< Daniel 5 >

1 Belshazzar manghai loh a boei thawngat hamla boeilen buhkoknah a saii tih thawngkhat mikhmuh ah misurtui a ok.
Mfalme Belshaza alifanya sherehe kubwa kwa kwa ajili ya wakuu wake wa kuheshimiwa wapatao elfu moja, na alikunywa divai mbele yao wote watu elfu moja.
2 Belshazzar loh, “Misurtui yukung ah a napa Nebukhadnezzar loh Jerusalem bawkim lamkah a loh sui neh cak hnopai te hang khuen lamtah te nen manghai neh a boei rhoek, a yuu rhoek neh a yula rhoek long khaw o saeh,” a ti.
Wakati Belshaza alipokuwa akionja divai, alitoa agizo la kuleta vyombo vilivyotengenezwa kwa dhahabu au kwa fedha ambavyo Nebukadneza baba yake alikuwa amevichukua kutoka katika hekalu huko Yerusalemu, ambavyo yeye, na wakuu wake, na wake zake, na masuria waliweza kuvinywea.
3 Te dongah Jerusalem, Pathen im kah bawkim lamloh a loh sui hnopai te a khuen uh tih te nen te manghai neh a boei rhoek long khaw, a yuu rhoek neh a yula rhoek long khaw a ok uh.
Watumishi walivileta vyombo ya dhahabu vilivyokuwa vimechukulia katika hekalu, nyumba ya Mungu huko Yerusalemu. Mfalme na wakuu wake, na wake zake na masuria walivinywea.
4 Misurtui a ok uh vaengah sui pathen neh cak, rhohum, thi, thing, lungto te a koeh uh.
Walikunywa divai na kuzisifu sanamu zao zilizotengenezwa kwa dhahabu na fedha, shaba, chuma, mbao na mawe.
5 Amah tekah khonoek vaengah hlang kut dongkah kutdawn rhoek a caeh pah. Te phoeiah manghai hmaitung hmatoeng, manghai bawkim thoh dongkah taptlang dongah ca a daek pah. A daek vaengah ah khaw kut dongkah kutbom bueng ni manghai loh a hmuh.
Kwa wakati huo huo vidole vya mkono wa mtu vilionekana mbele ya kinara cha taa na kuandika katika ukuta uliopigwa lipu katika ikulu ya mfalme. Mfalme aliweza kuona sehemu ya mkono ulipokuwa unaandika.
6 Te dongah manghai te a aa yat tih a poeknah loh amah a cahawh coeng. A hlit kah rhuhcong khaw phit tih a khuklu te heben hebang la a khuek.
Ndipo uso wa mfalme ulibadilika na mawazo yake yalimwogopesha; miguu yake haikuweza kumfanya asimame, na magoti yake yalikuwa yakigongana kwa pamoja.
7 Manghai loh rhaitonghma rhoek khaw, Khalden rhoek khaw, aisi aka suep rhoek te khue hamla thadueng neh pang. Te phoeiah manghai te cal tih Babylon hlang cueih rhoek te, “Cadaek he a tae tih a thuingaihnah kai hamla aka thui hlang boeih te tah daidi hni a bai vetih a rhawn ah sui a oi vetih ram a pathum nah dongah boei ni,” a ti nah.
Mfalme alitoa agizo kwa kupiga kelele, waletwe ndani wale ambao hudai wanaweza kuzungumza na wafu, watu wenye hekima, na wataalamu wa nyota. Mfalme akawaambia wale waliojulikana kwa hekima katika Babeli, “Yeyote atakayeyaeleza maandishi haya na maana yake atavikwa nguo za zambarau na atavikwa na mkufu wa dhahabu shingoni mwake. Naye atakuwa mtawala wa tatu wa juu kwa mamlaka katika ufalme.”
8 Manghai kah hlang cueih boeih te cet tah cet uh dae cadaek te tae tih manghai taengah a thuingaihnah, thuicaih ham noeng uh pawh.
Ndipo watu wote wa mfalme walikuwa wakijulikana kwa hekima yao waliingia ndani, lakini hawakuweza kuyasoma maandishi wala kueleza maana yake kwa mfalme.
9 Te dongah manghai Belshazzar muep let tih a aa yat tih amah neh a boei rhoek khaw a lukil uh.
Kisha mfalme Belshaza alishitushwa sana na mwonekano wa uso wake ulibadilika. Wakuu wake nao walishangazwa sana.
10 Manghai neh a boei rhoek kah ol kong ah manghainu khaw buhkoknah im la cet. Manghainu long khaw a voek tih, “Manghai tah kumhal duela hing saeh, na poeknah loh nang n'let sak boel saeh lamtah na aa yat boel saeh.
Ndipo sasa malkia alikuja katika nyumba ya sherehe kwasababu ya kile ambacho mfalme na wakuu wake walikuwa wamekisema. Malkia akasema, “Mfalme na aishi milele! Usiache mawazo yako yakakusumbua. Usiruhusu mwonekano wa uso wako ubadilike.
