< 2 Khokhuen 29 >

1 Hezekiah he kum kul kum nga a lo ca vaengah manghai tih Jerusalem ah kum kul kum ko manghai. A manu ming tah Zekhariah canu Abijah ni.
Hezekia alianza kutawala alipokuwa na umri wa miaka ishirini na mitano; alitawala miaka ishini na nane katika Yerusalemu. Jina la mama yake aliitwa Abiya; alikuwa binti wa Zekaria.
2 A napa David kah a saii bang boeih la BOEIPA mik ah a thuem ni a saii.
Alifanya yaliyoadili katika macho ya Yahwe, kama Daudi baba yake alivyofanya.
3 A manghai cuek kum dongkah a hla lamhma cuek vaengah BOEIPA im kah thohkhaih te a ong tih a tlaih.
Katika mwaka wa kwanza wa utawala wake, katika mwezi wa kwanza, Hezekia aliifungua milango ya nyumba ya Yahwe na kuikarabati.
4 Khosoih rhoek neh Levi rhoek te a khuen tih amih te khocuk toltung ah a kuk.
Akawaleta ndani makuhani na Walawi, na akawakusanya pamoaja katika uwanda upande wa mashariki.
5 Te phoeiah amih te, “Kai ol he hnatun uh. Levi rhoek nang, ciim uh lamtah na pa rhoek kah Pathen BOEIPA im te ciim uh laeh. Hmuencim lamkah rhalawt te khaw khoe uh laeh.
Akawaambia, “Nisikilizeni, ninyi Walawi! Jitakaseni wenyewe, na itakaseni nyumba ya Yahwe, Mungu wa babu zenu, na uondoeni mbali uchafu kutoka kwenye sehemu takatifu.
6 A pa rhoek loh boe a koek uh tih mamih kah Pathen BOEIPA mikhmuh ah boethae a saii uh dongah amah te a hnawt uh. A maelhmai te BOEIPA kah dungtlungim lamloh mangthong uh tih a rhawn a maelh uh.
Kwa kuwa babu zetu walikosea na kufanya kilichokuwa uovu katika macaho ya Yahwe Mungu wetu; walimsahau, wakageuzia mbali nyuso zao kutoka sehemu ambapo Yahwe anaishi, na kuigeuzia migongo yao.
7 Ngalha kah thohkhaih khaw a khaih uh tih hmaithoi te a thih uh. Bo-ul khaw phum uh pawt tih hmueihhlutnah te Israel Pathen kah hmuencim ah nawn uh pawh.
Pia waliifunga milango ya ukumbi nakuziweka nje taa; hawakufukiza uvumba au kutoa sadaka za kuteketezwa katika sehemu takatifu kwa Mungu wa Israeli.
8 Te dongah BOEIPA kah thinhulnah loh Judah neh Jerusalem te a tlak thil tih amih te tonganah la, ngaihuetnah la, imsuep la, na mik neh na hmuh uh banlga thuithetnah la a khueh.
Kwa hiyo hasira ya Yahwe ilikuwa imeshuka juu ya Yuda na Yerusalemu, na amewafanya kuwa kitu cha wasiwasi, cha hofu, na cha kudharauriwa, kama mnavyoona kwa macho yenu.
9 Te dongah a pa rhoek khaw cunghang dongah cungku uh coeng ke. He kongah ni mamih capa, mamih canu neh mamih yuu rhoek khaw tamna khuiah a om.
Hii ndiyo maana mababu zetu wameanguka kwa upanga, na wana wetu, binti zetu, na wake zetu wako katika utumwa kwa sababu ya hili.
10 Kai thinko khuiah Israel Pathen BOEIPA neh paipi saii ham om coeng. Te daengah ni a thintoek thinsa khaw mamih taeng lamloh a mael eh.
Sasa ni katika moyo wangu kufanya agano na Yahwe, Mungu wa Israeli, ili kwamba hasira yake kali iweze kugeukia mbali nasi.
11 Ka ca rhoek khaw vawk vapsa uh boeh. Nangmih te BOEIPA loh amah mikhmuh ah aka pai ham, amah taengah aka thotat ham neh a taengah aka thotat tih aka phum la om ham ni a coelh,” a ti nah.
