< 2 Thusimbu 10 >
1 Rehoboam chu Shachem muna achetan ahi, ajeh chu hichelai munna chu Israel mipi chu hung kikhom uva ama chu Lengpa’a pansah ding atiu ahi.
Rehoboamu akaenda Shekemu, kwa maana Isaraeli wote walikuwa wanakauja Shekemu kwa ajili ya kumfanya yeye mfalme.
2 Hiche thu chu Nebat chapa Jeroboam in ajadoh phat chun, Lengpa Solomon akonna sochatna ding deina jal'a Egypt gamma ana jammang na munna (Egypt muna), kon chun ahung kile kit tan ahi.
Ikatokea kwamba Yeroboamu mwana wa Nebati akasikia haya (kwa maana alikuwa katika Misiri, ambako alikuw amekimbilia kutoka kwenye uwepo wa Mfalme Selemanai, lakini Yeroboamu akarudi kutoka Misiri).
3 Israel lamkai ho chun ama chu akou uvin, chuin Jeroboam le Israel mipi chu Rehoboam kihoupi ding chun acheuvin ama koma chun hitin aseijiuvin ahi.
Kwa hiyo wakatuma na kumuita yeye, na Yeroboamu na Israeli wote wakaja; wakamwambia Rehoboamu na kusema,
4 “Napan kachung uva akoi namkol jon hi agih valle, hiche natoh hahsa le kachung uva kikoi namkol jon gihtah hi nei suh jang peh uvin,” atiuvin ahi.
“Baba yako aliifanya nira yetu ngumu. Kwa hiyo sasa, ifanye kazi ngumu ya baba yako kuwa rahisi, na ifanye nyepesi nira yako ambayo baba yako aliiweka juu yetu, na sisi tutakutumikia wewe.”
5 Rehoboam in adonbut in, “Nithum joule kahenga hung kile kitnun,” ati. Hiti chun mipiho chu achemang tauvin ahi.
Rehoboamu akawaambia, “Njoni kwangu tena baada ya siku tatu.” Kwa hiyo watu wakaondoka.
6 Chuin Rehoboam lengpa chun apa Solomon damlai’a alhachaa anapang upa ho ahoulim pin, hiche miho hi iti donbut leng natiu vem? tin aman adong tan ahi.
Mfalme Rehoboamu akaomba ushauri kwa wazee ambao walikuwa wamesimama mbele ya Selemani baba yake wakati alipokuwa hai; akasema, Mnanishauri niwape jibu gani watu hawa?”
7 Amahon adonbut’un hiche miho chu nakhotoa ahile amaho chu lunglhai sah in, lang angaichat bang bang u chun donbut tan; chutileh amaho chu nalhachan pangjing tauvinte, atiuvin ahi.
Wakasema kwake, Ikiwa wewe ni mwema kwa watu hawa na uwapendeze, na sema maneno mazuri kwao, basi siku zote watakuwa watumishi wako.”
8 Ahinlah Rehoboam chun upa hon thumop apeh uchu anoppeh tapon, chuin amatoh thakhatna hungseilen le ama jenle khangthah ho chu ahoulim pin ahi.
Lakini Rehoboamu akapuuza ushauri wa wazee ambao walimpa, na akashauriana na wanauame vijana ambao walikuwa wa rika lake, ambao walisimama mbele yake.
9 Aman ama ho chu adongin, “Nangho thumop ipi hiding ham? Itilama hiche mihon kakoma aseiju napan kachung uva akoi namkol jon hi neisuh jang peh un, tia asei uhi iti lama adonbutna ipeh diu ham?”
Akawaamabia, “Mnanipa ushauri gani, ili kwamba niwajibu watu waliozungumza kwangu na kusema, “Ifanye nyepesi nira yako ambayo baba yako aliiweka juu yetu'?”
10 Amatoh hungseilen khom khangthah hochun adonbut nun, mipihon nakoma aseiyu, “Napan kachung uva eikoipeh’u namkol jon hi agih valle, hijongleh nangman neisuh jang peh un atiuchu kakhut jung mecha hi kapa kong sanga lenjo ahi,” tin seipeh tan atiuve.
Wanaume vijana mabaoa walikuwa rika la Yeroboamu wakasema kwake, wakisema, “Hivi ndivyo utakavyosema kwa watu waliokuambia kwamba baba yako Selemani aliifanya nira yao nzito, lakini kwamba lazima uifanye nyepesi. Hivi ndivyo utakavyosema kwao, 'Kidole changu kidogo ni kinene kuliko kiuno cha baba yangu.