11 Na ram ah he a khuiah Pathen kah mueihla cim aka khueh hlang om ta. Na pa tue vaengah khaw vangnah, lungmingnah neh cueihnah he a khuiah Pathen kah cueihnah bangla tueng ta. Na pa manghai Nebukhadnezzar loh anih te na pa manghai kah hmayuep, rhaitonghma, Khalden neh aisi aka suep kah boei la a khueh ta.
Kuna mtu katika ufalme wako ambaye ana roho ya miungu watakatifu dani yake. Katika siku za baba yako, mwanga na weledi na hekima ya miungu ilipatikana ndani yake. Mfalme Nebukadneza, baba yako mfalme, alimfanya kuwa mkuu wa waganga, pamoja na mkuu wa wale wanazungumza na wafu, na wa wenye hekima, na wa wataalamu wa nyota.
12 Te kong dongah tah a mueihla lang tih mingnah, lungmingnah neh mang a thuicaih. Olkael aka phoe tih rhuhcong aka hlam khaw amah la Daniel dongah tueng coeng. Anih te manghai loh a ming Belteshazzar la a khueh tih Daniel la aka coeng he khue lamtah a thuingaihnah a thui bitni,” a ti nah.
Roho bora, ufahamu, weledi, kutafsiri ndoto, kufafanua mafumbo na kutatua matatizo - hizi ni sifa zilizopatikana kwa mtu huyu Danieli, ambaye mfalme alimwita Belteshaza. Sasa mwiteni Danieli naye atawaambia maana ya kile kilichoandikwa.”
13 Te dongah Daniel te manghai taengla a khuen tih manghai loh a voek. Te vaengah Daniel te, “Judah hlangsol ca lamkah Daniel he nang namah dae a? A pa manghai loh Judah lamkah a khuen te.
Ndipo Danieli alipoletwa mbele ya mfalme. Mfalme akamwambia, “Wewe ni yule Danieli, mmoja kati ya watu wa mateka wa Yuda, ambao baba yangu mfalme aliwaleta kutoka Yuda.
14 Nang kawng he na khuiah Pathen mueihla om tih vangnah, lungmingnah, cueihnah loh na khuiah bahoeng tueng coeng tila ka yaak coeng.
Nimesikia habari kukuhusu wewe, kwamba roho ya miungu iko ndani yako, na ya kwamba mwanga na ufahamu na hekima bora inapatikana ndani yako.
15 Ka taengah cadaek he tae uh saeh lamtah a thuingaihnah te kai hamla thuicaih saeh tila hlang cueih la rhaitonghma khaw hang khuen uh coeng dae ol kah thuingaihnah te thui hamla a noeng uh moenih.
Na sasa watu wanaojulikana kwa hekima na wale wanaozungumza na wafu, wamekwisha kuletwa mbele yangu, ili kusoma maandishi haya na kunijulisha maana ya tafsiri yake, lakini hawakuweza kunijulisha tafsiri yake.
16 Nang namah tah thuingaihnah thuicaih ham neh rhuhcong pataeng hlam ham na noeng rhoe na noeng tila ka yaak coeng. Cadaek te tae ham neh a thuingaihnah te kai taengah thuicaih ham na noeng la na noeng atah daidi hni na bai vetih a oi pataeng sui oi ni na rhawn ah na oi eh. Te phoeiah ram khuiah a pathum nah la na boei ni,” a ti nah.
Nimesikia kwamba unaweza kutoa tafsiri na kutatua matatizo. Sasa kama utaweza kusoma maandishi na kuniambia maana yake, utavikwa nguo za zambarau na kuwa na kuvalishwa mkufu wa dhahabu shingoni mwako, na utakuwa mtawala wa tatu mwenye mamlaka katika ufalme.”
17 Te dongah Daniel loh manghai te a doo tih, “Na kutdoe he namah ham om saeh lamtah na thapang te a tloe taengah pae mai. Tedae cadaek te manghai hamla kan tae vetih a thuingaihnah kan thuicaih bitni.
Kisha Danieli akajibu mbele ya mfalme, “Zawadi yako na iwe kwa ajili yako mwenyewe, na thawabu yako na umpe mtu mwingine. Hata hivyo, mfalme, nitakusomea maandishi na nitakwaambia maana.
18 Manghai nang, namah he a sangkoek kah sangkoek Pathen loh ram neh lennah khaw, thangpomnah neh hinyahnah khaw na pa Nebukhadnezzar taengah a paek.
Na juu yako, Ewe mfalme, Mungu Aliye juu sana alimpa Nebukadneza baba yako ufalme, ukuu, heshima na enzi.
19 Anih te lennah a paek dongah namtu pilnam cungkuem neh olcom olcae aka om rhoek loh thuen la thuen uh tih a taengah birhih uh. A ngaih a om te om bangla a ngawn tih a ngaih a om te a om bangla a hing sak. A ngaih a om te a om bangla a pacuet tih a ngaih a om te a om bangla a kunyun sak.
