< Tingtoeng 131 >

1 David kah Tangtlaeng Laa BOEIPA aw ka lungbuei sang pawt tih ka mik khaw a pomsang moenih. Te dongah kamah lakah aka tanglue rhoek neh a rhaisang taengah khaw ka pongpa pawh.
Wimbo wa kwenda juu. Wa Daudi. Moyo wangu hauna kiburi, Ee Bwana, macho yangu hayajivuni; sijishughulishi na mambo makuu kunizidi wala mambo ya ajabu mno kwangu.
2 Tedae ka hinglu khaw hal tih ka kuemsuem coeng. A manu taengkah suk aka toeng bangla ka khuikah ka hinglu khaw a toeng coeng.
Lakini nimetuliza na kunyamazisha nafsi yangu; kama mtoto aliyeachishwa kunyonya na mama yake, kama mtoto aliyeachishwa kunyonya ndivyo ilivyo nafsi iliyoko ndani yangu.
3 Aw Israel, tahae lamkah kumhal duela BOEIPA te ngaiuep lah.
Ee Israeli, mtumaini Bwana tangu sasa na hata milele.

< Tingtoeng 131 >