< Joba 26 >

1 Job loh a doo tih,
Kisha Ayubu akajibu:
2 “Metlam thadueng mueh te na bom tih sarhi aka tak mueh bantha te na khang?
“Tazama jinsi ulivyomsaidia mtu asiye na uwezo! Jinsi ulivyouokoa mkono ulio dhaifu!
3 Metlam lae cueihnah aka tal te na uen tih a cungkuem ah lungming cueihnah na ming sak.
Ni shauri gani ulilompa yeye asiye na hekima? Nayo ni busara gani kubwa uliyoonyesha!
4 U taengah nim ol na thui tih nang lamloh u kah hiil nim aka thoeng?
Ni nani aliyekusaidia kutamka maneno hayo? Nayo ni roho ya nani iliyosema kutoka kinywani mwako?
5 Sairhai tah tui hmui ah kilkul uh tih kho a sak.
“Wafu wako katika maumivu makuu, wale walio chini ya maji na wale waishio ndani yake.
6 A taengah saelkhui khaw pumtling om tih Abaddon khaw himbai om pawh. (Sheol h7585)
Mauti iko wazi mbele za Mungu; Uharibifu haukufunikwa. (Sheol h7585)
7 Tlangpuei ah hinghong la a yaal tih bang aka om pawt soah khaw diklai a dingkoei sak.
Hutandaza anga la kaskazini mahali patupu; naye huiningʼiniza dunia mahali pasipo na kitu.
8 A khomai khuiah tui a cun tih cingmai te a hmui ah a ueth pawh.
Huyafungia maji kwenye mawingu yake, hata hivyo mawingu hayapasuki kwa uzito wake.
9 A cingmai te a soah a yaal tih ngolkhoel hmai a dah.
Huufunika uso wa mwezi mpevu, akitandaza mawingu juu yake.
10 Vangnah neh a hmuep laklo kah a khuetnah hamla tui hman ah a rhi a rhuen pah.
Amechora mstari wa upeo juu ya uso wa maji, ameweka mpaka wa nuru na giza.
11 Vaan kah tung khaw hlinghloek uh tih a tluungnah dongah a ngaihmang uh.
Nguzo za mbingu nazo zatetemeka, zinatishika anapozikemea.
12 A thadueng loh tuipuei te a phih tih a lungcuei neh Rahab a phop.
Kwa nguvu zake aliisukasuka bahari; kwa hekima yake alimkata Rahabu vipande vipande.
13 A mueihla loh vaan kah khocil a thoeng sak tih a kut loh yingyet rhul khaw a toeh.
Aliisafisha anga kwa pumzi yake; kwa mkono wake alimchoma joka aendaye mbio.
14 He tah a longpuei dongkah longpuei hmoi ni he. A thayung thamal kah khohum khuiah amah kah ol duem te metlam n'yaak? A thayung thamal te u long a yakming pai eh?” a ti.
Haya ni mambo madogo tu katika matendo yake; tazama jinsi ulivyo mdogo mnongʼono tunaousikia kumhusu! Ni nani basi awezaye kuelewa ngurumo za nguvu zake?”

< Joba 26 >