Na kwasababu ya ukuu huo, Mungu alimpa watu wote, mataifa, na lugha walimtetemekea na kumwogopa. Aliwauwa wale aliotaka wafe na aliwaacha hai wale aliotaka waishi. Aliwainua wale aliowataka, na aliwashusha wale aliowataka.
20 Tedae a thinko te a pacuet tih altha hamla a mueihla a phuel dongah a ram kah ngolkhoel lamloh rhum tih a thangpomnah te anih lamloh a khoe pauh.
Lakini wakati moyo ulipokuwa na kiburi na roho yake ilifanywa kuwa mgumu na kwasababu hiyo alitenda kwa kiburi, alishushwa kutoka kiti chake cha enzi cha kifalme, na waliiondoa enzi yake.
21 Te phoeiah hlang ca rhoek taeng lamloh a vai tih a thinko te rhamsa la a khueh pah. A khosaknah khaw marhang lueng neh om tih vaito bangla rham a cah uh. Hlang kah ram soah a sangkoek kah a sangkoek Pathen loh a hung tih a ngaih taengah te te a pai sak tila a ming hil a pum te vaan kah buem neh a saep sak.
Aliondolewa katika ubinadamu, alikuwa na akili za mnyama, na aliishi na punda wa mwituni. Alikula majani kama ng'ombe. Mwili wake ulilowanishwa kwa umande wa kutoka mbinguni mpaka pale alipojifunza kwamba Mungu Aliye Juu anatawala juu ya falme za watu na ya kwamba humweka mtu yeyote amtakaye juu yake.
22 He kong he boeih na ming lalah a capa Belshazzar nang khaw na thinko na kunyun sak moenih.
Wewe mwana wake, Belshaza, haujaunyenyekeza moyo wako, ingawa aliyajua haya yote.
23 Vaan kah Boeipa taengah lat a pacuet uh tih a im kah hnopai te namah taengla hang khuen uh. Namah neh na boei rhoek long khaw, na boei rhoek neh na yuu rhoek long khaw, na yula rhoek long khaw te nen te misurtui a ok uh. Te phoeiah cak, sui, rhohum, thi, thing neh lungto pathen, aka hmu thai pawh, aka ya thai pawh, aka ming thai pawt te na koeh uh. Pathen amah kut ah na maal om tih na longpuei boeih he amah taengah om dae na hinyah moenih.
Umejiinua mwenyewe kinyume cha Bwana wa mbinguni. Katika nyumba yake walikuletea vyombo ambavyo wewe, wakuu wako, wake zako na masuria wako walivinywea, na kisha ukaisifia sana sanamu zilitengenezwa kwa fedha na dhahabu, shaba, chuma, mbao, na mawe - sanamu ambazo haziwezi kuona, kusikia wa kujua kitu chochote. Haujamheshimu Mungu ambaye anaishikilia pumzi yako katika mkono wake na ambaye anazijua njia zako zote.
24 Te dongah ni amah taeng lamloh kut dongkah kutbom te a tueih pah tih cadaek he a daek pah.
Ndipo Mungu aliutuma mkono kutoka katika makao yake na maandishi haya yaliandikwa.
25 Te cadaek te, “Mene, Mene, Tekel neh Uparsin,” la a daek.
Haya ndiyo maandishi ambayo yaliandikwa: 'Mene, Mene, Tekeli na Peresin.'
26 Mene ollung kah a thuingaihnah he tah Pathen loh na ram he a khueh dae a khah coeng.
Maana yake ni: 'Mene,' 'Mungu ameuhesabu ufalme wako na ameukomesha.'
27 Tekel tah coi dongah n'khiing dae a vawt m'hmuh.
'Tekeli' 'umepimwa katika mizani na umeonekana umepungua.'
28 Peres, na ram rhek tih Media neh Persia taengah a paek,” a ti nah.
'Peresi' 'ufalme wako umegawanyika na wamepewa Wamedi na Waajemi.'”
29 Te dongah Belshazzar loh a thui bangla Daniel te daidi a bai sakuh. A oi khaw sui oi te a rhawn ah a oi sak. Anih te a ram ah a pathum nah aka hung la om ham a hoe uh.
Ndipo Belshaza alitoa agizo, na walimvalisha Danieli mavazi ya zambarau. Mkufu wa dhahabu walimvisha shingoni, na mfalme alitoa tamko juu ya Danieli kuwa atakuwa mtawala mwenye mamlaka ya nafasi ya tatu katika ufalme.
30 Amah te khoyin ah Belshazzar manghai te Khalden loh a ngawn.
Usiku ule Belshaza, mfalme wa Babeli aliuawa,
31 Te dongah Median kah Media Darius he kum sawmrhuk kum nit a lo ca vaengah ram a dang.
na Dario Mwajemi aliuchukua ufalme alipokuwa na miaka ipatayo sitini na miwili.

< Daniel 5 >