< 2 Thusimbu 36 >
1 Judah mipiten Josiah chapa Joahaz chu Jerusalem mah leng changdin thao anu taove
Watu wa nchi wakamchukua Yehoahazi mwana wa Yosia na kumfanya mfalme mahali pa baba yake huko Yerusalemu.
2 Joahaz hi Judah te lengmun ahinlochun kum 23 (Somni le thum) alhing taan ahi. Amahin Jeruselam mah lhathum bou vai anahomme
Yehoahazi alikuwa na umri wa miaka ishirini na mitatu alipoanza kutawala, akatawala huko Yerusalemu kwa miezi mitatu.
3 Egypt lengpa Neco in galhingin ana man in chuleh Judahten dangka K. g 3400 (Sangthum le Ja li) chuleh Sana K. g 34 kai apeh diuvin thu apen ahi
Mfalme wa Misri akamwondoa madarakani huko Yerusalemu na akatoza Yuda kodi ya talanta 100 za fedha na talanta moja ya dhahabu.
4 Neco chun Joahaz sopipa Eliakim chu amin khelpeh in Jehoiakim asah in Judah te lengin apansah tan ahi. Joahaz vangchu Egypt lang apuitaan ahi
Mfalme wa Misri akamweka Eliakimu, nduguye Yehoahazi, kuwa mfalme juu ya Yuda na Yerusalemu na kubadili jina la Eliakimu kuwa Yehoyakimu. Lakini Neko akamchukua Yehoahazi, Nduguye Eliakimu akampeleka Misri.
5 Jehoiakim chu Judah te lengpa ahung panchun kum 25 (Som ni le nga) alhingtaan ahi, aman Jerusalem mah kum 11 geijin vai apon ahi. Amahin Pakai pathen dounaan chonset anabollin ahi
Yehoyakimu alikuwa na umri wa miaka ishirini na mitano alipoanza kutawala, naye akatawala huko Yerusalemu miaka kumi na mmoja. Akafanya maovu machoni pa Bwana Mungu wake.
6 Babylon lengpa Nebuchadnezzer chun Judah te chunga gal ahin bollin Jehoiakim chu aman nin thih kollin Babylon geijin akaijin ahi
Nebukadneza mfalme wa Babeli akamshambulia na kumfunga kwa pingu za shaba akampeleka Babeli.
7 Nabuchadnezzer chun houin na kon in thiltam tah jong apodoh in, Babylon na lengte inpia akoiyin ahi
Nebukadneza akachukua pia vyombo kutoka Hekalu la Bwana na kuviweka katika hekalu lake huko Babeli.
8 Jehoiakim thilbol ho jouse leh kidah umtah thilse ana bolho jouse chu Israel te leh Judah te lenghon thusim bu a akijihlut sohkeijin ahi, Amahi achapa Jehoiachin nin akhellin leng ahung changin ahi
Matukio mengine ya utawala wa Yehoyakimu, machukizo aliyoyafanya na yote yaliyoonekana dhidi yake, yameandikwa katika kitabu cha wafalme wa Israeli na Yuda. Naye Yehoyakini mwanawe akawa mfalme baada yake.
9 Jehoiachin Judah te leng ahung chanchun kum 18 ahung lhingtan ahi, chuleh amahin Jerusalem mah lha thum leh ni som vai nahommin ahi. Amajong hin Pakai dounan chonset ana bollin ahi
Yehoyakini alikuwa na miaka kumi na minane alipoanza kutawala, naye akatawala huko Yerusalemu miezi mitatu na siku kumi. Akafanya yaliyo maovu machoni pa Bwana.
10 Chavang ahung lhunphat nin lengpa Nabuchadnezzer lin Jehoiachin chu galhingin anaman in houin sunga thil manlutah ho Babylon na apolutnin ahi. Hitichun Nabuchadnezzer in Jehoiachin pangah Zedekiah chu Judah le Jerusalem chungah vaihom min anapansah in ahi
Mnamo majira ya vuli, Mfalme Nebukadneza akatuma watu, nao wakamleta Babeli, pamoja na vyombo vya thamani kutoka Hekalu la Bwana. Naye akamfanya Sedekia, ndugu yake Yehoyakimu kuwa mfalme wa Yuda na Yerusalemu.
11 Zedekiah Judah te lenga ahung pan chunk um 21 (Som ni le khat) alhingtan ahi, ama Jerusalem mah kum 11 (Som le khat) anavaihom min ahi
Sedekia alikuwa na umri wa miaka ishirini na mmoja alipoanza kutawala, naye akatawala huko Yerusalemu kwa miaka kumi na mmoja.
12 Aman Pakai dounan chonset ana bollin aman Pakaija konna thu aphondoh hojong ana nahsah pon ahi
Alifanya maovu machoni pa Bwana Mungu wake, wala hakujinyenyekeza mbele ya nabii Yeremia, ambaye alinena neno la Bwana.
13 Zedekiah chu Nachadnezzer lengpan ama thuneina noija kitah a pan lajing dinga Pathen minna anakitep sah ahin, ahivangin ama dounan na ahin tong tan ahi. Amahin Israel Pathen Pakai anga kilekit na kisuhnemding ana nompon ahi
Pia alimwasi Mfalme Nebukadneza, ambaye alikuwa amemwapisha kwa jina la Mungu. Akashupaza shingo na akafanya moyo wake kuwa mgumu wala hakutaka kumgeukia Bwana, Mungu wa Israeli.