Wanangu, msiwe wavivu sas, kwa kuwa Yahwe amewachagua kwa ajili ya kusimama mbe yake, kwa ajili ya kumwabudu yeye, na kwamba muwe watumishi wake na kufukiza uvumba.”
12 Te dongah Levi lamkah aka thoo rhoek tah, Amasai capa Mahath, Kohathi koca lamloh Azariah capa Joel, Merari koca lamloh Abdi capa Kish, Jehallelel capa Azariah, Gershon lamloh Zimmah capa Joah neh Joah capa Eden.
Basi Walawi wakainuka; Mahathi mwana wa Amasai, na Yoeli mwana wa Azaria, wa watu wa Kohathi; na wa watu wa Merari, Kishi mwana wa Abdi, na Azaria mwana wa Yehaleleli; na wa Wargeshoni, Yoa mwana wa Zimna, na Edeni mwana wa Yoa;
13 Elizaphan koca lamloh Shimri, Jeuel neh Jeiel, Asaph koca lamloh Zekhariah neh Mattaniah.
wa wana wa Elisafani, Shimri na Yeueli; wa wana wa Asafu, Zekaria na Matania;
14 Heman koca lamloh Jehiel neh Shimei, Jeduthun koca lamloh Shemaiah neh Uzziel.
wa wana wa Hemani, Yehueli na Shimei; na wa wana Yeduthuni, Shemaya na Uzieli.
15 A pacaboeina te a coi tih a ciim uh phoeiah tah manghai olpaek bangla BOEIPA im caihcil ham BOEIPA ol dongah pongpa uh.
Wakawakusanya ndugu zao, wakajitakasa wenyewe, na wakaenda ndani, kama alivyoamru mfalme, wakifuata maneno ya Yahwe, kwa ajili ya kuisafisha nyumba ya Yahwe.
16 Khosoih rhoek khaw BOEIPA im te caihcil hamla a khui la kun uh. BOEIPA bawkim ah a tihnai a hmuh boeih te BOEIPA im kah vongup la a sat uh. Te phoeiah Levi rhoek loh a doe uh tih Kidron soklong kah a voel la a thak uh.
Makuhani wakaenda kwenye sehemu za ndani ya nyumba ya Yahwe kwa ajili ya kuisafisha; wakaleta nje uchafu wote walioukuta ndani ya hekalu la Yahwe katika uwanja wa nyumba. Walawi wakauchukua kuubeba nje ya hadi kwnye kijito cha Kidroni.
17 Im ciim ham te a hla khat dongah lamhma la a tong uh tih te hla kah a hnin rhet dongah tah BOEIPA kah ngalha taengla pawk uh. A hnin rhet dongah BOEIPA im te a ciim uh tih lamhmacuek hla kah hnin hlai rhuk dongah a khah uh.
Sasa wakaanza utakaso katika siku ya kwanza ya mwezi. Katika siku ya nane ya mwezi wakaufikia ukumbi wa Yahwe. Kisha siku nane zaidi wakaitakasa nyumba ya Yahwe. Katika siku ya kumi na sita ya mwezi wa kwanza wakamaliza.
18 Te phoeiah manghai Hezekiah taengah a khui la kun uh tih, “BOEIPA im boeih neh hmueihhlutnah hmueihtuk khaw, a hnopai boeih khaw, rhungkung caboei neh a hnopai boeih te khaw, ka caihcil uh coeng.
Kisha wakaenda kwa Hezekia, mfalme, ndani ya ikulu na kusema, “Tumeisafisha nyumba yote ya Yahwe, madhabahu kwa ajili ya kutolea sadaka za kuteketezwa pamoja na vifaa vyake vyote, na meza ya mkate wa uwepo, pamoja na vifaa vyake vyote.
19 Manghai Ahaz loh a ram ah boekoeknah la a hlahpham hnopai boeih te khaw ka soepsoei uh tih BOEIPA kah hmueihtuk hmai ah ka ciim uh coeng ke,” a ti nauh.
