< Caeltueih 27 >
1 Lai a tloek phoeiah Italy la ka kat uh. Paul khaw, a tloe thongtla hlangvang rhoek te khaw angrhaeng caem kah rhalboei, a ming ah Julius taengah a tloeng uh.
Ilipoamuliwa kwamba tunatakiwa tusafiri kwa maji kwenda Italia, walimkabidhi Paulo na wafungwa wengine kwa afisa mmoja wa jeshi la Kiroma aliyeitwa Julio, wa Kikosi cha Agustani.
2 Asia hmuen la hlaikan ham ka cai uh vanbangla Adramutteno sangpho dongah ka ngol uh tih ka kat uh. Te vaengah Thessalonika kah Makedonia hoel Aristarkhu khaw kaimih taengah om.
Tukapanda meli kutoka Adramitamu, ambayo ilikuwa isafiri kandokando ya pwani ya Asia. Hivyo tukaingia baharini. Aristaka kutoka Thesolanike ya Makedonia akaenda pamoja nasi.
3 Tekah omvai atah Sidon la ka thoeng uh. Te vaengah Paul te Julius loh hluephluep a hmuh tih cuncahnah dang ham a paya rhoek taengla a caeh sak.
Siku iliyofuata tukatua nanga katika mji wa Sidoni, ambapo Julio alimtendea Paulo kwa ukarimu na akamruhusu kwenda kwa rafiki zake kupokea ukarimu wao.
4 Te lamkah ka nong uh vaengah khohli te a kingkalh la a om dongah Kupros la ka rhaelrham uh.
Kutoka hapo tukaenda baharini tukasafiri kuzunguka kisiwa cha Kipro ambacho kilikuwa kimeukinga upepo, kwa sababu upepo ulikuwa ukitukabili.
5 Kilikia neh Pamphylia tuidung te ka poeng uh phoeiah Lukia kah Mura la ka suntla uh.
Baada ya kuwa tumesafiri katika maji yaliyo karibu na Kilikia na Pamfilia, tukaja Mira, mji wa Lisia.
6 Te vaengah Italy la aka hlaikan Alexandria sangpho dongah rhalboei loh m'hmuh tih a khuiah kaimih te n'det.
Pale yule afisa wa jeshi la Kiroma, akaikuta meli kutoka Alexandria ambayo ilikuwa isafiri kuelekea Italia. Akatupandisha ndani yake.
7 Tedae khohnin muep ka caehnawt uh tih Kanidu te hnaeng hnaeng ka pha uh. Khohli te kaimih taengla a hooi pawt dongah Salmone kaep Krete la ka rhaelrham uh.
Baada ya kuwa tumesafiri polepole kwa siku nyingi na hatimaye tukawa tumefika kwa taabu karibu na Kinidas, upepo haukuturuhusu tena kuelekea njia hiyo, hivyo tukasafiri kandokando ya kivuli cha Krete tukiukinga upepo, mkabala na Salmone.
8 Haeng hnaeng ka kat uh daengah langdai tamyen la a khue hmuen pakhat, Lasea kho kaepah aka om te ka pha uh.
Tukasafiri kandokando ya pwani kwa ugumu, mpaka tukafika mahali palipoitwa Fari Haveni ambayo iko karibu na mji wa Lasi.
9 A tue muep khum tih yaehnah khaw a poeng coeng dongah yincaeh khaw bungtloh rhilcik la om coeng.
Tulikuwa tumechukua muda mwingi sana, na muda wa mfungo wa Kiyahudi ulikuwa umepita pia, na sasa ilikuwa ni hatari kuendelea kusafiri. Hivyo Paulo akatuonya,
10 Paul loh a parhoih tih amih te, “Hlang rhoek aw, yincaeh ham n'cai he nganboh nganang neh hnophueih bueng mueh la sangpho neh mamih kah hinglu khaw sungdaehnah la rhenten om ni tila ka hmuh,” a ti nah.
na kusema, “Wanaume, naona safari ambayo tunataka tuichukue itakuwa na madhara na hasara nyingi, siyo tu ya mizigo na meli, lakini pia ya maisha yetu.”
