< 1 Lengte 6 >
1 Israel chate Egypt gam ahin dalhah kal kum jakhat le somget lhin kum, Israelte chung’a Solomon leng vaipoh jou kumli lhin kum lhani lhinna Ziv lhasung in Solomon chun houin sah nading natoh apan tan ahi.
Katika mwaka wa 480 baada ya Waisraeli kutoka nchi ya Misri, katika mwaka wa nne wa utawala wa Solomoni katika Israeli, katika mwezi wa Zivu, ambao ndio mwezi wa pili, alianza kujenga Hekalu la Bwana.
2 Solomon Lengpan Pakai houin dinga asah chu adung tong somko, avai tong somthum ahin chule asan dan chu tong somli le nga ahiye.
Hekalu hilo Mfalme Solomoni alilojenga kwa ajili ya Bwana lilikuwa na urefu wa dhiraa sitini, upana wa dhiraa ishirini na kimo cha dhiraa thelathini kwenda juu.
3 Hongcha kihoi chu feet somthum in asaovin a invai chutoh akibange, chuleh a inmai lam chu tong som lenga in asao in ahi.
Baraza ya mbele ya Hekalu ilienea dhiraa ishirini kulingana na upana wa Hekalu na kujitokeza dhiraa kumi mbele ya Hekalu.
4 Solomon in houin bangkot tampi akihoijin, insunglam sangin apolam aneojep in ahi.
Akatengeneza madirisha membamba yenye vidirisha vidogo vya juu katika Hekalu.
5 Inbang kimvel leh inbang lhung keija kigol phei dingin doson asem in, a lailung leh muntheng dansung nung kimvel geijin jong doson asempeh in chuleh jetle veija jong indan khatcheh akidoi.
Akafanyiza vyumba vya pembeni kulizunguka Hekalu lote vikishikamana na kuta za Hekalu na za Patakatifu pa Patakatifu.
6 Dan noi-nungpen chu tong nga, dan lailha chu tong gup alhing in, danthum lhinna chu tong sagi ahin indou injol chengse chu insunga akithol lut pai louna dng in in polam achun kalbi lei akido touvin ahi.
Ghorofa ya chini kabisa ilikuwa na upana wa dhiraa tano, ya kati ilikuwa dhiraa sita na ya tatu ilikuwa dhiraa saba. Kuzunguka ukuta wa nje wa Hekalu akapunguza ukuta pande zote ili boriti zisishikane kwenye kuta za Hekalu.
7 Houin sahna dia kiman songho akilaidohna muna kisuitoh tohsa ahin, hijeh chun houin kisah laisung sen jong sehcha kivopoh ham heicha kitu poh ham ahi louleh thih manchah kimanga kivopoh husan imacha aki jadoh poi.
Katika kujenga Hekalu, yalitumika tu mawe yaliyochongwa huko machimboni, wala hakuna nyundo, patasi au chombo kingine chochote cha chuma kilichosikika sauti yake katika eneo la ujenzi wa Hekalu wakati lilipokuwa likijengwa.
8 Indan noinungpen lutna ding’a kihoi kot chu bang lhanglam ah aki hoijin, miho chu akimlai jonna kalbi leija kal touva chujouteng leh adan lailha akona chu dan thum lhinna achu kaltou ahiye.
Ingilio la ghorofa ya chini kabisa lilikuwa upande wa kusini wa Hekalu, ngazi ilielekea ghorofa ya kati na kutokea hapo ilielekea hadi ghorofa ya tatu.
9 Hiti hin Solomon in houin chu anasan asa joutai, chuleh bichingdal dingin thinglhon holeh Cedar thing khunpeh hochu amang in ahi.
Basi Solomoni akajenga Hekalu na kulikamilisha, akiliweka paa za boriti na mbao za mierezi.
10 Akiseima bang chun, aman indan thumchu kijopmat cheh, dank hat chu tong sagi le akeh cheh sangin, Houin polam bang to kingat toa kisem ahin, cedar thinglhon a kijopmat cheh ahi.
Mfalme Solomoni akajenga vyumba vya pembeni kuzunguka Hekalu lote. Kimo cha kila kimoja kilikuwa dhiraa tano. Navyo vilikuwa vimeunganishwa na Hekalu kwa boriti za mierezi.
11 Pakaiyin Solomon henga thu ahin sei jin,
Neno la Bwana likamjia Solomoni kusema:
12 “Hiche houin nasah chung’a hi, nangin ka danthu holeh kathupeh ho chengse na nitsoh keija ahileh keiman napa David koma kana kitepna chu nang chunga hi ka todoh ding ahi.
“Kwa habari ya Hekalu hili unalojenga, kama ukifuata amri zangu, ukatunza masharti yangu na kushika maagizo yangu yote na kuyatii, kwa kupitia wewe nitatimiza ahadi niliyomwahidi Daudi baba yako.