Kwa hiyo tumejiandaa na tumevitakasa vitu vyote ambavyo Mfalme Ahazi aliviondoa wakati alipoenda kwa ukengeufu katika kipindi cha utawala wake, ona, viko mbele ya madhabahu ya Yahwe.”
20 Te vaengah manghai Hezekiah te thoo tih khopuei mangpa rhoek te a coi phoeiah BOEIPA im la cet.
Kisha Hezekia mfalme akaamka mapema asubuhi na kuwakusanya viongozi wa miji; akaenda kwenye nyumba ya Yahwe.
21 Te phoeiah vaito pumrhih, tutal pumrhih, tuca pumrhih, maae tal pumrhih te ram ham khaw, rhokso ham khaw, Judah ham khaw boirhaem la a khuen. Te phoeiah Aaron koca khosoih taengah BOEIPA kah hmueihtuk dongah a nawn ham te a uen.
Wakaleta ng'ombe waume saba, kondoo waume saba, wanakondoo saba, mbuzi waume saba kama sadaka ya dhambi kwa ajili ya mfalme, kwa ajili ya patakatifu, kwa ajili ya Yuda. Akawaamuru makuhani, wana wa Haruni, kuwatoa sadaka juu ya madhabahu ya Yahwe.
22 Te dongah saelhung a ngawn uh phoeiah tah a thii te khosoih rhoek loh a duen uh tih hmueihtuk dongah a haeh uh. Tutal khaw a ngawn uh tih a thii te hmueihtuk dongah a haeh uh bal. Tuca khaw a ngawn uh tih a thii te hmueihtuk dongah a haeh uh.
Kwa hiyo wakawachinja ng'ombe, na makuhani wakaipokea damu na kuinyunyiza juu ya madhabahu. Wakawachinja kondoo dume, na kunyunyiza damu juu ya madhabahu; Pia wakawachinja wanakondoo na kuinyunyiza damu juu ya madhabahu.
23 Boirhaem maae te tah manghai neh hlangping mikhmuh la a mop uh tih a soah a kut a tloeng uh.
Wakawaleta mbuzi kwa ajili ya sadka ya dhambi mbele ya mfalme na kusnyiko; wakaweka mikono yao juu ya hao mbuzi.
24 Hmueihhlutnah neh boirhaem he manghai loh Israel boeih ham a thui coeng. Te dongah khosoih loh a ngawn van nen tah Israel pum kah te dawth pah hamla a thii te hmueihtuk dongah a khueh uh.
Makuhani wakawachinja, na wakafanya sadaka ya dhambi kwa damu yao juu ya madhabahu ili kufanya upatanisho kwa ajili ya Israeli wote, kwa maana mfalme alikuwa ameamuru kuwa sadaka ya kuteketezwa na sadaka ya dhambi lazima zifanywe kwa ajili ya Israeli wote.
25 BOEIPA im kah Levi rhoek tah David neh manghai kah khohmu Gad, tonghma Nathan kah olpaek bangla tlaklak neh, thangpa neh, rhotoeng neh paiuh. Te olpaek te BOEIPA kut neh amah kah tonghma rhoek kut ah a paek.
Hezekia akawaweka Walawi katika nyumba ya Yahwe wakiwa na matoazi, vinanda, na vinubi, akiwapanga kwa amri ya Daaudi, Gadi, mwonaji wa mfalme, na Nathani, nabii, kwa maana amri ilitoka kwa Yahwe kupitia manabii wake.
26 Te dongah Levi rhoek te David kah a tumbael neh, khosoih rhoek te olueng neh pai uh.
Walawi wakasimama na vyombo vya Daudi, na makauhani wakasimama na matarumbeta.
27 Hezekiah loh hmueihtuk dongah hmueihhlutnah nawn ham a thui tih hmueihhlutnah tue a tong. Te vaengah BOEIPA laa neh olueng te a kut dongkah Israel manghai David tumbael neh a tong.
Hezekia akawaamuru kutoa sadaka za kuteketezwa juu ya madhabahu. Sadaka zilipoanza, wimbo wa Yahwe ukaanza pia, kwa matarumbeta, pamoja na vyombo vya Daudi, mfalme wa Israeli.
