< Olcueih 9 >

1 Cueihnah loh a im a sak tih a tung parhih a vueh.
Hekima amejenga nyumba yake; amechonga nguzo zake saba.
2 A maeh te a ngawn tih misurtui neh a thoek tih a caboei te a tawn.
Ameandaa nyama na kuchanganya divai yake; pia ameandaa meza yake.
3 Amah kah hula rhoek te a tueih tih, vangpuei hmuensang dangdoe lamkah a khue.
Amewatuma watumishi wake wa kike, naye huita kutoka mahali pa juu sana pa mji.
4 Te phoeiah, “Unim hlangyoe, anih te lungbuei a talh khaw pahoi nong tak saeh.
Anawaambia wale wasio na akili, “Wote ambao ni wajinga na waje hapa!
5 Halo, ka buh he ang uh lamtah misur ka thoek he o uh.
Njooni, mle chakula changu na mnywe divai niliyoichanganya.
6 Hlangyoe te hnoo lamtah hing uh, yakmingnah longpuei te uem uh.
Acheni njia zenu za ujinga nanyi mtaishi; tembeeni katika njia ya ufahamu.
7 Hmuiyoi aka toel tah amah loh yah a poh tih, halang aka tluung tah amah loh nganboh a yook.
“Yeyote anayemkosoa mwenye mzaha hukaribisha matukano; yeyote anayekemea mtu mwovu hupatwa na matusi.
8 Hmuiyoi te tluung boeh namah m'hmuhuet ve. Aka cueih tah na tluung cakhaw nang n'lungnah ni.
Usimkemee mwenye mzaha la sivyo atakuchukia; mkemee mwenye hekima naye atakupenda.
9 Aka cueih te pae lah taoe cueih ni, aka dueng te na tukkil atah rhingtuknah a thap ni.
Mfundishe mtu mwenye hekima naye atakuwa na hekima zaidi; mfundishe mtu mwadilifu naye atazidi kufundishika.
10 BOEIPA hinyahnah tah cueihnah lamhma la om tih aka cim mingnah he yakmingnah la om.
“Kumcha Bwana ndicho chanzo cha hekima, na kumjua Aliye Mtakatifu ni ufahamu.
11 Kai rhangneh na khohnin te puh vetih nang hamla hingnah kum khaw a thap ni.
Kwa maana kwa msaada wangu siku zako zitakuwa nyingi, na miaka itaongezwa katika maisha yako.
12 Na cueih la na cueih mak atah namah ham ngawn ni. Hmui na yoih atah nang namah long ni na phueih eh.
Kama wewe una hekima, hekima yako itakupa tuzo; kama wewe ni mtu wa mzaha, wewe mwenyewe ndiwe utateseka.”
13 Angvawk nu loh a poeyoek la kawk tih bang khaw ming pawh.
Mwanamke aitwaye Mpumbavu ana kelele; hana adabu na hana maarifa.
14 Tedae a im thohka neh vangpuei hmuensang kah ngolkhoel dongah ngol.
Huketi kwenye mlango wa nyumba yake, juu ya kiti katika mahali pa juu sana pa mji,
15 Te vaengah a caehlong a dueng la longpuei ah aka pongpa rhoek te a khue.
akiita wale wapitao karibu, waendao moja kwa moja kwenye njia yao.
16 “Hlangyoe neh lungbuei aka talh tah pahoi ha pah saeh.
Anawaambia wale wasio na akili, “Wote ambao ni wajinga na waje hapa ndani!”
17 A tui huen aka tui sak tih yinhnuk buh neh aka hmae,” a ti.
“Maji yaliyoibiwa ni matamu; chakula kinacholiwa sirini ni kitamu!”
18 Tedae saelkhui laedil ah sairhai pahoi a khue pah te ming pawh. (Sheol h7585)
Lakini hawajui hata kidogo kuwa wafu wako humo, kwamba wageni wake huyo mwanamke wako katika vilindi vya kuzimu. (Sheol h7585)

< Olcueih 9 >