< Isaiah 66 >
1 BOEIPA loh he ni a thui. Vaan khaw kai kah ngolkhoel ni. Diklai khaw ka kho kah khotloeng ni. Kai ham im na sak uh te melae? Ka duemnah hmuen te menim?
Yahwe asema hivi, ''Mbinguni ni makao yangu, na nchi ni miguu yangu. Iko wapi nyumba uliyonitengenezea mimi? iko wapi sehemu amabayo ninaweza kupumzika?
2 Te rhoek boeih te ka kut loh a saii. Te rhoek boeih te BOEIPA kah olphong ah om coeng. Mangdaeng neh mueihla aka paep, kai ol dongah aka thuen, te ni ka paelki.
Mkono wangu umeyafanya haya yote; hivi ndovyo jinsi ambavyo vitu vitatokeavyo—hili ndilo tamko la Yahwe. Mtu niliyempitisha, mwenye roho iliyopondeka na mwenye kujutia roho, na atetemekaye kwa ajili ya neno langu.
3 Vaito aka ngawn loh hlang ni a ngawn. Tu aka ngawn loh ui ni a ah. Ok thii te khocang la aka khuen, hmueihtui aka thoelh tih boethae aka uem, amih long khaw amamih kah longpuei te a coelh uh. Amamih kah sarhingkoi dongah a hinglu khaw naep lah.
Yeyote achinjae ng'ombe humuua mtu pia; yeye anayetoa sadaka ya kondoo huvunja shingo ya mbwa pia; yeye anayetoa sadaka ya mavuno anatoa sadaka ya damu yangurue; yeye anayetoa kumbukumbuvumba huwabariki wakosaji pia. Wamechagua njia zao wenyewe wanachukua radhi kwa uchafu wao wenyewe.
4 Kai long khaw amih kah camoe hnatuem te ka coelh vetih amamih kah rhihnahkoi te amamih soah ka thoeng sak ni. Ka khue vaengah aka doo om pawh. Ka thui dae hnatun uh pawh. Ka mikhmuh ah thae a saii uh tih ka ngaih mueh te a tuek uh.
Katika njia hiyo hiyo nitachagua adhabu yao wenyewe; Nitaleta juu yao kitu wanachokiogopa, maana niilpowaita, hakuna aliyeitika; nilipozungumza aliyenisikiliza mimi. Walifanya yaliyo maovu mbele yangu, na kuchagua yasiyo nipenindeza mimi.''
5 A ol dongah aka thuen rhoek te BOEIPA ol hnatun uh. Nangmih aka hmuhuet tih nang aka rhoe na manuca rhoek loh, “Kai ming neh BOEIPA thangpom saeh lamtah nangmih kah kohoenah te ka hmu eh?,” a ti uh dae amih te yak uh ni.
Sikiliza neno la Yahwe, ewe utemekae kwa neno lake, ''Kaka zako wanaonichukia na kukutenga wewe kwa ajili ya jina langu walisema, 'Na atukuzwe Yahwe, halafu tutaiona furaha yenu; lakini mtatiwa katika aibu.
6 Khopuei lamkah longlonah ol neh bawkim lamkah ol, a thunkha te a tiing la aka thung BOEIPA ol.
Sauti ya vita vya ghasi vinakuja katika mji, sauti kutoka hekaluni, sauti ya Yahwe anawarudia maadui zake.
7 A vawn hlan ah aka cun, a soah tharhui a tloh hlan ah ca tongpa aka oi.
Kabla ajaenda katika chumba, hujifungua; kabla ya uchungu kumtoka hujifungua mtoto wa kiume.
8 Te bang aka ya te unim? Te bang aka hmu te unim? Khohnin pakhat dongah diklai he vawn tih namtom he voei khat la a cun a? A vawn phoeiah ni Zion loh a ca te a cun.
Ni nani asikiaye mambo haya? Ni nani aonae mambo haya? Je taifa linaweza kuanzishwa kwa wakati mmoja? lakini kwa haraka Sayuni inapokwenda katika chumba, hujifungua watoto wake.
9 Kai ka khaem tih a ka cun pawt eh? BOEIPA loh a thui coeng. Kai loh ka cun sak tih ka khaih. Te te na Pathen long ni a thui.
Ninawezaje kumleta mtoto azaliwe na nisimruhusu mtoto azaliwe? Yahwe auliza? — au Je ninamleta mtoto wakati tu wa kujifungua na halafu nimshikilie tena - anauliza Yahwe.''
10 Jerusalem taengah kohoe sak lamtah amah aka lungnah boeih loh anih ham omngaih uh. Anih ham aka nguekcoi boeih loh a taengah omthennah neh ngaingaih uh.
Furahia na Yerusalemu na fuhahia kwa ajili yake, ninyi nyote mnaopenda yeye; furahia pamoja na yeye, ninyi mnaomboleza juu yake!
11 Te daengah ni nangmih te ng'khut vetih a hloephloeinah rhangsuk te na cung uh eh. Na oktoem uh vetih a thangpomnah neh a baepet la na pang na dok uh bitni.
Maana utamuuguza na ataridhika, katika maziwa yake atakufariji; utakunywa mpaka ushibe na kufurahia kwa wingi wa utukufu wake.
12 Te dongah ni BOEIPA loh a thui. Anih te kai kah rhoepnah tuiva bangla ka dangka sak tih namtom kah a thangpomnah soklong bangla ka long sak. A haep ah n'khut uh tih m'poeh uh phoeiah khuklu soah n'hnang sak ni.
Yahwe asema hivi, ''Ni nanakaribia kutawanya mafanikio juu katika mto, na utajiri wa mataifa kama wingi wa mkondo wa maji. Utamuuguza kwa upande wake, na kubebwa katika mikono yake, mtabebwa juu ya magoti yake.