28 Hlangping boeih loh a bakop van neh laa te a sak tih olueng aka ueng long khaw hmueihhlutnah boeih a coeng hil a ueng.
Kusanyiko lote wakaabudu, waimbaji wakaimba, na wapiga matarumbeta wakapiga; yote hayo yakaendele hadi sadaka za kuteketezwa zilizipokwisha.
29 A nawn bawt ah manghai neh a taengkah a hmuh boeih loh cungkueng uh tih a bawkuh.
Walipomaliza kutoa sadaka, mfalme na watu waliokuwepo pamoja naye wakainama, na kusujudu.
30 David neh khohmu Asaph kah olka bangla BOEIPA thangthen hamla manghai Hezekiah neh mangpa rhoek loh Levi rhoek te a uen. Te dongah kohoenah neh a thangthen uh phoeiah buluk tih a bawk uh.
Vile vile, Hezekia, mfalme, na viongozi wakawaamuru Walawi kuimba ili kumsifu Yahwe kwa maneno ya Daudi na ya Asafu, mwonaji. Wakaimba sifa kwa furaha, wakainama chini wakasujudu.
31 Te phoeiah Hezekiah loh a doo tih, “Na kut cung sak uh laeh, BOEIPA taengla mop uh lamtah hmueih neh uemonah te BOEIPA im la khuen uh,” a ti nah. Te dongah hlangping loh hmueih neh uemonah khaw, hlangcong lungbuei kah hmueihhlutnah cungkuem te khaw a khuen uh.
Kisha Hezekia akasema, “Sasa mmejiweka wakfu wenyewe kwa Yahwe. Njoni hapa na mlete sadaka na dhabihu za shukrani katika nyumba ya Yahwe.” Kusanyiko wakaleta sadka na dhabihu za shukrani, na wote waliaokuwa na moyo wa kuhiyalika wakaleta sadka za kuteketezwa.
32 A pum la hlangping loh hmueihhlutnah a khuen te vaito sawmrhih, tutal yakhat, tuca yahnih lo. He boeih he BOEIPA ham hmueihhlutnah ni.
Hesabu ya sadaka za kuteketezwa ambazo kusanyiko walileta ilikuwa ng'ombe sabini, kondoo waume mia moja, na wanakondo waume mia mbili. Wote hao walikuwa kwa ajili ya sadaka za kuteketezwa kwa Yahwe.
33 Hnocim la saelhung ya rhuk, boiva thawng thum lo.
Sadaka za kuwekwa wakfu zilikuwa ng'ome mia sita na kondoo elfu tatu.
34 Tedae khosoih rhoek tah a sii la om uh tih hmueihhlutnah boeih te hlaih hamla noeng uh pawh. Te dongah amih te a manuca Levi rhoek loh bitat a coeng hil neh khosoih a ciim hil a duel uh. Levi rhoek tah khosoih rhoek lakah a ciim ham thinko thuem uh.
Lakini makuhani walikuwa wachache sana kuchuna sadaka zote za kuteketezwa, kwa hiyo ndgugu zao, Walawi, wakawasaidia hadi kazi ilipoisha, na hadi makuhani walipoweza kujitakasa wenyewe, kwa maana Walawi walikuwa makaini sana kujitaksa wenyewe kuliko makuhani.
35 Hmueihhlutnah khaw a cungkuem la rhoepnah maehtha neh, tuisi neh, hmueihhlutnah neh soep. Te dongah BOEIPA im kah thothuengnah khaw cikngae.
Zaidi ya hayo, palikuwa na sadaka za kuteketezwa nyingi sana; zilitolewa pamoja na sadaka za mafauta za amani, na kulikuwa na sadaka za vinywaji kwa kila sadaka ya kuteketezwa. Kwa hiyo huduma ya nyumba ya Yahwe ikawekwa katika utaratibu.
36 Pathen loh pilnam ham a soepsoei tih ol te thaeng a thoeng coeng dongah Hezekiah neh pilnam boeih loh a kohoe.
Hezekia akafurahia, na watu pia, kwa sababu ya kile ambacho Mungu alikuwa ameandaa kwa ajili ya watu, kwa maana kazi ilikuwa imekamilika haraka.

< 2 Khokhuen 29 >