< 1 Thusimbu 23 >
1 Chuin David ahung teh in, akum atamphat in achapa Solomon chu Isrealte lengpan apansah tai
Daudi alipokuwa mzee aliyeshiba siku, akamfanya Solomoni mwanawe kuwa mfalme juu ya Israeli.
2 Aman Isreal gam a lengte, thempuho chule Levi mite akhom in ahi
Pia akawakusanya pamoja viongozi wote wa Israeli, pamoja na makuhani na Walawi.
3 Levite chu kum somthum apat chunglam se chu khat khat in akisim un, pasal mi sangsom thumle get alhing ui.
Walawi waliokuwa na umri wa miaka thelathini au zaidi walihesabiwa, nayo hesabu ya wanaume ilikuwa 38,000.
4 Hinlah mi sang somni le sang li chu Pathen houin sunga naa atoh sah in, chule mi sang gup chu alamkai le thutan vaihom dingin apansah tai.
Daudi akasema, “Miongoni mwa hawa, 24,000 watasimamia kazi ya Hekalu la Bwana na 6,000 watakuwa maafisa na waamuzi,
5 Chukitle mi sangli chu kot ngah din akoi in, mi sangli ma chu aman apeh tumging ho mangchan Pathen vahchoi jing dingin umhen tin David in aseije.
na 4,000 watakuwa mabawabu, na wengine 4,000 watamsifu Bwana kwa ala za uimbaji nilizotoa kwa ajili ya kusudi hilo.”
6 Chuin David chu Levi chate Gershon, kohath le Merari min in akhen kit in ahi.
Daudi akawagawa Walawi katika makundi kufuatana na wana wa Lawi: Gershoni, Kohathi na Merari.
7 Gershon mite hochu Laaadan le Shimei ahi
Wana wa Wagershoni walikuwa wawili: Ladani na Shimei.
8 Laadan chate chu Jehiel le Zatham le Joel agom a thum
Wana wa Ladani walikuwa watatu: Yehieli wa kwanza, Zethamu na Yoeli.
9 Shimei chate chu Shelomith leh Heziel le Haran ahi. Amaho hi Laadan insunga mi upa ho ahiuve
Wana wa Shimei walikuwa watatu: Shelomothi, Hazieli na Harani. Hawa watatu walikuwa viongozi wa jamaa za Ladani.
10 Chule Shimei chate chu Jahath, Ziza, Zeush chule Beriah. Amaho li hi Shimei chate ahiuve.
Nao wana wa Shimei walikuwa wanne: Yahathi, Zina, Yeushi na Beria.
11 Chule Jahath chu Haosa lamkai ana hin, Zizah chu ani channa anahi, amavang Jeush chule Beriah teni hin chapa tampi ana hing lhon lou jeh in pakhat insung in akisim tai.
Yahathi alikuwa wa kwanza na Ziza wa pili, lakini Yeushi na Beria hawakuwa na wana wengi; kwa hiyo walihesabiwa kama jamaa moja, wakapewa wajibu kwa pamoja.
12 Kohath hin chapa li ana hingin amahochu; Amran, Izahar, Hebron chule Uzziel ana hiuve.
Wana wa Kohathi walikuwa wanne: Amramu, Ishari, Hebroni na Uzieli.
13 Amaram cha Pasal teni chu Aaron chule Mose ana hi. Aaron hin Pathen a dingin pumgo thilto ana lhantheng jing thei nadia chule ama achapaten atonsot a Pathen anga thilto gimnamtwi ana hal jing uva; ama lenggam a dinga akipehdoh jing uva, chule ama minna phatthei achan jing thei nadiuvin, asopipa toh ana ki sukhen in ahi.
Wana wa Amramu walikuwa: Aroni na Mose. Aroni waliwekwa wakfu, yeye na wazao wake milele, wawe wakiweka wakfu vitu ambavyo ni vitakatifu mno, kutoa dhabihu mbele za Bwana, kuhudumu mbele zake na kutamka baraka katika Jina la Bwana milele.
14 Mose hi Pathen mipan ana kisim in ahi. Achapa techu Levi chilhah noiya ana ki minvon ahi.
Wana wa Mose mtu wa Mungu walihesabiwa kama sehemu ya kabila la Lawi.
15 Mose chapa techu Gershom chule Eleizer ana hi hone.
Wana wa Mose walikuwa: Gershomu na Eliezeri.
16 Gershom chapa telah a chun Shebul chu ana haosa lamkaiyin ahi,
Wazao wa Gershomu: Shebueli alikuwa wa kwanza.
17 Chule Eleizer chapate lah a Rehabiah chu ana Haosa lamkaiyin ahi. Eleizer hin chapa dang ana hingpon ahi, amavang Rehabia hin chapa tampi ana hing in ahi.
Wazao wa Eliezeri: Rehabia alikuwa wa kwanza. Eliezeri alikuwa na mwana mmoja tu, lakini wana wa Rehabia walikuwa wengi sana.
