< 2 Samuel 14 >
1 Manghai kah a lungbuei tah Absalom taengla a om te Zeruiah capa Joab loh a ming.
Yoabu mwana wa Seruya akafahamu kuwa moyo wa mfalme ulikuwa na shauku ya kumwona Absalomu.
2 Te dongah Joab loh Tekoa la ol a tah tih te lamkah huta aka cueih te a khuen. Te phoeiah anih te, “Nguekcoi mai lamtah nguekcoinah himbai bai mai laeh. Situi hluk boeh, aka duek ham khohnin yung ah aka nguekcoi huta bangla om laeh.
Kwa hiyo Yoabu akamtuma mtu fulani kwenda Tekoa na kumleta mwanamke mwenye hekima kutoka huko. Akamwambia huyo mwanamke, “Jifanye uko katika maombolezo. Vaa nguo za kuomboleza, nawe usitumie mafuta yoyote ya uzuri, jifanye kama mwanamke ambaye amekuwa na huzuni kwa siku nyingi kwa ajili ya kufiwa.
3 Te phoeiah manghai taengla cet lamtah amah taengah hekah ol bangla thui pah,” a ti nah tih Joab loh anih ka dongah ol a khueh pah.
Kisha nenda kwa mfalme ukazungumze maneno haya.” Naye Yoabu akaweka maneno kinywani mwa yule mwanamke.
4 Tekoa nu loh manghai te a voek vaengah a maelhmai diklai la a buluk thil tih a bawk pueng. Te phoeiah ni, “Manghai nang loh ng'khang,” a ti nah.
Huyo huyo mwanamke kutoka Tekoa alipofika kwa mfalme, akaanguka kifudifudi kumpa mfalme heshima, akasema, “Ee mfalme, nisaidie!”
5 Te dongah amah te manghai loh, “Nang te ba dae lae,” a ti nah. Te vaengah, “Kai tah nuhmai nu tih ka va khaw duek coeng.
Mfalme akamuuliza, “Una shida gani?” Akamwambia, “Mimi ni mjane hasa, mume wangu amekufa.
6 Na salnu taengkah capa panit he amamih rhoi te lohma ah hnuei uh rhoi. Amih rhoi laklo ah sim uh pawh. Te dongah pakhat loh pakhat te a ngawn tih duek.
Mimi mtumishi wako nilikuwa na wana wawili. Wakapigana wao kwa wao huko shambani wala huko hapakuwa na mtu hata mmoja wa kuwaamua. Mmoja akampiga mwenzake na kumuua.
7 Te dongah a huiko boeih loh na salnu he m'pai thil tih, 'A manuca aka ngawn te han tloeng lamtah anih loh a ngawn a manuca kah hinglu ah anih te ka ngawn uh pawn eh. A pang tueng khaw ka phae uh ni,’ a ti uh. Te dongah ka hmai-alh aka sueng te thih koinih ka va ming neh a meet he diklai hman ah khueh rhoe khueh mahpawh he,” a ti nah.
Sasa ukoo wote umeinuka dhidi ya mtumishi wako, wakisema, ‘Utukabidhi huyo aliyemuua ndugu yake, ili tumuue kwa ajili ya uhai wa ndugu yake ambaye alimuua, nasi hapo tutakuwa tumekatilia mbali na mrithi pia.’ Wakifanya hivyo, watakuwa wamezima tumaini langu lililobaki, mume wangu hataachiwa jina wala mzao katika uso wa dunia.”
8 Te dongah manghai loh huta te, “Na im la mael laeh, nang ham te kamah loh ka uen bitni,” a ti nah.
Mfalme akamwambia huyo mwanamke, “Nenda nyumbani, nami nitatoa agizo kwa ajili yako.”
9 Tedae Tekoa nu loh manghai taengah, “Ka boei manghai kathaesainah he kamah so neh a pa imkhui ah om saeh lamtah manghai neh a ngolkhoel ta ommongsitoe la om saeh,” a ti nah.
