< Colossae 3 >

1 Nangho Christa toh hingkhoma nahiuleh, Pathen jetlam'a touva Christa umna chunglam chu veuvin.
Basi, ikiwa mmefufuka pamoja na Kristo, panieni mambo ya juu, kule Kristo aliko, ameketi upande wa kulia wa Mungu.
2 Nanghon leiset thil ho geljo louvin, chunglam thilho geljo uvin.
Muwe na hamu ya mambo ya huko juu, na siyo mambo ya hapa duniani.
3 Ajeh chu nangho hiche hinkhoa dia athia nahi tauvin, nahinnau atahbeh chu Pathen a Christa toh kisela ahi.
Maana ninyi mmekufa na uzima wenu umefichwa pamoja na Kristo katika Mungu.
4 I-hinnau Christa ahung kilah phatteng nangho jong Amatoh loupia kilangkhom ding nahiuve.
Uzima wenu halisi ni Kristo, na wakati atakapotokea ndipo nanyi pia mtakapotokea pamoja naye katika utukufu.
5 Hiti ahijeh chun, leiset chunga natibah chengu: jon lungput, thenlouna, huh lungput, lungdihlou ken, chule kiloset hichehohi milim houna ahin, abonchan thisah sohkeiyun.
Basi, komesheni kabisa kila kitu kilicho ndani yenu ambacho chahusika na mambo ya kidunia: uasherati, uchafu, shauku, tamaa mbaya na uchu (ambao ni sawa na kuabudu sanamu).
6 Hiche chonsetna ho jeh hin thua nunglouho chungah Pathen lunghanna chun alhun khumjin ahi.
Kwa sababu ya mambo hayo hasira ya Mungu huwajia wote wanaomwasi.
7 Hicheho hi vannoiya dinga nanahinlai uva chu anaboljia nahiuve.
Wakati mmoja ninyi pia mliishi kufuatana na mambo hayo, mlipotawaliwa nayo.
8 Hinlah tuhin: lunghan, lungsat miduhabol, Pathen taitom, thuthanghoi seina kam, hichengho hi pailhauvin.
Lakini sasa mnapaswa kuachana na mambo haya yote: hasira, tamaa, uovu; kufuru au maneno yasiyofaa yasitoke kamwe vinywani mwenu.
9 Khatle khat jouvin kiheh hih un, ajeh chu nanghon milui hinkho le anatoh chu napaiyu ahitai.
Msiambiane uongo, kwani ninyi mmekwisha vua ule utu wa kale pamoja na matendo yake yote,
10 Nanghon nasempau nahet nau lungthim chu panun chule mithah chu kivonun chule Ama tobang hiuvin.
mkavaa utu mpya. Huu unaendelea kurekebishwa na Mungu, Muumba wake, kadiri ya mfano wake, ili mpate kumjua Mungu kwa ukamilifu.
11 Hiche hinkhothah a hin hi Juda mi nahiha, chidang namdang nahim? Cheptanmi nahiha, cheptanlou nahim? Lekha helou akhangtou loulai soh chu nahiha, ongthol nahim? Christa chu eiho dinga ima jousea ininglhinnau ahitai.
Katika hali hii, hakuna tena tofauti kati ya Mgiriki na Myahudi, aliyetahiriwa na asiyetahiriwa, msomi na asiye msomi, mtumwa na mtu aliye huru. Kristo ni kila kitu, na yumo katika yote.
12 Hiche jeh chun Pathen lhenchom mithengte deiumtah angailut namthenga lhendoh nahitah jeh uvin–mikhotona lunggel, mihepi, kineosah, nunnemna lungthim, thohhatna in kivonun.
Ninyi ni watu wake Mungu; yeye aliwapenda na kuwateua. Kwa hiyo basi, vaeni moyo wa huruma, wema, unyenyekevu, upole na uvumilivu.
