< Olcueih 9 >

1 Cueihnah loh a im a sak tih a tung parhih a vueh.
Hekima amejenga nyumba yake; amechonga nguzo saba kutoka katika miamba.
2 A maeh te a ngawn tih misurtui neh a thoek tih a caboei te a tawn.
Ameandaa wanyama wake kwa chakula cha usiku; ameichanganya divai yake; na kuandaa meza yake.
3 Amah kah hula rhoek te a tueih tih, vangpuei hmuensang dangdoe lamkah a khue.
Amewatuma watumishi wake kupeleka mialiko na kutoka mahali pa juu sana kwenye mji anaita:
4 Te phoeiah, “Unim hlangyoe, anih te lungbuei a talh khaw pahoi nong tak saeh.
“Wale wasiofunzwa waje hapa!” anawaambia wale wasionaufahamu.
5 Halo, ka buh he ang uh lamtah misur ka thoek he o uh.
Njoo, ule chakula, na unywe divai nimeshaichanganya.
6 Hlangyoe te hnoo lamtah hing uh, yakmingnah longpuei te uem uh.
Acheni njia zenu za kijinga, na mkaishi; tembeeni katika njia ya ufahamu.
7 Hmuiyoi aka toel tah amah loh yah a poh tih, halang aka tluung tah amah loh nganboh a yook.
Yeyote amrekebishaye mwenye dhihaka hukaribisha matusi na yeyote anayemshutumu mtu mbaya atapata madhara.
8 Hmuiyoi te tluung boeh namah m'hmuhuet ve. Aka cueih tah na tluung cakhaw nang n'lungnah ni.
Usimshutumu mwenye dhihaka, ama atakuchukia; mshutumu mtu mwenye busara, naye atakupenda.
9 Aka cueih te pae lah taoe cueih ni, aka dueng te na tukkil atah rhingtuknah a thap ni.
Mpe mafundisho mtu mwenye busara, naye atakuwa na busara zaidi; mfundishe mtu mwenye haki, naye ataongeza elimu.
10 BOEIPA hinyahnah tah cueihnah lamhma la om tih aka cim mingnah he yakmingnah la om.
Hofu ya Mungu ni chanzo cha hekima na maarifa ya Mtakatifu ni ufahamu.
11 Kai rhangneh na khohnin te puh vetih nang hamla hingnah kum khaw a thap ni.
Maana kwa njia yangu siku zako zitazidishwa na uzima wako utaongezewa miaka.
12 Na cueih la na cueih mak atah namah ham ngawn ni. Hmui na yoih atah nang namah long ni na phueih eh.
Kama unahekima, unahekima kwako mwenyewe, lakini ukidharau, utaibeba peke yako.
13 Angvawk nu loh a poeyoek la kawk tih bang khaw ming pawh.
Mwanamke mpumbavu anakelele nyingi- hajafunzwa wala haelewi chochote.
14 Tedae a im thohka neh vangpuei hmuensang kah ngolkhoel dongah ngol.
Anakaa kwenye mlango wa nyumba yake, kwenye kiti cha sehemu ya juu sana ya mji.
15 Te vaengah a caehlong a dueng la longpuei ah aka pongpa rhoek te a khue.
Anawaita kwa sauti wanaopita karibu, watu wale wanaotembea wima katika njia zao.
16 “Hlangyoe neh lungbuei aka talh tah pahoi ha pah saeh.
Wale ambao hamjafunzwa njoni hapa ndani!” anawaambia wale wasio na akili. “
17 A tui huen aka tui sak tih yinhnuk buh neh aka hmae,” a ti.
Maji ya kuiba ni matamu na mkate unaoliwa kwa siri unapendeza.”
18 Tedae saelkhui laedil ah sairhai pahoi a khue pah te ming pawh. (Sheol h7585)
Lakini hajui kwamba wafu wapo pale, wageni wake wapo kwenye vina vya kuzimu. (Sheol h7585)

< Olcueih 9 >