< 2 Timothy 2 >

1 Te dongah ka ca nang Khrih Jesuh ah lungvatnah neh thaphoh uh.
Kwa hiyo, wewe mwanangu, utiwe nguvu katika neema iliyondani ya Kristo Yesu.
2 Te khaw kai lamloh laipai a yet neh na yaak coeng. He he uepom hlang taengah pae ne. Amih tah a tloe thuituen ham khaw khangmai la om bitni.
Na mambo uliyoyasikia kwangu miongoni mwa mashahidi wengi, uyakabidhi kwa watu waaminifu ambao wataweza kuwafundisha wengine pia.
3 Jesuh Khrih kah rhalkap then la patang puei.
Shiriki mateso pamoja nami, kama askari mwema wa Kristo Yesu.
4 Aka vathoh loh a khosaknah dongkah khosak rhamok neh a tingtong pawt daengah ni caemthoh te kolo la a om eh.
Hakuna askari atumikae wakati huo huo akijihusisha na shughuli za kawaida za maisha haya, ili kwamba ampendeze ofisa wake mkuu.
5 Khat khat long khaw a loehlang dae a longim pawt la a loehlang atah rhuisam a khuem moenih.
Pia kama mtu akishindana kama mwanariadha, hatapewa taji asiposhindana kwa kufuata kanuni.
6 Thakthae lotawn te lamhma la a thaih a dang ham a kuek.
Ni Muhimu kwamba mkulima mwenye bidii awe wa kwanza kupokea mgao wa mazao yake.
7 Ka thui te yakming lah. A cungkuem dongah yakmingnah te Boeipa loh nang ham m'paek bitni.
Tafakari kuhusu nisemacho, kwa maana Bwana atakupa uelewa katika mambo yote.
8 Kaimih kah olthangthen vanbangla David tiingan lamkah neh duek lamkah aka thoo Jesuh Khrih te poek.
Mkumbuke Yesu Kristo, kutoka uzao wa Daudi, ambaye alifufuliwa kutoka kwa wafu. Hii ni kulingana na ujumbe wangu wa Injili,
9 Te ham te laihmuh bangla thongtlak hilah ka patang dae Pathen kah Olka tah pinyen hlan.
ambao kwa sababu ya huo ninateswa hata kufungwa minyororo kama mhalifu. Lakini neno la Mungu halifungwi kwa minyororo.
10 Te dongah a coelh rhoek ham te boeih ka ueh. Te daengah ni khangnah te amih loh dungyan thangpomnah neh Khrih Jesuh ah a dang uh van eh. (aiōnios g166)
Kwa hiyo, navumilia mambo yote kwa ajili ya wale ambao Mungu amekwishawachagua, ili kwamba nao pia waupate wokovu ulio katika Kristo Yesu pamoja na utukufu wa milele. (aiōnios g166)
11 He ol he a uepom ta. N'duek atah n'hing puei van ni ta.
Usemi huu ni wakuaminika: “Ikiwa tumekufa pamoja naye, tutaishi pamoja naye pia,
12 N'ueh uh atah m'manghai uh van ni ta. N'hnawt uh van atah amah loh mamih he n'hnawt van ni.
kama tukivumilia, tutatawala pamoja naye pia, kama tukimkana yeye, naye pia atatukana sisi.
13 Amah a hnawt thai pawt dongah n'hnalval uh cakhaw anih tah uepom la naeh ngawn ta.
kama hatutakuwa waaminifu, yeye atabaki kuwa mwaminifu, maana hawezi kujikana mwenyewe.”
14 He rhoek he thoelh pah. Pathen hmaiah naenam pawt ham kang uen. A hoeikhang ham pawt he aka ya rhoek kah pocinah ham ni te.
Endelea kuwakumbusha juu ya mambo haya. Waonye mbele za Mungu waache kubishana kuhusu maneno. Kwa sababu hakuna manufaa katika jambo hili. Kutokana na hili kuna uharibifu kwa wale wanaosikiliza.