Lakini huyo mwanamke kutoka Tekoa akamwambia, “Mfalme bwana wangu, lawama na iwe juu yangu na juu ya nyumba ya baba yangu, naye mfalme na kiti chake cha enzi na asiwe na hatia.”
10 Te phoeiah manghai loh, “Nang taengah aka thui te kamah taengla hang khuen, nang koep m'ben ham te khoep boel saeh,” a ti nah.
Mfalme akajibu, “Ikiwa mtu yeyote atakusemesha lolote, mlete kwangu, naye hatakusumbua tena.”
11 Te phoeiah, “BOEIPA na Pathen loh manghai te n'thoelh pawn saeh. Thii phu aka suk te a rhaep, rhaep la thup nawn saeh. Te daengah ni ka capa te a diil sak uh pawt eh,” a ti nah. Te vaengah manghai loh, “BOEIPA kah hingnah rhangneh na capa kah a sam pakhat pataeng diklai la rhul mahpawh,” a ti nah.
Huyo mwanamke akasema, “Basi mfalme na amwombe Bwana Mungu wake ili kuzuia mlipiza kisasi cha damu kuongeza juu ya uharibifu, ili kwamba mwanangu asije akaangamizwa.” Mfalme akasema, “Hakika kama aishivyo Bwana, hakuna unywele mmoja wa kichwa cha mwanao utakaoanguka chini.”
12 Te phoeiah huta loh, “Na salnu long he ka boeipa manghai taengah ol kan thui dae eh,” a ti nah hatah, “Thui saw,” a ti nah.
Ndipo huyo mwanamke akasema, “Mruhusu mtumishi wako aseme neno kwa mfalme bwana wangu.” Mfalme akajibu, “Sema.”
13 Te dongah huta loh, “Balae tih tahae kah bangla, Pathen kah pilnam he na moeh thil. A heh uh te manghai loh na khue pawt vaengah, a rhaem banghui la hekah ol he manghai loh a thui.
Huyo mwanamke akasema, “Mbona basi wewe umewaza jambo kama hili dhidi ya watu wa Mungu? Je, mfalme asemapo hili, hajitii hatiani mwenyewe, kwa maana mfalme hajamrudisha mwanawe aliyefukuziwa mbali?
14 Diklai dongah tui a luh tih a coi thai voel pawt bangla n'duek rhoe n'duek uh pawn ni. Pathen loh a hinglu bawt pah pawt cakhaw a kopoek te a moeh pah ta. Te dongah a heh tangtae khaw amah taeng lamloh loh a bung moenih.
Kama vile maji yaliyomwagika ardhini, yasivyoweza kuzoleka tena, hivyo sisi kufa ni lazima. Lakini Mungu haondoi uhai, badala yake, yeye hufanya njia ili kwamba aliyefukuzwa asibaki akiwa amefarikishwa naye.
15 Te dongah he ol he ka boei manghai taengah thui ham ni ka pawk coeng. Pilnam loh kai ng'hih cakhaw a ti banglam ni na salnu loh manghai taengah ka thui eh. A salnu kah olka te manghai loh a rhoirhi mai khaming.
“Nami sasa nimekuja kusema hili kwa bwana wangu mfalme kwa sababu watu wameniogopesha. Mtumishi wako alifikiri, ‘Nitanena na mfalme, labda mfalme atamfanyia mtumishi wake kile anachoomba.
16 Pathen kah rho dong lamloh kamah neh ka capa rhenten aka mitmoeng sak ham khaw, hlang kut lamloh a sal nu a huul ham khaw manghai loh ya pai saeh.
Labda mfalme atakubali kumwokoa mtumishi wake kutoka mkononi mwa mtu anayejaribu kunikatilia mbali, mimi na mwanangu, kutoka kwenye urithi Mungu aliotupatia.’
17 Na salnu long tah ka boei manghai kah ol he Pathen puencawn bangla duemnah la om saeh a ti dae ta. Ka boei manghai loh a thae a then khaw a yaak dongah BOEIPA na Pathen tah namah taengah om nawn saeh,” a ti nah.