11 Tedae Paul kah a thui dongah rhalboei loh sangphoboei neh sangpho kungmah te a hnah ngai.
Lakini afisa wa jeshi la Kiroma akamsikiliza zaidi bwana wake na mmiliki wa meli, kuliko mambo yale ambayo yalizungumzwa na Paulo.
12 Tedae langdai te sikca la khak a om dongah a yet ngai loh coeng thai mai koinih, te lamkah nong tih khotlak tuithim neh khotlak tlangpuei la aka dan Krete langdai te pha tih Phoenix ah sikca boek ham mangtaengnah a khueh uh.
Kwa sababu bandari haikuwa sehemu rahisi kukaa wakati wa baridi, mabaharia wengi wakashauri tusafiri kutoka pale, ili kwa namna yoyote tukiweza kuufikia mji wa Foinike, tukae pale wakati wa baridi. Foinike ni bandari huko Krete, na inatazama kaskazini mashariki na kusini mashariki.
13 Te vaengah tuithim a cuk atah kae hamla tila mangtaengnah a khueh uh dongah Krete la rhet a khuen tih kat uh.
Upepo wa kusini ulipoanza kuvuma polepole, mabaharia wakafikiri wamepata kile ambacho walikuwa wanakihitaji. Wakang'oa nanga na kusafiri kandokando ya Krete karibu na pwani.
14 Tedae a koe moenih, yabung la a khue hli hueng pakhat loh sangpho te a cuuk thil.
Lakini baada ya muda mfupi upepo mkali, ulioitwa Wa kaskazini mashariki, ukaanza kutupiga kutoka ng'ambo ya kisiwa.
15 Sangpho te khaw a yawn tih khohli te oel ham a coeng pawt dongah ka duen uh tih m'payawk uh.
Wakati meli ilipolemewa na kushindwa kuukabili upepo, tukakubaliana na hali hiyo, tukasafirishwa nao.
16 Te vaengah Klaude la a khue sanglakca ah tungtai uh tih lawngca te huul ham hnaeng hnaeng ka cuu uh.
Tukakimbia kupitia ule upande uliokuwa unaukinga upepo wa kisiwa kiitwacho Kauda; na kwa taabu sana tulifanikiwa kuuokoa mtumbwi.
17 Lawngca te a kuel uh tih bomnah neh a sol uh phoeiah sangpho te a yaep uh. Syrtis ah man ham a rhih uh dongah tubael te a hlak tih yoka uh.
Baada ya kuwa wameivuta, walitumia kamba kuifunga meli. Waliogopa kwamba tungeweza kwenda kwenye eneo la mchanga mwingi la Syiti, hivyo wakashusha nanga na waliendeshwa kandokando.
18 A vuen ah kaimih te kulhkulh a n'yawn dongah a yanghoepnah a saii uh.
Tulipigwa kwa nguvu sana na dhoruba, hivyo siku iliyofuata mabaharia wakaanza kutupa mizigo kutoka melini.
19 Tedae a thum dongah tah sangpho kah hnopai te sulh a voeih uh.
Siku ya tatu, mabaharia wakaanza kuyatoa maji kwa mikono yao wenyewe.
20 Khohnin te yet ah khomik khaw, aisi khaw thoeng pawh. Khonal te rhaih khaw ha dim voel pawt tih ka daem uh ham khaw a tloihsoi lamtah boeih hal uh coeng.
Wakati ambapo jua na nyota hazikutuangazia kwa siku nyingi, bado dhoruba kubwa ilitupiga, na matumaini kwamba tungeokolewa yalitoweka.
21 Tedae buhmueh la puet a om uh coeng dongah amih lakli ah Paul loh pai tih, “Hlang rhoek aw kai ol na ngai uh ham a kuek, Krete longah ng'kat ham moenih, te daengah ni nganboh nganang neh sungdaehnah he na noeng uh eh.
Baada ya kuwa wameenda muda mrefu bila chakula, hapo Paulo akasimama katikati ya mabaharia akasema, “Wanaume, mlipaswa mnisikilize, na tusingengo'a nanga kutoka Krete, ili kupata haya madhara na hasara.