13 Keiman Israelte lah a kachen ding Israel mipite hi ka nungsun louhel ding ahi,” ati
Nami nitakaa miongoni mwa Waisraeli, nami sitawaacha watu wangu Israeli.”
14 Hitihin Solomon chun houin chu asa chai tan ahi.
Basi Solomoni akajenga Hekalu na kulikamilisha.
15 Houin sung a abang jouse, atol’a pat abiching geiyin cedar thingpeh in atomjol soh keijin, alhong jong chahthingpeh apha in atomjol soh keiyin ahi,
Akazifunika kuta zake za ndani kwa mbao za mierezi, akizipigilia ukutani kuanzia sakafuni mwa Hekalu hadi kwenye dari na kufunika sakafu ya Hekalu kwa mbao za misunobari.
16 Aman insung dan, Muntheng chungnungpen kiti lai chu Houin tomlam a kisem ahin, atol’a pat abiching geiya tong somni sao, cedar thingpeh a kigentan ahi.
Akagawa dhiraa ishirini sehemu ya nyuma ya Hekalu kwa mbao za mierezi kuanzia kwenye sakafu hadi darini ili kufanya sehemu takatifu ya ndani, yaani Patakatifu pa Patakatifu.
17 Muntheng chungnung masanga um, Houin inpi chu tong 40 in asaovin ahi.
Ukumbi mkubwa uliokuwa mbele ya chumba hiki ndio ulikuwa na urefu wa dhiraa arobaini.
18 Insunga a song bang ho jouse chu Cedar thingpeh in phatechan akitomjol soh keijin, chule umga leng tobang leh pahcha pahlha ding kon banga ki jempol ahi.
Hekalu ndani ilikuwa ya mierezi iliyonakshiwa mifano ya maboga na maua yaliyochanua. Kila kitu kilikuwa cha mwerezi, hakuna jiwe ambalo lilionekana.
19 Aman indan sungnung lang ah chun Pakai Kitepna Thingkong koina dingin indan theng khat asembe in ahi.
Ndani ya Hekalu akatengeneza sehemu takatifu ya ndani, kwa ajili ya kuweka Sanduku la Agano la Bwana.
20 Hiche in dan theng sung chu tong somni in asauvin, tong somni ma alennin, tongsomni ma asang in ahi. Dan theng sung apumpi chu sana thengsel in atomjol sohkei jin, chuleh Cedar thing a kisem maicham phung jong chu san in atomjol soh keiyin ahi.
Sehemu takatifu ya ndani ilikuwa na upana, urefu na kimo cha dhiraa ishirini ndani kwa ndani. Akaifunika ndani kwa dhahabu safi, pia akaifunika madhabahu ya mierezi vivyo hivyo.
21 Chule Solomon in indan sung aumpi chun sana thengselin atomjol soh keiyin ahi, dan theng chungnung pen lutna maija chun sana gui teni ajam pelton, sana maman atomjol in ahi.
Solomoni akaifunika sehemu ya ndani ya Hekalu kwa dhahabu safi, naye akaitandaza mikufu ya dhahabu kutoka upande moja hadi ule mwingine mbele ya Patakatifu pa Patakatifu, ambako palifunikwa kwa dhahabu.
22 Hiti chun Houin sung pumpi chule Muntheng sung nunga maicham jong apumpin sana jengin atomjol in ahi.
Basi akafunika sehemu yote ya ndani kwa dhahabu. Pia akafunika madhabahu yale yaliyokuwa ndani ya Patakatifu pa Patakatifu kwa dhahabu.
23 Muntheng chungnung laiya hin olive thing kisem Cherubim Vantil lhaving ni nei limni akisem in, khat cheh chu tong som asang in ahi.
Katika Patakatifu pa Patakatifu akatengeneza makerubi wawili kwa mzeituni, kila moja likiwa na dhiraa kumi kwenda juu.
24 Cherubim Vantil khatchu alha langkhat tong nga alhing in, alangkhat ma jong chuti ma man tong nga ma alhing’e. Hijeh chun alha mong lang khat apat alang khat lha mong geijin tong som a lhing’e.
Bawa moja la kerubi wa kwanza lilikuwa na urefu wa dhiraa tano na bawa jingine dhiraa tano, hivyo urefu kutoka ncha ya bawa moja hadi ncha ya bawa jingine ulikuwa dhiraa kumi.
25 Cherubim teni chu aletdan jong aneo dan jong akibang gel in, chule a gongsuo jong thakhat chat ahilhone.
Kerubi wa pili alikuwa na urefu wa dhiraa kumi pia, hivyo makerubi hao wawili walifanana kwa vipimo na kwa umbo.