13 Khatle khat kidemdaito cheh un, kingaidam tona neiyun, akina khattou auma ahijongleh Christa chun nangaidam banguvin nanghon jong ngaidam'un.
Vumilianeni na kusameheana iwapo mmoja wenu analo jambo lolote dhidi ya mwenzake. Mnapaswa kusameheana kama Bwana alivyowasamehe ninyi.
14 Hicheng jouse chunga hin ngailutna chu kivonun, hichu kikankhomna phachamkim pen ahi.
Zaidi ya hayo yote, zingatieni upendo kwani upendo huunganisha kila kitu katika umoja ulio kamili.
15 Chule Pathena cham lungmon chu nalunguva vaihomsah un, hichea dinga chu nangho jong tipum khat'a chamlen dinga kou nahiuvin chule thangvah jingun.
Nayo amani ya Kristo itawale mioyoni mwenu; maana kwa ajili hiyo ninyi mmeitwa katika mwili huo mmoja. Tena muwe na shukrani!
16 Christa thu chu chihna jouse tothon nasung uva cheng dimset hen; khat le khat tumgingtoh tholan houlan, chule lhagaolan kihilun chule kitilkhou touvin, nalung gil un Pakai choi-atnan lasauvin.
Ujumbe wa Kristo ukae ndani yenu pamoja na utajiri wake wote. Fundishaneni na kushauriana kwa hekima yote. Imbeni zaburi, nyimbo na tenzi za kiroho; mwimbieni Mungu mioyoni mwenu kwa shukrani.
17 Chule thua hihen, natoh a hita jongleh, nabol jouseu chu Pakai Yeshua minin bolun lang, Ama jal'in Pa le Pathen chu thangvah un.
Na, kila mfanyacho kwa neno au tendo, fanyeni vyote kwa jina la Bwana Yesu na kumshukuru Mungu Baba kwa njia yake.
18 Ji numeiho, Pakai mitmua dih ahina jal in najipa teu thunoiya kipelut un.
Enyi akina mama, watiini waume zenu, kwani ndivyo apendavyo Bwana.
19 Pateho, najinu teu ngailu uvin chule amaho chunga lunghimona neihih un.
Nanyi waume, wapendeni wake zenu, na msiwe wakali kwao.
20 Chateho, imalam jousea nanule napateu sei thun nungun, hichu Pakai lunglhainapen ahi.
Enyi watoto, watiini wazazi wenu daima maana hiyo humpendeza Bwana.
21 Pateho, nachateu chu sulungphamo hih un, lunglhahnan neiget uvinte.
Nanyi wazazi, msiwachukize watoto wenu, la sivyo watakata tamaa.
22 Sohteho, tahsalam hina dungjuiyin napakai teu seithua nungun, mihem lunglhaisahna a mitmu soh hilouvin, Pathen ging hinan lungdihpun umun.
Enyi watumwa, watiini wakuu wenu wa kidunia katika mambo yote, na si tu wakati wanapowatazama kwa kuwa mnataka kujipendekeza kwao; ila fanyeni hivyo kwa moyo wote, kwa sababu ya kumcha Bwana.
23 Chule ipi hileh nabol'u chu Pakaiya lunggilin bolun, mitmu soh hilouvin Pakai jal abol hiuvin.
Kila mfanyalo, fanyeni kwa moyo wote, kwa sababu ya Bwana na si kwa ajili ya mtu.
24 Pakaiya goulo ding tohman nachan dingu ahi chu heuvin: ajeh chu nangho Pakai Christa kinbol nahiu ahi.
Kumbukeni kwamba atawapeni tuzo lile alilowawekea watu wake. Mtumikieni Kristo Bwana!
25 Ahin thilse bola chu nahileh nathilse bol chu nakimu ding ahi. Hichea hin maipha vetna aumpoi.
Atendaye mabaya atalipwa kufuatana na ubaya wake; Mungu hana ubaguzi.

< Colossae 3 >