11 “Kapan namkol jon gih chu keiman agih jep'a kabol ding ahi,” tin seipehtan atiuve. “Kapan savun khaohola najep’u ahin, keiman tenggol pah mun’a kajep ding nahiuve,” tin seipeh un atiuve.
Kwa hiyo sasa, ingawa babab yangu aliwatwika nira nzito, nitaiongeza nira yenu. Baba yangu aliwaadhibu kwa mijeredi, lakini nitawaadhibu kwa nge.”
12 Lengpan, “Nithum sungin kakoma hungkit nun,” atibang bang chun Jeroboam le mipi ho jouse chu nithum jouvin Rehoboam koma ahungkit taovin ahi.
Kwa hiyo Yeroboamu na watu wote wakaja kwa Rehoboamu katika siku ya tatu, kama aliavyosema mfalme, “Rudini kwangu katika siku ya tatu,”
13 Lengpan upa ho thumop chu anotthap min, engse tah’in amaho chu ana donbut in.
Yeroboamu akasema kwa kwao kwa ukatili, akiupuuza aushauri wa wazee.
14 “Khangthah ho thumop ajuijin, kapan na namkol’jon gihtah in asemin, keiman agihjo cheh’a kasempeh ding nahive, kapan savun khao holla najep u ahin, keiman sakol jepna a kajep ding nahiuve,” atin ahi.
Akasema kwao akiufuata ushauri wa wanaume vijana, akisema, “Baba yangu aliifanya nira yenu nzito, lakini mimi nitaiongeza. Baba yangu aliwaadhibu kwa mijeredi, lakini mimi nitawaadhibu kwa nge.”
15 Hiti chun Lengpa chun mipiho thu chu angaipeh tapou vin ahi. Ajeh chu hiche thilsoh ho jouse hi Pathen a kona Sheloh mipa Ahijah in Nebat chapa Jeroboam koma, Pakai in anaseidohsa thu chu guilhung ahi.
Kwa hiyo mfalme hakuwasikiliza watu, kwa kuwa lilikuw tukio lililoletwa na Mungu, kwamba Yahwe aweze kulitimiza neno lake ambalo Ahiya Mshiloni alikuwa amemwambia Yeroboamu mwana wa Nebati.
16 Israel mipi ho chun lengpan athu sei angaipeh louphat uchun lengpa chu adonbut nun, “Jesse chapa David koma keihon ipi chan, ipi mun kanei diu ham? Israel! Naponbuh achun David in na insung bou vesuitan,” atiuvin ahi, hitichun Israel mipi jouse chu ain lam uvah ache tauvin ahi.
Israeli wote, walipoona kwamba mfalme hakuwasikiliza, watu wakamjibu na kusema, “Tunasehemu gani katika Daudi? Hatuna urith katika wana wa Yese! Kila mmoja wenu anapaswa kwenda katika hema yake, Israeli. Sasa kila mtu aone nyumba yake, Daudi.” Kwa hiyo Israeli wote wakarudi kwenye hema zao.
17 Ahinlah Judah khopi hoa cheng jing nalai Israel mite ding chun, Rehoboam in vai ahom nalaijin ahi.
Lakini kwa watu wa Yuda walioishi katika miji ya Yuda, Yeroboamu akatawala juu yao.
18 Lengpa Rehoboam chun Adoniram kitipa ada achamlouva nakitohsah ho chunga mopopa chu asoldoh in, ahinlah ama chu Israel mipi hon song a anaseplih tauvin ahi. Hijeng jongleh Lengpa Rehoboam chu a sakol kangtalai achun anakaldoh man in, Jerusalem lama ana jamdoh in ahi.
Kisha mfalme Rehoboamu akamtuma Adoramu, ambaye alikuwa msimamizi wa wafanya kazi, lakini watu wa Israeli walimuua kwa kumpiga mawe. Mfalame Rehoboamu akaingia haraka ndani ya gari lake kwenda Yerusalemu.
19 Hiti chun Israel mite chun tuni chanin, David insung chu adou jing nalai un ahi.
Kwa hiyo Israeli wakawa waasi dhidi ya nyumba ya Mungu hadi leo.