“Basi sasa mtumishi wako anasema, ‘Neno la bwana wangu mfalme na linipatie pumziko, kwa maana bwana wangu mfalme ni kama malaika wa Mungu katika kutambua jema na baya. Bwana Mungu wako na awe pamoja nawe.’”
18 Te phoeiah manghai loh huta te a doo tih, “Namah kan dawt bangla kai taengah ol phah boel mai,” a ti nah. Te vaengah huta long khaw, “Ka boei manghai nang thui laeh,” a ti nah.
Basi mfalme akamwambia huyo mwanamke, “Usinifiche jibu kuhusu hilo nitakalokuuliza.” Huyo mwanamke akasema, “Mfalme bwana wangu na aseme.”
19 Te vaengah manghai loh, “Nang taengkah olka boeih dongah he Joab kah kutngo om nama?,” a ti nah. Te dongah huta loh a doo tih, “Ka boei manghai kah na hinglu kah hingnah vanbangla ka boei manghai loh a thui te pakhat khaw banvoei bantang la a hlihloeh moenih. Na sal Joab loh kai ng'uen tih he rhoek kah olka boeih he na salnu kah a ka dongah a khueh.
Mfalme akauliza, “Je, mkono wa Yoabu haupo pamoja nawe katika jambo hilo lote?” Huyo mwanamke akajibu, “Hakika kama uishivyo, bwana wangu mfalme, hakuna yeyote anayeweza kugeuka kulia wala kushoto kutokana na chochote anachosema bwana wangu mfalme. Naam, ni mtumishi wako Yoabu ndiye alinifundisha kufanya hivi, naye ndiye aliweka maneno haya yote kinywani mwa mtumishi wako.
20 Olka te a hmuethma hoilae ham ni hekah olka he na sal Joab loh a saii. Tedae ka boeipa tah Pathen puencawn kah cueihnah bangla a cueih dongah, diklai hman kah khaw boeih a ming,” a ti nah.
Mtumishi wako Yoabu amefanya hivi ili kubadili hali iliyopo. Bwana wangu ana hekima kama ile ya malaika wa Mungu, hufahamu kila kitu kinachotokea katika nchi.”
21 Te daengah manghai loh Joab te, “Ol he ka tloek bitni ne, cet lamtah Absalom camoe te lo laeh,” a ti nah.
Mfalme akamwambia Yoabu, “Vyema sana, nitalifanya jambo hili. Nenda, ukamlete kijana Absalomu.”
22 Te dongah Joab loh a maelhmai te diklai la a buluk tih a bawk phoeiah manghai te a uem. Te phoeiah Joab loh, “Tihnin ah tah ka boei manghai na mikhmuh ah mikdaithen ka dang te na sal loh ka ming. Na sal kah a sal patoeng ol he manghai loh a rhoi coeng,” a ti.
Yoabu akaanguka kifudifudi mpaka ardhini kumpa mfalme heshima, naye akambariki mfalme. Yoabu akasema, “Leo mtumishi wako anajua kuwa amepata kibali machoni pako, bwana wangu mfalme, kwa sababu mfalme amemjalia mtumishi wake ombi lake.”
23 Joab te thoo tih Geshuri la cet tih Absalom te Jerusalem la a mael puei.
Ndipo Yoabu akaenda hadi Geshuri akamrudisha Absalomu Yerusalemu.
24 Tedae manghai loh, “Amah im la mael saeh lamtah ka maelhmai he hmu boel saeh,” a ti nah. Te dongah Absalom te amah im la mael tih manghai kah maelhmai khaw hmu pawh.
Lakini mfalme akasema, “Lazima Absalomu aende kwenye nyumba yake mwenyewe; kamwe asiuone uso wangu.” Kwa hiyo Absalomu akaenda kwenye nyumba yake na hakuuona uso wa mfalme.
25 Absalom bangla sakthen hlang he Israel boeih khuiah a om moenih. A khopha lamloh a luki duela thangthen hamla om. A pum dongah a lolhmaih pakhat khaw om pawh.