13 Hlang bangla anih aka hloep a manu te unim? Kamah loh nang kan hloep tangloeng vetih Jerusalem soah dam na ti bitni.
Kama vile mama anavyomfariji mtoto wake, hivyo basi nami nitawafariji ninyi, na mtapata faraja katika Yerusalemu.''
14 Na hmuh vaengah na lungbuei ngaingaih vetih na rhuh khaw baelhing bangla poe ni. A sal rhoek te BOEIPA kut loh a ming vetih a thunkha rhoek te kosi a sah thil ni.
Utayaona haya, na moyo wako utafurahia, na mifupa yako itachipukia kama zabuni ya nyasi. Aridhi ya Yahweitajulikana kwa watumishi wake, lakini atawaonyesha hasira yake dhidi ya maadui zake.
15 BOEIPA tah hmai neh a leng khaw cangpalam bangla ha pawk coeng ke. Amah kah kosi thintoek neh, amah kah tluungnah hmaihluei hmai neh thuung ham pawn ni.
Kwa kutazama, Yahwe anakuja kwa moto, na gari lake linakuja kama upepo wa dhoruba kuleta joto katika hasira yake na kukemea kwake ni kama moto uwakao.
16 Pumsa boeih te BOEIPA loh hmai neh cunghang neh lai a tloek ni. BOEIPA taengah a rhok la muep pung ni.
Maana Yahwe ametekeleza hukumu juu ya watu kwa moto na kwa upanga wake. Wale watakaouliwa na Yahwe watakuwa wengi.
17 Aka ciim uh tih aka caihcil loh, a khui kah khat khat hnukah, dum kah ok saa konawhnah neh su aka ca rhoek te rhenten a thup uh ni. BOEIPA kah olphong coeng ni.
Watajiweka wakfu wenyewe na kujisafisha wenywe, ili waweze kuingia katika bustani, kumfuata aliyeko katikati ya wale walao nyama ya nguruwe na vitu haramu kama panya. ''Watafika mwisho - hili ni tamko la Yahwe.
18 Kai loh amih kah khoboe neh amih kopoek te ka ming ta. Namtom boeih neh ol boeih te coi ham ha pawk. Amih ha pawk uh vaengah ka thangpomnah te a hmuh uh ni.
Maana ninayajua matendo yao na mawazo yao. Wakatiutafika nitakapoyakusanya mataifa yote na lugha zote. Watakuja na kuona utukufu wangu.
19 Amih taengah miknoek ka khueh vetih amih lamkah hlangyong rhoek te namtom taeng neh Tarshish Pul taengah, lii aka oei Lud, Tubal neh kai olthang aka ya pawt tih kai thangpomnah aka hmu pawh khohla sanglak Javan taengla ka tueih ni. Te vaengah namtom rhoek taengah ka thangpomnah te a doek uh ni.
Nitaweka ishara ya ukuu wangu miongoni mwao. Halafu nitawatuma wakazi kutoka miongoni mwao kwa mataifa. Kwa Tarshishi, Puti, na Ludi, upinde wale wanaochukua upinde wao, kwa Tubali, Javani, na umbali kuelekea katika pwani kule ambapo hawajasikia chochote kuhusu mimi wala kuona utukufu wangu. Watatangaza utukufu wangu miongoni mwa mataifa.
20 Na manuca rhoek boeih te namtom boeih taeng lamloh BOEIPA ham khocang la marhang dongah, leng neh, pa neh, muli-marhang dongah, thoh-lang dongah, ka tlang cim Jerusalem la ha pawk uh ni. BOEIPA kah a thui bangla Israel ca rhoek te BOEIPA im cim kah hnopai dongah khocang la hang khuen uh ni.
Watawaleta kaka zako wote nje ya mataifa yote, kama sadaka kwa Yahwe. Watakuja kwa farasi na kwa gari, na kwa gari, juu ya nyumbu na juu ya ngamia, kuelekea mlima wangu mtakatifu Yerusalemu - asema Yahwe. Maana watu wangu wa Israeli wataleta sadaka ya mavuno kwenye vyombo visafi katika nyumba ya Yahwe.
21 Amih lamkah te khosoih la, Levi la ka loh ni. BOEIPA loh a thui coeng.
Baadhi ya vitu hivi nitavichagua kama makuhani na walawi — asema Yahwe.
22 Te bangla vaan thai neh diklai thai te ka saii tih ka mikhmuh ah aka pai sak khaw kai ni. BOEIPA kah olphong ni. Na tiingan neh na ming thoo ni.
Maana itakuwa mbingu mpya na nchi mpya ambayo nitakayoifanya ibaki mbele zangu— Hili ndilo tamko la Yahwe— Hivyo ndivyo ukoo wenu utakavyobakia, na jina lenu litabaki.
23 Hlasae lamloh hlasae, Sabbath lamloh Sabbath a pha vaengah pumsa boeih ka mikhmuh ah bakop hamla ha pawk ni. BOEIPA loh a thui.
Kutoka mwenzi mmoja mpaka mwingine, na kutoka sabato moja mpaka nyingine, watu wote watakuja kukuinamia chini— asema Yahwe.
24 Kai taengkah boekoek hlang rhoek kah rhok te a thoeng thil uh vetih a hmuh uh ni. Amih kah a rhiit te duek pawt vetih a hmai khaw thi mahpawh. Pumsa boeih taengah koletnah la om uh ni.
Watakwenda nje na kuona miili ya wafu ya watu walioniasi mimi, maana wadudu wawalao wao hatakufa, na moto huwaunguzao hautazimika; na itakuwa ni chuki kwa wale wote wenye mwili.''