18 Izhar chapa te lah a Shalomith chu ana haosa lamkaiyin ahi.
Wana wa Ishari: Shelomithi alikuwa wa kwanza.
19 Hebron chapate lah a Jeriah chu ana tah pen in ahi, Amariah chu anina an hin, Jahaziel chu athumna chule Jekameam chu ali channa ana hi.
Wana wa Hebroni walikuwa: Yeria alikuwa wa kwanza, wa pili Amaria, wa tatu Yahazieli, na wa nne Yekameamu.
20 Uzziel chapate lah a Micah chu atahpen in chule Issiah chu ani channa ana hi.
Wana wa Uzieli walikuwa: Mika wa kwanza na Ishia wa pili.
21 Merari Chate ho chu Mahli le Mushi ahin Mahli chapate chu Mahli, Eleazer le Kish ahiuve.
Wana wa Merari walikuwa: Mahli na Mushi. Wana wa Mahli walikuwa: Eleazari na Kishi.
22 Chapa neilouva Eleazar thi chule chanu bou anei in ahi. Chule asopi Kish chapaten achanu te akichen pin ahi.
Eleazari akafa bila ya kuwa na wana: alikuwa na binti tu. Binamu zao, wana wa Kishi, wakawaoa.
23 Mushi Chateho chu Athum uvin- Mahli, Eder chule Jeremoth ho ahiuve
Wana wa Mushi: Mahli, Ederi na Yeremothi; wote walikuwa watatu.
24 Hichengse hi Levi insungmi le ason apah ho chengse ahiuve- amin kikhumlut dungjui in insung lamkai ho chengse jong achangseh'in akisim in ahi
Hawa walikuwa wazao wa Lawi kwa jamaa zao. Wakuu wa jamaa kama walivyoandikwa kwa majina yao na kuhesabiwa kila mmoja, yaani, wenye uwezo wa kufanya kazi kuanzia miaka ishirini au zaidi, waliohudumu katika Hekalu la Bwana.
25 Chuin David in, Isreal Pathen chun amite cholngah sah in chule atonsot a Jerusalem a cheng ding ahi.
Kwa maana Daudi alikuwa amesema, “Kwa vile Bwana, Mungu wa Israeli amewapa watu wake raha na amekuja kuishi Yerusalemu milele,
26 Pathen houbuh a kimang le athil ho chengse jong Levi ten anungpoh kit lou diu ahitai.
Walawi hawahitaji tena kubeba Maskani wala chombo chochote cha utumishi wake.”
27 David hilchah na achainapen dungjui in, Levi techu kum somni a tah le achunglam apat kisim pan ahi.
Kulingana na maagizo ya mwisho ya Daudi, Walawi waliohesabiwa ni wale wa kuanzia umri wa miaka ishirini au zaidi.
28 Levi techun Pathen houbuh a Aaron chapate akithopiuva, indan ho sutheng le ding, thil thengho koitup ding chule Pathen houbuh a natoh chengse vetup ding ahiuve.
Wajibu wa Walawi ulikuwa kuwasaidia wazao wa Aroni kuhudumu katika Hekalu la Bwana: Kuwa wasimamizi wa nyua, vyumba vya pembeni, kutakasa vyombo vitakatifu na utendaji mwingine wowote katika nyumba ya Mungu.
29 Dokhanga changlhah luidoh ding, todoh ding changbong ho chule ajat alet aneo dungjui a haltoh ding chengse jong avettup diu ahi.
Walikuwa wasimamizi wa mikate iliyowekwa mezani, unga kwa ajili ya sadaka za nafaka, mikate isiyotiwa chachu, uokaji na uchanganyaji, pamoja na vipimo vyote vya wingi na ukubwa.
30 Jingkah seh le ding uva Pathena vahchoi dingu ahi. Nilhah le angaima banga abol kit diu ahi.
Pia ulikuwa wajibu wao kila asubuhi kumshukuru na kumsifu Bwana. Iliwapasa pia kufanya hivyo jioni
31 Chule amahon Sabbath nikho le Lhathah nikho a Pakai anga thilto abol teng ule amijat ana ngaichat dungjui a abol diu ahi.
na wakati wowote sadaka za kuteketezwa zilipotolewa kwa Bwana siku za Sabato na kwenye sikukuu za Mwezi Mwandamo na katika sikukuu nyingine zilizoamriwa. Iliwapasa kuhudumu mbele za Bwana mara kwa mara kwa idadi maalum na kwa namna waliyokuwa wamepewa maelekezo.
32 Hiti chun Leviten ten ponbuh a kinbol hihen muntheng kibol hihen, asopiu Aaron chapate chu Pakai kibol na’a akithopi jing diu ahi.
Hivyo Walawi wakafanya wajibu wao katika Hema la Kukutania, katika Mahali Patakatifu chini ya uongozi wa ndugu zao wazao wa Aroni, kwa ajili ya utumishi katika Hekalu la Bwana.