atavikwa nguo za zambarau na atavikwa na mkufu wa dhahabu shingoni mwake. Naye atakuwa mtawala wa tatu wa juu kwa mamlaka katika ufalme.”
8 Chuin alenggam sung’a miching mithem ho chu ahungkhom soh tauve. Ahivang in, bang’a kisun lekhajem chu alah’uva khat beh in jong asimthei pouvin, chuleh ipi kiseina ham jong ahedoh thei pouve.
Ndipo watu wote wa mfalme walikuwa wakijulikana kwa hekima yao waliingia ndani, lakini hawakuweza kuyasoma maandishi wala kueleza maana yake kwa mfalme.
9 Chuin Lengpa chu atija lheh jengin, amaiso kikhel leuvin akichatan ahi. Chuleh ama noija milen milal ho jong chu alung dong gamtauvin ahi.
Kisha mfalme Belshaza alishitushwa sana na mwonekano wa uso wake ulibadilika. Wakuu wake nao walishangazwa sana.
10 Chuin hiche thilsoh chu, Lengnun ajah doh phat in, amatah lengpa golvah bolna insung’a alheilut loijin, lengpa jah’a aseitai.” Lengpa damsot in! Na lim na maiso kikhel leuvin, tija behseh hih in.
Ndipo sasa malkia alikuja katika nyumba ya sherehe kwasababu ya kile ambacho mfalme na wakuu wake walikuwa wamekisema. Malkia akasema, “Mfalme na aishi milele! Usiache mawazo yako yakakusumbua. Usiruhusu mwonekano wa uso wako ubadilike.
11 Na gamsung’a, Pathen theng lhagaovin achenden mi khat aum nai. Napa, Nebuchadnezzar khang’a jong hiche mipa chung’a hi, lung-mitvahna, thil hetkhenna leh Pathen ho chihna nei ahi, kimudohsa ahi. Hiche jeh’a chu napa Nebuchadnezzar lengpa’n, ama chu Babylon gamsung pumpia mitpheldoi them ho, ai-lhim them ho, ahsi-lekha them ho, chule vangsan them ho jouse chung’a pipu’a anapansah ahi.
Kuna mtu katika ufalme wako ambaye ana roho ya miungu watakatifu dani yake. Katika siku za baba yako, mwanga na weledi na hekima ya miungu ilipatikana ndani yake. Mfalme Nebukadneza, baba yako mfalme, alimfanya kuwa mkuu wa waganga, pamoja na mkuu wa wale wanazungumza na wafu, na wa wenye hekima, na wa wataalamu wa nyota.
12 Hiche mipa Daniel tiajong kihe, lengpan Belteshazzar asahpa chu, Pathen’a kon thil suhto themna nasatah nei, thuguh hetdoh theina leh hilchetna chuleh Pathen chihna dimset ahi. Aman mang aledoh theijin, chuleh thuboi hahsa jong asunavah thei jin ahi. Ama chu kouvin, aman bang’a kijih chu ipi ahi asim doh thei ding chuleh aledoh thei ding ahi” ati.
Roho bora, ufahamu, weledi, kutafsiri ndoto, kufafanua mafumbo na kutatua matatizo - hizi ni sifa zilizopatikana kwa mtu huyu Danieli, ambaye mfalme alimwita Belteshaza. Sasa mwiteni Danieli naye atawaambia maana ya kile kilichoandikwa.”
13 Chuin Daniel chu lengpa angsung’a ahin puilut tauve. Lengpan Daniel jah’a, “Nang hi, kapa Nebuchadnezzar lengpan Judah gam’a kon’a ahin kaimang sohchang ho lah’a khat, Daniel kitipa chu na him?
Ndipo Danieli alipoletwa mbele ya mfalme. Mfalme akamwambia, “Wewe ni yule Danieli, mmoja kati ya watu wa mateka wa Yuda, ambao baba yangu mfalme aliwaleta kutoka Yuda.
14 Keiman, nachung’a Pathen theng lhagao achengin, nangman sunggil lungmitvah naneijin, thil hetkhenna chihna dimset naneije tithu kajai.