22 Tahae ah khaw ngaidip la om ham nangmih te kam parhoih. Sangpho phoeiah tah nangmih kah hinglu dongah hnawtnah om mahpawh.
Na sasa nawafariji mjitie moyo, kwa sababu hakutakuwa upotevu maisha kati yenu, isipokuwa hasara ya meli tu.
23 Khoyin ah kai aka pai thil, kai tah amah hut la ka om tih ka bawk Pathen kah puencawn loh,
Kwa sababu usiku uliopita malaika wa Mungu, ambaye huyo Mungu mimi ni wake, na ambaye ninamwabudu pia - malaika wake alisimama pembeni mwangu
24 'Paul rhih boeh, Kaisar te na pai thil ham a kuek. Tedae namah neh aka hlaikan hmaih rhoek he Pathen loh nang taengla boeih han tloeng coeng he,’ a ti.
na kusema, “Usiogope Paulo. Lazima usimame mbele ya Kaisari, na tazama, Mungu katika wema wake amekupa hawa wote ambao wanasafiri pamoja nawe.
25 Te dongah hlang rhoek aw ngaidip la om uh. Aka om ham khaw kai taengah a longim van bangla a thui tila Pathen te ka tangnah.
Hivyo, wanaume, jipeni moyo, kwa sababu namwamini Mungu, kwamba itakuwa kama nilivyoambiwa.
26 Tedae sanglak pakhat ah tah mamih n'tungtai ham a kuek,” a ti nah.
Lakini lazima tuumie kwa kupigwa katika baadhi ya visiwa.”
27 Hnin hlaili a pha hlaem, Andria ah ka yo uh vaengkah khoyin bangli ah sangpho hlang rhoek loh, “Kho khat khat la n'thak coeng,” a ti uh.
Ulipofika usiku wa kumi na nne, tulipokuwa tukiendeshwa huko na huko kwenye bahari ya Adratik, kama usiku wa manane hivi, mabaharia walifikiri kwamba wamekaribia nchi kavu.
28 Te dongah a nuemnai vaengah lam kul lo tila a ming uh. Rhaih khoe uh bal tih koep a nuemnai uh vaengah lam hlainga la a ming uh.
Walitumia milio kupima kina cha maji na wakapata mita thelathini na sita, baada ya muda mfupi wakapima tena wakapata mita ishirini na saba.
29 Te dongah lungrhong hmuen te ka tungtai thil mai koinih tila a rhih uh. A maicaem ah cumkai pali a voeih uh tih khothaih la poeh mai saeh tila thangthui uh.
Waliogopa kwanza tunaweza kugonga miamba, hivyo wakashusha nanga nne kutoka katika sehemu ya kuwekea nanga na wakaomba kwamba asubuhi ingekuja mapema.
30 Te vaengah sangpho hlang rhoek loh sangpho te rhaelrham tak ham toem uh thae. Te phoeiah lawngca te tuili la a hlak uh. Mueituengnah mailai la samkai te a lu lamloh yueng ham cai uh.
Wale mabaharia walikuwa wanatafuta namna ya kuitelekeza ile meli na walizishusha majini boti ndogo ndogo za kuokolea maisha, na wakajifanya kwamba wanatupa nanga kutoka sehemu ya mbele ya boti.
31 Paul loh rhalboei neh rhalkap rhoek taengah, “Sangpho khuiah na om pawt atah na daem uh thai mahpawh,” a ti nah.
Lakini Paulo akamwambia yule askari wa jeshi la Kiroma na wale askari, “Hamuwezi kuokoka isipokuwa hawa watu wanabaki kwenye meli”.
32 Te daengah rhalkap rhoek loh lawngca rhui te a hlueng uh tih a colh sak uh.
Kisha wale askari wakakata kamba za ile boti na ikaachwa ichukuliwe na maji.
33 Tedae khothaih a pha tom duela hlang boeih buh vael ham Paul loh a hloep tih, “Tihnin ah hnin hlaili buhmueh la na om uh tih na lamso uh dae na dang uh moenih.
Wakati mwanga wa asubuhi ulipokuwa unajitokeza, Paulo akawasihi wote angalau wale kidogo. Akasema, “Hii ni siku ya kumi na nne mnasuburi bila kula, hamjala kitu.