26 Cherubim teni chu ani nilhon in asandan tong som alhing cheh lhon e.
Kimo cha kila kerubi kilikuwa dhiraa kumi.
27 Cherubim teni chu, Solomon in, indan sung lang peh a atung in, alha lhon aki jalsoh keijin Cherubim khat lhaving chun bang lang khat aphan, chutengleh alha lang khat gel lhon chu alaija alha vingle alha ving akitong kha to lhonin ahi.
Aliwaweka makerubi hao ndani ya Patakatifu pa Patakatifu pa Hekalu, mabawa yake yakiwa yamekunjuliwa. Bawa la kerubi mmoja liligusa ukuta mmoja, wakati bawa la yule mwingine liligusa ukuta mwingine, nayo mabawa yao mengine yaligusana katikati ya chumba.
28 Solomon in Cherubim vantil teni jong chu sana’n atom jolsel jengin ahi.
Akafunika wale makerubi kwa dhahabu.
29 Indan lenpa bang jouse indan sungnung bang jouse chu Cherubim vantil lim le tumthing lim chule pahcha lim jengin akijempol in ahi.
Juu ya kuta zote zilizozunguka Hekalu, za vyumba vya ndani na vya nje, zilipambwa kwa nakshi zilizokatwa za makerubi, miti ya mitende na maua yaliyochanua.
30 Alhong ho jeng jong chu asung apo ki bang in sana jengin atomjol in ahi.
Pia alifunika sakafu zote za vyumba vya ndani na vya nje vya Hekalu kwa dhahabu.
31 Munthng chungnung lutna dingin Solomon chun olive thing jengin kotpi asem soh keijin, kot chunga ajol pa leh akotpi khom chengse chu agom in nga jen alhinge.
Kwa ingilio la Patakatifu pa Patakatifu akatengeneza milango ya mbao za mzeituni, zikiwa na miimo na vizingiti vyenye umbo la pembe tano.
32 Kotpi teni chu Cherubim limle tumthing lim chule pahcha lim akisem in, Kotpi ahin chule lim kisem ho ahin abonchan sanan atom jolsoh kei jin, Cherubim vantil lim kisem hole tum thing lim kisemho chunga jong chun sanatui athe khum in ahi.
Juu ya milango miwili ya mbao za mzeituni alinakshi makerubi, miti ya mitende pamoja na maua yaliyochanua na kufunika makerubi na miti ya mitende kwa dhahabu iliyofuliwa.
33 Houin kimlai lunga lutna ding kotpi khomho jong chu aning li noija Olive thing jeng’a kisem ahin, hitobang bang hin asemin ahi.
Kwa njia iyo hiyo akatengeneza miimo yenye pande nne ya miti ya mizeituni, kwa ajili ya ingilio la ukumbi mkubwa.
34 Chahthing a kisem kotpi ni alhing in, kotpi khatna ajet aveija kotpeh teni chu aki lhep theigel ahi, chu tobangma chun kotpi khatpa jong ajet aveija akotpi teni akilhep thei cheh in ahi.
Kulikuwa na milango miwili iliyoweza kukunjuka iliyotengenezwa kwa mbao za msunobari na kila mmoja ulikuwa na bawaba ambazo zingeuwezesha kujikunja kila kipande juu ya kingine.
35 Akotpeh chung dunga chun Cherubim limle tumthing lim chule pahcha limjeng jengin ajempol sohkeije. Chuleh abonchan sana’n atom gel in, akijopna dung gei jong sana aloival sohkei jin ahi.
Akanakshi makerubi, miti ya mitende na maua yaliyochanua juu yake na kufunika kwa dhahabu iliyonyooshwa vizuri juu ya michoro.
36 Houin alai lung alhong chu song khensa gol thum'in asen chule Cedar thing inkam adat nadin golkhat in ajambe na laiye.
Tena akajenga ua wa ndani safu tatu za mawe yaliyochongwa na safu moja ya boriti za mierezi zilizorembwa.
37 Solomon leng chan kumli channa Zif lhasung in Pakai houin chu akhombul ana tung doh pan tauvin ahi.
Msingi wa Hekalu la Bwana uliwekwa katika mwaka wa nne, katika mwezi wa Zivu, ndio mwezi wa tano.
38 Solomon Lengchan kum somlekhat channa ‘Bul’ kiti lha sung hin Houin sahna dinga ana kigonna dung jui bang tahin ana kijou chaisoh tauvin ahi. Hiti chun hiche houin sahna ahin kum sagi ana lut in ahi.
Katika mwaka wa kumi na moja, mwezi wa Buli, ndio mwezi wa nane, Hekalu lilikamilika katika hatua zake zote kwa kufuatana na maelekezo yake Solomoni. Alilijenga kwa miaka saba.