Katika Israeli yote hakuna mtu yeyote aliyesifiwa kwa uzuri wa sura kama Absalomu. Kuanzia utosi wa kichwa chake hadi wayo wa mguu wake hapakuwa na kasoro.
26 A kum, kum ah apat a pha atah a lu te vok. Te khaw amah mat a nan vaengah ni a vok pueng. A lu dongkah sam te a vok tih a thuek vaengah manghai coilung ah shekel yahnih a lo pah.
Kila mara aliponyoa nywele za kichwa chake, kwa kuwa alikuwa akinyoa mara kwa mara zilipokuwa zinamwia nzito, alizipima uzito wake ulikuwa shekeli mia mbili kwa kipimo cha kifalme.
27 Absalom loh capa pathum neh canu pakhat a sak. A canu ming tah Tamar tih, a mueimae khaw sakthen nu la om.
Walizaliwa wana watatu na binti mmoja kwa Absalomu. Jina la binti yake aliitwa Tamari, naye akawa mwanamke mzuri wa sura.
28 Absalom tah Jerusalem ah khohnin la kum nit kho a sak dae manghai maelhmai hmuh pawh.
Absalomu akaishi miaka miwili huko Yerusalemu pasipo kuuona uso wa mfalme.
29 Te dongah Absalom loh Joab te a tah tih manghai taengla a tueih. Tedae a taengla a pawk pah ham te a ngaih pah moenih. Te dongah a pabae la koep a tueih dae lo sak ham ngaih pah pawh.
Basi Absalomu akamwita Yoabu kwa kusudi la kumtuma kwa mfalme, lakini Yoabu akakataa kuja kwa Absalomu. Ndipo akamwita tena mara ya pili, lakini pia akakataa kuja.
30 Te vaengah a sal rhoek taengah, “So uh lah, Joab kah lo he kamah kut ah om, te lamkah cangtun te paan uh lamtah hmai neh hlup la hlup pa uh,” a ti nah. Te dongah Absalom kah sal rhoek loh lo te hmai neh a hlup uh.
Ndipo akawaambia watumishi wake, “Tazama, shamba la Yoabu liko jirani na langu, naye ana shayiri humo. Nendeni mkalitie moto.” Kisha watumishi wa Absalomu wakalitia moto shamba hilo.
31 Te daengah Joab te too tih Absalom te a im la a paan. Te vaengah, “Balae tih na sal rhoek loh kai lo ke hmai neh a hlup uh,” a ti nah.
Basi Yoabu akaenda nyumbani kwa Absalomu, akamwambia, “Kwa nini watumishi wako wametia moto shamba langu?”
32 Absalom loh Joab te, “'Hela halo dae,’ ka ti tih la nang te kan tah. Te daengah man manghai te voek hamla nang te kan tueih ve. Geshuri lamkah ka pawk parhi te kai hamla balae a then, ka om palueng vetih manghai kah maelhmai ka hmuh laeh mako, tedae kai pum dongah thaesainah a om atah kai he ng'ngawn saeh,” a ti nah.
Absalomu akamwambia Yoabu, “Tazama, nilikutumia ujumbe na kusema, ‘Njoo ili niweze kukutuma kwa mfalme kuuliza, “Kwa nini nimekuja kutoka Geshuri? Ingekuwa bora zaidi kwangu kama ningebaki huko!”’ Sasa basi, nataka kuuona uso wa mfalme, na ikiwa nina hatia ya jambo lolote, basi na aniue.”
33 Joab te manghai taengla cet tih a thui pah. Te daengah Absalom te a khue tih manghai taengla koep ha pawk. Te vaengah manghai kah mikhmuh ah a maelhmai diklai la a buluk tih a bawk. Manghai loh Absalom te a mok.
Basi Yoabu akaenda kwa mfalme na kumwambia jambo hili. Kisha mfalme akamwita Absalomu, naye akaingia ndani akasujudu uso wake mpaka ardhini mbele ya mfalme. Naye mfalme akambusu Absalomu.