Nimesikia habari kukuhusu wewe, kwamba roho ya miungu iko ndani yako, na ya kwamba mwanga na ufahamu na hekima bora inapatikana ndani yako.
15 Ka gam sung’a miching ho leh ailhim them hon, hiche bang’a kijih lekha jem hi asimthei louvu ahi tai. Tun nangin sim inlang, ipi kiseina ham nei seipeh tan.
Na sasa watu wanaojulikana kwa hekima na wale wanaozungumza na wafu, wamekwisha kuletwa mbele yangu, ili kusoma maandishi haya na kunijulisha maana ya tafsiri yake, lakini hawakuweza kunijulisha tafsiri yake.
16 Nang in hiche hohi aledoh theina nahen, chuleh thuboi hahsa hojong na sunavah theije tithu kana jai. Hijeh chun, hiche hohi sim inlang, ipi kiseina ham nei ledohpeh in, chutileh nangma leng inpi jabolna ponsandup nakisil peh ding, sana khivui nangong’a naki-opeh ding, chuteng ka lenggam sung’a vaihom sangpen athum na-a napan ding ahi,’’ ati.
Nimesikia kwamba unaweza kutoa tafsiri na kutatua matatizo. Sasa kama utaweza kusoma maandishi na kuniambia maana yake, utavikwa nguo za zambarau na kuwa na kuvalishwa mkufu wa dhahabu shingoni mwako, na utakuwa mtawala wa tatu mwenye mamlaka katika ufalme.”
17 Chuin Daniel in lengpa chu adonbut in, “Kipaman thilpeh napeh ding chu nangman kikoi tan, ahilou leh midang khat pedoh jeng in. Ahin, bang’a kijih hichehi ipi kiseina ham, keiman na seipeh nang’e.
Kisha Danieli akajibu mbele ya mfalme, “Zawadi yako na iwe kwa ajili yako mwenyewe, na thawabu yako na umpe mtu mwingine. Hata hivyo, mfalme, nitakusomea maandishi na nitakwaambia maana.
18 Vo lengpa, napa Nebuchadnezzar lengpa chu, Chungnungpen Pathenin leng achansah a, letna leh loupina chuleh jabolna apeh ahi.
Na juu yako, Ewe mfalme, Mungu Aliye juu sana alimpa Nebukadneza baba yako ufalme, ukuu, heshima na enzi.
19 Ama chu Pathen in loupitah’a atun jeh in, chitin namtin’a miho leh pao tintang thoho jouse, a-ang sung’a akithing’un akichalheh jeng’un ahi. Aman atha nom athat in, chuleh ahinghoi nom chu ahinghoiye. Aman ajabol nom ajabolin, chuleh asuhnem nom chu asunem in ahi.
Na kwasababu ya ukuu huo, Mungu alimpa watu wote, mataifa, na lugha walimtetemekea na kumwogopa. Aliwauwa wale aliotaka wafe na aliwaacha hai wale aliotaka waishi. Aliwainua wale aliowataka, na aliwashusha wale aliowataka.
20 Ahivang in, alungchang leh alungthim’a kiletsahna adim tan, ama akichoi sang phat in, aleng mun’a kon’in akikai lha tan, chuleh aloupina jouse jong aki lahmang peh tai.
Lakini wakati moyo ulipokuwa na kiburi na roho yake ilifanywa kuwa mgumu na kwasababu hiyo alitenda kwa kiburi, alishushwa kutoka kiti chake cha enzi cha kifalme, na waliiondoa enzi yake.
21 Chuin ama chu mihem chenna lah’a konin aki delmang in, alungthim jong gamsa lungthim bangin akikhelpeh in, gamlah’a gamsangan hotoh ahingkhom tai. Aman bong bang in hamhing anen, chuleh van’a kon daitwi hunglha chu adouvin, Pathen in leiset’a lenggam jouse chung’a vai ahom in, adei dei leng’a atunji ahi, ti ahetdoh kahsen, gamsa bang in ahing tan ahi.