15 Oltak olka te aka paekhlae, aka birhih pawh bibikung tih namah te Pathen taengah ueppang koi la pai hamla haam lah.
Fanya bidii kujionesha kuwa umekubalika kwa Mungu kama mtenda kazi asiye na sababu ya kulaumiwa. Litumie neno la kweli kwa usahihi.
16 Tedae a rhonging kah olhong te rhael, hlangrhong khuila muep cungphoek uh ve.
Jiepushe na majadiliano ya kidunia, ambayo huongoza kwa zaidi na zaidi ya uasi.
17 Amih kah olka te khaw hmapuek manrhaicak bangla cet ni. Te khuiah Hymenaeus neh Philetu om rhoi.
Majadiliano yao yatasambaa kama donda ndugu. Miongoni mwao ni Himenayo na Fileto.
18 Amih rhoi loh oltak te a hlihloeh sak rhoi tih thohkoepnah om coeng a ti rhoi. Te vaengah hlangvang kah tangnah te a palet rhoi.
Hawa ni watu walioukosa ukweli. Wanasema ya kuwa ufufuo tayari umishatokea. Wanapindua imani ya baadhi ya watu.
19 Tedae Pathen kah khoengim tah khangmai la pai. Hekah kutnoek aka om dongah amah kah la aka om rhoek te Boeipa loh aming. Te dongah Boeipa ming aka phoei boeih long tah boethae lamloh nong saeh.
Hata hivyo, msingi imara wa Mungu unasimama, wenye uandishi huu, “Bwana anawajua walio wake, na kila alitajaye jina la Bwana ni lazima ajitenge na udhalimu.”
20 Tahae kah im puei ah sui neh caben hnopai bueng pawt tih thing neh diklai umam khaw om. Te dongah a ngen tah thangpomnah ham om dae a tloe te tah yahpohnah la om.
Kwenye nyumba ya kitajiri, siyo kwamba vimo vyombo vya dhahabu na shaba tu. Pia kuna vyombo vya miti na udongo. Baadhi ya hivi ni kwa ajili ya matumizi ya heshima na baadhi yake ni kwa matumizi yasiyo ya heshima.
21 Te dongah khat khat loh he lamkah amah a cilpoe atah boeikung kah a congpang koi neh bibi then boeih ham a hmoel tih a ciim thangpomnah hnopai la om ni.
Ikiwa mtu atajitakasa mwenyewe kutoka kwenye matumizi yasiyo ya heshima, yeye ni chombo chenye kuheshimika. Ametengwa maalumu, mwenye manufaa kwa Bwana, na ameandaliwa kwa kila kazi njema.
22 Te dongah cadongcaloe kah hoehhamnah te rhaelrham tak lamtah duengnah, tangnah, lungnah, thinko a caih la Boeipa aka phoei rhoek neh rhoeprhoinah te huul lah.
Zikimbie tamaa za ujanani. Ukifuata haki, imani, upendo na amani pamoja na wale wamwitao Bwana kwa moyo safi.
23 Tedae aka ang neh angvawk kah olpungnah te hnawt lamtah rhalthohnah ni a saii uh tila ming lah.
Lakini ukatae upumbavu na maswali ya kipuuzi. Kwani unajua ya kuwa huzaa ugomvi.
24 Te dongah Boeipa kah sal loh hnueih ham a kuek moenih. Tedae a cungkuem ham kodo la khala neh ueh ham a kuek.
Mtumishi wa Bwana hapaswi kugombana, badala yake inampasa kuwa mpole kwa watu wote, awezaye kufundisha, na mvumilivu.
25 Thimkalh rhoek muelhtuetnah neh toel mai. Amih te Pathen loh oltak mingnah dongla yutnah khaw a paek khaming.
Ni lazima awaelimishe kwa upole wale wampingao. Yamkini Mungu aweze kuwapatia toba kwa kuifahamu kweli.
26 Te daengah ni amah loh amah kongaih la a tuuk khaw rhaithae kah thaang lamloh a sae uh eh.
Waweze kupata ufahamu tena na kuepuka mtego wa Shetani, baada ya kuwa wametekwa na yeye kwa ajili ya mapenzi yake.

< 2 Timothy 2 >