34 Te dongah buh vael ham nangmih kan cael. Te daengah ni nangmih ham khangnah a om eh. Na lu lamkah sam pataeng poci mahpawh,” a ti nah.
Hivyo nawasihi mchukue chakula kidogo, kwa sababu hii ni kwa ajili ya kuishi kwenu; na hakuna hata unywele mmoja wa vichwa vyenu utakaopotea.
35 Te rhoek te a thui phoeiah vaidam te a loh tih hlang boeih hmaiah Pathen te a uem phoeiah caak hamla koe a aeh pah.
Alipokwisha kusema hayo, akachukua mkate akamshukuru Mungu mbele ya macho ya kila mtu. Kisha akaumega mkate akaanza kula.
36 Te vaengah amih khaw voelphoeng la boeih om uh tih buh a vael uh.
Kisha wote wakatiwa moyo na wao wakachukua chakula.
37 Te vaengah sangpho khuikah hinglu boeih tah yahnih sawmrhih parhuk lo uh.
Tulikuwa watu 276 ndani ya meli.
38 Buh a cung uh phoeiah cangyen te tuili khuila a voeih uh tih sangpho te a yanghoep sakuh.
Walipokwisha kula vya kutosha, waliifanya meli nyepesi kwa kutupa ngano ndani ya bahari.
39 Khothaih a pha vaengah kho khaw ming uh pawt dae, tuiken tuikaeng pakhat a om te a hmat uh dongah a coeng thai atah sangpho khaw te lam te rholh ham a moeh uh.
Ilipokuwa mchana, hawakuitambua nchi kavu, lakini wakaona sehemu ya nchi kavu iliyoingia majini iliyokuwa na mchanga mwingi. wakajadiliana kama wanaweza kuiendesha meli kuelekea hapo.
40 Te dongah cumkai te a duul uh tih tuili khuila a hlah uh phoeiah lawngkaih rhui khaw pahoi a hlam uh. Te phoeiah khohli ben la baiyan te a phuel uh tih tuikaeng la a kaih uh.
Hivyo wakazilegeza nanga wakaziacha baharini. Katika muda huo huo wakazilegeza kamba za tanga na wakaiinua sehemu ya mbele kuelekea kwenye upepo, hivyo wakaelekea kwenye hiyo sehemu ya mchanga mwingi.
41 Tedae tuirhum hmuen pakhat te a toh dongah sangpho khaw vik man. A lu a sut te a cakrhuet la om. Tuiphu kah vikvueknah loh sangpho maicaem khaw vik poci.
Lakini wakaja mahali ambapo mikondo miwili ya maji inakutana, na meli ikaelekea mchangani. Na ile sehemu ya mbele ya meli ikakwama pale na haikuweza kutoka, lakini sehemu ya mbele ya meli ikaanza kuvunjika kwa sababu ya ukali wa mawimbi.
42 Te vaengah thongtla rhoek te pakhat khaw tuiya tih yong boel saeh a ti dongah ngawn hamla rhalkap rhoek kah mangtaengnah khaw om.
Mpango wa wale askari ulikuwa ni kuwaua wafungwa, ili kwamba hakuna ambaye angeogelea na kutoroka.
43 Tedae rhalboei loh Paul te daem sak a ngaih dongah amih kongaih te a buem pah. Te dongah, tuiya ham aka coeng thai rhoek te lamhma la cungpung sak tih lan la bal ham.
Lakini yule askari wa jeshi la Kiroma alitaka kumwokoa Paulo, hivyo akausimamisha mpango wao; na akawaamuru wale ambao wanaweza kuogelea, waruke kutoka melini kwanza na waende nchi kavu.
44 A tloe rhoek te thingphael dongah mai khaw, sangpho lamkah hnopai khat khat dongah khaw caeh sak ham ol a paek. Te dongah sading la lan boeih a pha uh van.
Kisha wanaume wengine watafuata, wengine juu ya vipande vya mbao na wengine juu ya vitu vingine kutoka kwenye meli. Kwa njia hii ikatokea kwamba wote tutafika salama nchi kavu.