< Joba 22 >
1 Temani Eliphaz loh a doo tih,
Ndipo Elifazi Mtemani akajibu:
2 Pathen te hlang loh s hmaiben a? Lungming khaw amah la dawk a hmaiben uh.
“Je, mwanadamu aweza kuwa wa faida kwa Mungu? Je, hata mtu mwenye hekima aweza kumfaidi?
3 Na tang mai tih na mueluemnah mai akhaw, na khoboe soep cakhaw tlungthang hamla naep aya?
Je, Mwenyezi angefurahia nini kama ungekuwa mwadilifu? Au je, yeye angepata faida gani kama njia zako zingekuwa kamilifu?
4 Na hinyahnah dongah nang te laitloeknah neh n'khuen tih nang n'tluung a?
“Je, ni kwa ajili ya utaua wako ndiyo maana anakukemea na kuleta mashtaka dhidi yako?
5 Na boethae tangkik pawt nim? Nang kah thaesainah te a bawtnah om pawh.
Je, uovu wako si mkuu? Dhambi zako si hazina mwisho?
6 Lunglilungla la na manuca na laikoi tih pumtling kah himbai te na pit pah.
Umedai dhamana kwa ndugu zako bila sababu; umewavua watu nguo zao, ukawaacha uchi.
7 Buhmueh rhathih te tui na tul pawt tih bungpong te buh na hloh pah.
Hukumpa maji aliyechoka, nawe ulimnyima chakula mwenye njaa,
8 Bantha aka khueh hlang loh amah hamla khohmuen a khueh tih a sokah khosa mikhmuh ah a dangrhoek.
ingawa ulikuwa mtu mwenye uwezo ukimiliki nchi: mtu uliyeheshimiwa, ukiishi ndani yake.
9 Nuhmai te kuttling la na tueih tih cadah te a ban na phop pah.
Umewafukuza wajane mikono mitupu na kuzivunja nguvu za yatima.
10 Na kaepvai kah pael dongah he khaw na birhihnah neh buengrhuet na let.
Ndiyo sababu mitego imekuzunguka pande zote, hatari ya ghafula inakutia hofu,
11 A hmuep khaw na hmu pawt tih tuili tui loh nang n'khuk.
ndiyo sababu ni giza sana huwezi kuona, tena ndiyo sababu mafuriko ya maji yamekufunika.
12 Pathen tah vaan sang kah moenih a? So lah, aisi rhoek kah a lu tah pomsang uh te.
“Je, Mungu hayuko katika mbingu za juu? Juu kuliko nyota zilizo juu sana!
13 Te lalah, “Pathen te metlam a mingpha? Yinnah lamloh lai a tloek a?
Hivyo wewe wasema, ‘Mungu anajua nini?’ Je, yeye huhukumu katika giza kama hilo?
14 Anih te khomai loh a huep tih tueng pawh. Te vaengah vaan kah kueluek dongah cet,” na ti.
Mawingu mazito ni pazia lake, hivyo hatuoni sisi atembeapo juu ya anga la dunia.
15 Boethae hlang rhoek loh a cawt khosuen caehlong nim na ngaithuen salah?
Je, utaifuata njia ya zamani, ambayo watu waovu waliikanyaga?
16 A tonga uh vaengah a tue pawt ah khaw tuiva loh amih kah khoengim te a hawt pah.
Waliondolewa kabla ya wakati wao, misingi yao ikachukuliwa na mafuriko.
17 “Pathen te mamih taeng lamloh nong saeh, Tlungthang loh mamih taengah balae a saii eh?” a ti uh.
Walimwambia Mungu, ‘Tuache sisi! Huyo Mwenyezi aweza kutufanyia nini?’
18 Amah loh amih im te hnothen a cung sak sitoe cakhaw halang kah cilsuep tah kai lamloh lakhla saeh.
Lakini ndiye alizijaza nyumba zao na vitu vizuri, hivyo ninajitenga mbali na mashauri ya waovu.
19 Aka dueng rhoek loh a hmuh vaengah a kohoe uh tih ommongsitoe loh amih te a tamdaeng.
“Wenye haki wanaona maangamizi yao na kufurahi, nao wasio na hatia huwadhihaki, wakisema,
20 Mamih kah thinnaeh a thup vetih amih kah a coih te hmai loh hlawp het pawt nim?
‘Hakika adui zetu wameangamizwa, nao moto umeteketeza mali zao.’
21 Amah neh hmaiben lamtah te nen te thuung laeh. Nang taengah hnothen ha pawk bitni.
“Mjue sana Mungu ili uwe na amani, ndipo mema yatakapokujia.
22 A ka lamkah olkhueng mah doe laeh, a ol te khaw na thinko khuiah khueh laeh.
Uyapokee mafundisho toka kinywani mwake, na maneno yake uyaweke moyoni mwako.
23 Tlungthang taengla na mael atah n'thoh bitni dumlai mah na dap lamloh lakhla sak.
Kama ukimrudia Mwenyezi, utarudishwa upya: Kama ukiuondoa uovu uwe mbali na hema lako,
24 Pasing te laipi bangla, Ophir te soklong kah lungpang bangla khueh ngawn.
kama dhahabu yako ukiihesabu kama mavumbi, dhahabu yako ya Ofiri kama miamba ya mabondeni,
25 Te vaengah na pasing te tlungthang la, cak te na ki la poeh bitni.
ndipo Mwenyezi atakuwa dhahabu yako, naye atakuwa fedha yako iliyo bora.
26 Te daengah ni Tlungthang dongah na ngailaem vetih Pathen taengla na maelhmai na dangrhoek bitni.
Hakika ndipo utakapojifurahisha kwa Mwenyezi, nawe utamwinulia Mungu uso wako.
27 A taengah na thangthui vaengah nang ol a yaak vetih na olcaeng khaw cung ni.
Utamwomba yeye, naye atakusikia, nawe utazitimiza nadhiri zako.
28 Olkhueh te na tuiphih vaengah nang hamla thoo vetih na longpuei ah vangnah loh a tue ni.
Utakusudia jambo nalo litatendeka, nao mwanga utaangazia njia zako.
29 A kunyun uh vaengah koevoeinah na thui dae tlahoei mik ni a khang eh.
Watu watakaposhushwa, nawe ukasema, ‘Wainue!’ ndipo atamwokoa aliyevunjika moyo.
30 Ommongsitoe pawt khaw loeih vetih na kut kah cimcaihnah loh a loeih sak ni,” a ti.
Atamwokoa hata yule ambaye ana hatia, ataokolewa kwa sababu ya usafi wa mikono yako.”