Aliondolewa katika ubinadamu, alikuwa na akili za mnyama, na aliishi na punda wa mwituni. Alikula majani kama ng'ombe. Mwili wake ulilowanishwa kwa umande wa kutoka mbinguni mpaka pale alipojifunza kwamba Mungu Aliye Juu anatawala juu ya falme za watu na ya kwamba humweka mtu yeyote amtakaye juu yake.
22 Nangma, napa gou-loson achapa nahi, vo Belshazzar, nangin hiche hohi nahet vang'in, nangman kineosahna halcha jong nanei poi.
Wewe mwana wake, Belshaza, haujaunyenyekeza moyo wako, ingawa aliyajua haya yote.
23 Nangman kiletsahtah in van Pathen chu nadouvin, Pathen Hou-in’a kon hung kipodoh khon ho chu namong tai. Nangleh na-milen na milal te, najite leh na thaikem hon, hiche khon hochu ju don nan namang uvin, sana, dangka, sum-eng, thih, thing leh songho’a kisem ima hethei lou, khomu lou leh kho jalou semthu pathen ho chu na vahchoi choi jeng’un ahi.
Umejiinua mwenyewe kinyume cha Bwana wa mbinguni. Katika nyumba yake walikuletea vyombo ambavyo wewe, wakuu wako, wake zako na masuria wako walivinywea, na kisha ukaisifia sana sanamu zilitengenezwa kwa fedha na dhahabu, shaba, chuma, mbao, na mawe - sanamu ambazo haziwezi kuona, kusikia wa kujua kitu chochote. Haujamheshimu Mungu ambaye anaishikilia pumzi yako katika mkono wake na ambaye anazijua njia zako zote.
24 Hijeh a chu Pathen a kon’a hiche khut hi hung kilhang doh’a, hiche lekha jem hi ahin jih ahi.
Ndipo Mungu aliutuma mkono kutoka katika makao yake na maandishi haya yaliandikwa.
25 Hichea lekha jem kijih chu hiche ahi: MENE, MENE, TEKEL chuleh PARSIN
Haya ndiyo maandishi ambayo yaliandikwa: 'Mene, Mene, Tekeli na Peresin.'
26 Chuleh hiche thucheng ho kiledohna chu hiti ahi: MENE kiti hi, Pathen in nalengvaipohna asim tohsa ahi tan, abeina ding nikho hung lhung ahi tai.
Maana yake ni: 'Mene,' 'Mungu ameuhesabu ufalme wako na ameukomesha.'
27 TEKEL kiti hi, nangma thiltena kilepto bang’a, nangma kilepto’a na kitetohsa ahitan, nalhingjou tapoi.
'Tekeli' 'umepimwa katika mizani na umeonekana umepungua.'
28 PARSIN kiti hi, na lenggam hi kehni kiso’a kihom khen ahitai. Mede mite leh Persia mite kihop peh ahitai.
'Peresi' 'ufalme wako umegawanyika na wamepewa Wamedi na Waajemi.'”
29 Chuin Belshazzar thupeh dungjuiyin, Daniel chu ponsandup asil peh’un, sana khivui angong’a a-opeh’un chuleh ama chu lenggam pumpia vaipo pipu sangpen athumna in aphong doh tauve.
Ndipo Belshaza alitoa agizo, na walimvalisha Danieli mavazi ya zambarau. Mkufu wa dhahabu walimvisha shingoni, na mfalme alitoa tamko juu ya Danieli kuwa atakuwa mtawala mwenye mamlaka ya nafasi ya tatu katika ufalme.
30 Chuche jan ma ma chun, Babylonte lengpa Belshazzar chu athat tauve.
Usiku ule Belshaza, mfalme wa Babeli aliuawa,
31 Chuleh Mede mipa Darius chun, akum somgup-le-ni alhin in, hiche lenggam chu akilah tan ahi.
na Dario Mwajemi aliuchukua ufalme alipokuwa na miaka ipatayo sitini na miwili.

< Daniel 5 >