14 Hiche tilouvin jong Judah lamkaiho leh thempu ho chuleh amipiteo chun avelluva cheng namdang ho chonset bol ajuijun doiphung ahou un Pakai amatah in anasuh theng houin jong chu ana suboh un ahi
Zaidi ya hayo viongozi wote wa makuhani pamoja na watu wakazidi kukosa uaminifu zaidi na zaidi, wakafanya machukizo yote kama walivyofanya mataifa wakinajisi Hekalu la Bwana alilokuwa amelitakasa huko Yerusalemu.
15 Apu apateo Pakaiyin ama ho gihsal dingin a themgao hou ahin soljingin ahi. Ajeh chu aman amite a houin chu athenga aumding akhohsah ahi
Bwana, Mungu wa baba zao, akawapelekea neno kupitia wajumbe wake tena na tena, kwa sababu alikuwa anawahurumia watu wake pamoja na mahali pa maskani yake.
16 Ahinlah amahon Pathen thuhil chu anahsah pouvin athupeh adoudal un a themgao ho anuisatnun Pathen lunghanna achunguva achuh a ahoidoh nadiu abeihel tokah in Pathen doumah abollun ahi
Lakini waliwadhihaki wajumbe wa Bwana wakayadharau maneno yake na kuwacheka manabii wake mpaka ghadhabu ya Bwana ikawa kubwa dhidi ya watu wake na hakukuwa na namna ya kuituliza.
17 Hijeh hin Pakaiyin achunguvah Babylon lengpa anokhum sah jin ahi. Lengpan Judah khangthah teho chu houin sung geijin athatnin ahi. Aman khangdong leh tehse numei pasal, adamle adamlou khoto na aneipon ahi. Pathen nin lengpa khutnah apedoh gamsih seh in ahi
Mungu akamwinua dhidi yao mfalme wa Wakaldayo, aliyewaua vijana wao wa kiume kwa upanga ndani ya mahali patakatifu, ambaye hakumbakiza kijana mwanaume wala kijana mwanamke, wazee wala vikongwe. Mungu akawatia wote mikononi mwa Nebukadneza.
18 Babylon lengpan houin sunga thilman lutah tah ho lengpa leh anoija natong lamkai ho neile gou hojouse chu achommin Babylon langah akinung letan ahi
Akavichukua kwenda Babeli vyombo vyote kutoka Hekalu la Mungu, vikubwa na vidogo, hazina za Hekalu la Bwana pamoja na hazina za mfalme na za maafisa wake.
19 Aman houin leh khopi chu ahal lha in, leng inpi ahin anei agou ho jouse ahin achommin khopi paljong avolhu jengin ahi
Wakalichoma Hekalu la Mungu na kuzibomoa kuta za Yerusalemu, wakachoma moto majumba yote ya kifalme na kuharibu kila kitu chake cha thamani.
20 Aman mipi ahingdoh ho jouse chu Babylon na atollut nin hiche achun amahon amaleh ason apah hogeijin soh a ahin
Wale watu walionusurika kuuawa kwa upanga wakachukuliwa kwenda uhamishoni Babeli. Nao wakawa watumishi wake na wa wanawe mpaka wakati wa utawala wa ufalme wa Uajemi ulifika.
21 Pathennin Jeremiah themgao komma ana phondoh: “Agamchu kum 70 (Som sagi) sunga ahomkeova hung kijamding – cholngah ni ana nitlou nao kum hochu anasah doh sah got ahi”
Nchi ikaendelea kufurahia pumziko lake la Sabato, wakati wote wa kufanywa kwake ukiwa ilipumzika mpaka ile miaka sabini ilipotimia katika kutimiza neno la Bwana lililonenwa na Yeremia.
22 Persia lengpa Cyrus chu leng ahung chan kum masapen nin Pakaiyin themgao Jeremiah ana seidoh sahchu ahin guilhun sah in ahi. Aman Cyrus chu hitihin thupeh ahin neisah in hichu agamsung pumpia kithong tah a simdoh tho dingin anjih thon ahi
Katika mwaka wa kwanza wa utawala wa Koreshi mfalme wa Uajemi, ili kulitimiza neno la Bwana lililosemwa na nabii Yeremia, Bwana aliusukuma moyo wa Koreshi mfalme wa Uajemi kutangaza katika himaya yake yote kwa maandishi:
23 Hichehi Persia lengpa Cyrus thupeh ahi “Pakai van Pathen nin vannoi leiset apumpia ei vaihom sah in chuleh Juda gam ma um Jerusalem ma houin tundoh na ding ngin mopohna jong eipen ahi. Tun Pathen mite hojouse chu nagam languva nakile diu ahi tai, Pakai na Pathennu chun napui taohen” atin ahi
“Hili ndilo asemalo Koreshi mfalme wa Uajemi: “‘Bwana, Mungu wa mbinguni, amenipa falme zote duniani, na ameniagiza kumjengea Hekalu huko Yerusalemu katika Yuda. Yeyote wa watu wake miongoni mwenu, Mungu wake na awe pamoja naye, wacha huyo mtu na apande.’”