< 2 Thusimbu 5 >

1 Hiti chun Solomon chun Pakai Houin a anatoh ding jouse atongchaitai. Chuin Aman apa David in ana lhandohsa thilto ho-sana, dangka thil jatchom chom tamtah chu Pathen Houin na chun ahinpolutnin gou thilkoinaa chun akoitai.
Wakati ilipomalizika kazi aliyofanya Selemani kwa ajili ya Yahwe, Selemani akapeleka vitu ndani, ambavyo Daudi, baba yake, aliviweka wakifu kwa kusudi hilo, pamoja na zile fedha, dhahabu, na vyombo vyote akavileta ndani ya hazina ya nyumba ya Mungu.
2 Chuin Solomon chun Israel upa ho, aphung khaiya aluboh ho, Israelte pule pa lhah’a insung lamkai ho akoukhomin ahi. Amaho chun Pathen thingkong chu aumna mun Zion tia kihe David khopia kona Houin a chu ahin putlut diu ahi.
Kisha Selemanai akawakusanya wazee wa Israeli, wakuu wa makabila yote, na viongozi wa familia za watu wa Israeli, katika Yerusalemu, ili walilete sanduku la agano la Yahwe kutoka mji wa Daudi, ambao ni Sayuni.
3 Chuti chun Israel pasal ho chu kumseh’a chavang laiya kimangji, lhambuh kut kimanna munna lengpa angsunga chun akikhom tauvin ahi.
Wanaume wote wa Israeli wakakusanyika mbele za mfalme katika sikukuu, ambayo ilikuwa katika mwezi wa saba.
4 Israel upa ho jouse ahunglhun phat uchun Levi techun thingkong chu adomdoh-un;
Wazee wote wa Israeli wakaja, na Walawi wakalichukua sanduku.
5 Chuin thempu hole Levi techun thingkong le ponbuh chule atilla-patna asunga ana umsa thil theng hochu ahin polut tauve.
Wakalileta sanduku, hema ya kukutania, na vyombo vitakatifu vyote ambavyo vilikuwa ndani ya hema. Makuhani waliokuwa wa kabila la Lawi wakavileta vtu hivyo.
6 Hichun thingkong masanga leng Solomon le Israel mipi chun kelngoi ho, kelchaho chule bong atama tam, simjou hilou chu Pathen adin alhandoh tauve.
Mfalme Selemanai na kusanyiko lote la Israeli wakaja pamoja, mbele ya sanduku, wakitoa sadaka za kondoo na maksai ambao hawakuweza kuhesabika.
7 Hichun thempu ho chun Pakai thingkong chu Houin theng dan sungnung muntheng chungnung pen, Cherubim lhaving teni noiya chun akoi tauvin ahi,
Makuhani wakalileta sanduku la anago la Yahwe ndani mahali pake, katika chumba cha ndani cha nyumba, kwenye patakatifu pa patakatifu, chini ya mabawa ya makerubi.
8 Cherubim chun thingkong chunga chu alhavingteni ajallin ahile, thingkong le akiputna moljol teni ding chun abuh-khu’in apang jeng in ahi.
Kwa kuwa makerubi walitandaza mabawa yao juu ya mahali pa sanduku, na walilifunika sanduku na na miti yake ya kulibebea.
9 Hiche akiputna moljol teni chu asaobeh set jeh chun, Houin a indan sungnung muntheng chungnung pena konin; amongval chu akimu theijin ahi. Ahinlah Houin pama konin vang akimu theipoi, hichu tuni chan in hichelai muna chun aum nalaiyin ahi.
Miti ilikuwa mirefu sana kwamba ncha zake zlionekana kutoka ile sehemu takatifu mbele ya chumba cha andani, lakini hazikuweza kuonekana kutoka nje. Zipo hapo hadi leo.
10 Pathen thingkong sunga chun Sinai molchunga Mose in anakoi songpeh teni tilou thildang emacha aumpoi, hiche lai mun hi Israel ten Egypt gam ahin dalhah nungu va Pakai toh Israel ten kitepna anasem nau mun chu ahi.
Hapakuwa na kitu katika sanaduku isipokuwa zile meza mbili ambazo Musa aliziweka humo huko Horebu, wakati Mungu alipofanya agano na watu wa Israeli, walipotoka nje ya Misri.
11 Chuin thempuho chun muntheng chu adalha tauve. Thempuho chu hiche nikho kin; kibolnaa panghen lang panghih jongle abon chaovin akisutheng soh keiyun ahi.
Ilikuwa makuhani walipotoka nje ya sehemu takatifu. Makuhanai wote wliokuwepo wakajiweka wakifu wenyewe kwa Yahwe, bila kujiamuru wenyewe kulingana na sehemu zao.
12 Chule Levite lasa themho Asaph, Heman Jeduthun chule asopiho le achateu chu tupat pon nemin akivon nun, maicham solama chun adingun; semjang pehkhong le selangdah atum un ahi. Amaho chu thempuho jakhat le somni chun sumkon mutnin akitho piuvin ahi.
Pia makuhani waliokuwa waimbaji, wote kwa ujumla wao, pamoja na Asafu, Hemani, Yeduthuni, na wana wao na ndugu zao, wakiwa wamevalia kitani safi na wakipiga matoazi, vinanda, na vinubi, wakaasimama upande wa mashariki wa mwisho wa madhabahu. Pamoja nao palikuwa na makuhuni 120 wakipuliza tarumbeta.
13 Sumkon mutho le lasa themho chun thakhat tah in Pakai chu choi-at nale thangvahna apeuvin ahi. Sumkon, Sumlheng chule suhgingthei jatchom chom toh thon Pakai chu hiti hin avah choiyun, “Pakai chu anunnome, Ami lungset na long lou chu atonsot na umjing ahi. Hiche pet tah chun meilhang lom khatnin Pakai Houin chu ahin lodim jengin ahi.
Ikawa kwamba wapuruza tarumbeta na waimbaji wakafanya mziki pamoja, wakifanya sauti moja isikike kwa ajili ya kumsifu na kumshukuru Yahwe. Walipaza sauti zao kwa tarumbeta, toazi na vyombo vingine, na wakamsifu Yahwe. Wakaimba, “Kwa maana Yeye ni mwema, kwa kuwa uaminifu wa agano lake wadumu milele.” Kisha nyumba, ile nyumba ya Yahwe, ikajawa na wingu.
14 Hiche meilhang jeh chun thempu ho chun anatoh u ajom thei tapouve, ijeh inem itile Pakai loupina chun Pathen Houin chu alo dimset ahitai.”
Makuhani hawakuweza kusimama ili wahudumu kwa sababu ya lile wingu, kwa maana utukufu wa Yahwe uliijaza nyumba yake.

< 2 Thusimbu 5 >