< 1 Samuel 27 >
1 Ahinlah David amale ama akingaiton, “Nikhat leh Saul in tha tei ding eigot ahitai. Kabol thei pentah chu ahile Philistine gam'a jamdoh ing ting, Chutileh, Saul in Israel gamsunga eidal le le hi bei tante chuteng hichu kahoidoh na achaina hitante,” ati.
Daudi akasema moyoni mwake, “Katika mojawapo ya siku hizi nitaangamizwa kwa mkono wa Sauli. Jambo lililo bora ni kutorokea kwenye nchi ya Wafilisti. Hivyo Sauli atakata tamaa ya kunisaka popote katika Israeli, nami nitakuwa nimeponyoka mkononi mwake.”
2 Hichun David in a sepai mi jagup akipuijin, Gath lengpa Moach chapa Achish ajoptai. David le a sepaite, chule ainsung mite, Gath muna Achish toh acheng khom tauve.
Hivyo Daudi akaondoka na hao watu mia sita waliokuwa pamoja naye na kwenda kwa Akishi mwana wa Maoki mfalme wa Gathi.
3 David chu aji teni, Ahinoam Jezreel a kon, chule Abigail, Nabal inneipi meithai Carmel’a kon hotoh hungkhom ahiuve.
Daudi na watu wake wakakaa huko Gathi pamoja na Akishi. Kila mtu alikuwa pamoja na jamaa yake, naye Daudi pamoja na wakeze wawili: yaani Ahinoamu wa Yezreeli, na Abigaili wa Karmeli, mjane wa Nabali.
4 Saul in adel jamle le theilou nading in David Gath lengpa komah ajamlut tai tithu chu Saul in gangtah in ana jatan ahi.
Sauli alipokuwa ameambiwa kwamba Daudi alikuwa amekimbilia Gathi, hakuendelea kumsaka tena.
5 Nikhat David in Achish komah, “Kachunga nalung alhaiya, nalungsetna kachanthei dinga ahile, hiche kholen ho lah’a hin kachenna thei ding mun khat neipen, ajeh chu ipi dinga nasohpa hi hiche lengpa khopi sunga nangtoh kachen khom khom thei ding ham?” ati.
Ndipo Daudi akamwambia Akishi, “Kama nimepata kibali machoni pako, unipe sehemu katika mojawapo ya miji katika nchi nikae huko. Kwa nini mtumwa wako akae pamoja nawe katika mji huu wa kifalme?”
6 Hijeh chun Achish in hiche nikho chun Ziklag khopi chu David anape tai, hijeh a chu tuni changeija Ziklag khopi hi Juda lengte chang den ahitai.
Hivyo siku hiyo Akishi akampa Daudi mji wa Siklagi, nao Siklagi umekuwa mali ya wafalme wa Yuda tangu wakati huo.
7 Chule amaho Philistine mite lah’a kum khat le lha li ana chenguve.
Daudi akaishi katika nchi ya Wafilisti muda wa mwaka mmoja na miezi minne.
8 David le a sepai te ana kon touvun Geshur mite le Girzi mite chule Amalek mite aga chom uvin ahi. Hiche mite hohi Shur toh kinai, Egypt mite gamsunga ana chenglui ahitauve.
Basi Daudi na watu wake wakapanda na kuwashambulia Wageshuri, Wagirizi na Waamaleki. (Tangu zamani haya mataifa yalikuwa yameishi kwenye eneo lililotanda kuanzia Telemu katika njia iteremkayo Shuri hadi kufikia nchi ya Misri.)
9 David in ana nokhum chun koimacha ana hinghoi pon ahi. Aman kelngoi, kelcha, bong, sangan, sa-ngong sao ana kikaiyin, chule ponho analan, Achish lengpa kom ana lhut in ahi.
Kila mara Daudi aliposhambulia eneo, hakubakiza hai mwanaume wala mwanamke, lakini alichukua kondoo na ngʼombe, punda na ngamia, na nguo. Kisha akarudi kwa Akishi.
10 Achish in, “Tuchung koipen naga chom hitam?” tin anadongin ahile David in, “Juda gam lhanglam sang, Jerahmeel gamsung, Ken mite chenna gamsung dung pou kaga chom ahi,” ati.
Akishi alipomuuliza, “Je leo umeshambulia wapi?” Daudi humjibu, “Dhidi ya Negebu ya Yuda,” au wakati mwingine husema, “Dhidi ya Negebu ya Yerameeli,” au “Dhidi ya Negebu ya Wakeni.”
11 David chun koimacha numei pasal khen beiyin ana thatgam jin, ama le amite natoh dol chu Gath khoa gaseidoh ding aumjipoi. Philistine miho lah’a aum sunga, avel vella hichehi abol jing kei ahi.
Daudi hakumwacha hai mwanaume au mwanamke ili apate kuletwa Gathi, kwa maana Daudi aliwaza, “Wanaweza kujulisha habari zetu na kusema, ‘Hivi ndivyo alivyofanya Daudi.’” Hii ndiyo ilikuwa desturi yake wakati wote aliishi katika nchi ya Wafilisti.
12 Achish chun David chu atahsan jeh chun, “Tuvang hin Israel miten David hi hatah in doudal tauvin tin, kakoma uma aimatih chana kakin abol ding hita hi,” tin ana gel’e.
Akishi akamsadiki Daudi na kuwaza moyoni mwake, akasema, “Daudi amekuwa kitu cha kuchukiza kabisa kwa watu wake, Waisraeli, hivi kwamba atakuwa mtumishi wangu milele.”