< Tingtoeng 80 >
1 Olphong Tuilipai aka mawt ham Asaph kah Tingtoenglung Israel aka dawn loh hnatun lah. Boiva bangla Joseph aka hmaithawn tih cherubim aka ngol loh ha sae lah.
Kwa mwimbishaji. Mtindo wa “Yungiyungi za Agano.” Zaburi ya Asafu. Ee Mchungaji wa Israeli tusikie, wewe umwongozaye Yosefu kama kundi; wewe uketiye katika kiti cha enzi katikati ya makerubi, angaza
2 Ephraim, Benjamin neh Manasseh mikhmuh ah na thayung thamal te huel lamtah, kaimih kah khangnah ham halo lah.
mbele ya Efraimu, Benyamini na Manase. Uamshe nguvu zako, uje utuokoe.
3 Pathen aw kaimih nan lat tih, na maelhmai a sae daengah ni ka daem uh eh.
Ee Mungu, uturejeshe, utuangazie uso wako, ili tuweze kuokolewa.
4 Caempuei Pathen BOEIPA me hil nim, na pilnam kah thangthuinah te na khuu thil eh?
Ee Bwana Mungu Mwenye Nguvu Zote, hata lini hasira yako itawaka na kufoka moshi dhidi ya maombi ya watu wako?
5 Amih te mikphi buh na cah tih baelpuei mikphi na tul.
Umewalisha kwa mkate wa machozi, umewafanya wanywe machozi bakuli tele.
6 Ka imben rhoek ham olpungkacan la kaimih nan khueh tih ka thunkha rhoek loh n'tamdaeng uh.
Tumekuwa chanzo cha ugomvi kwa jirani zetu, na adui zetu wanatudhihaki.
7 Caempuei Pathen aw kaimih nan lat tih na maelhmai a sae daengah ni ka daem uh eh.
Ee Mungu Mwenye Nguvu Zote, uturejeshe; utuangazie uso wako, nasi tuweze kuokolewa.
8 Egypt lamkah nang khuen misur te namtom na haek phoeiah na phung.
Ulileta mzabibu kutoka Misri, ukawafukuza mataifa, ukaupanda.
9 A mikhmuh ah hmuen na saelh pah tih a yung a hlak dongah khohmuen ah baetawt.
Uliandaa shamba kwa ajili yake, mizizi ikawa imara, ukajaza nchi.
10 A hlip loh tlang tom a dah tih a hlaeng loh lamphai thingnu a yam thil.
Milima ilifunikwa kwa kivuli chake, matawi yake yakafunika mierezi mikubwa.
11 A pae loh tuitunli duela, a dawn long khaw tuiva duela a voeih.
Matawi yake yalienea mpaka Baharini, machipukizi yake mpaka kwenye Mto.
12 A vongtung te a ba ham nim na phae tih long kah aka pongpa boeih loh a bit uh?
Mbona umebomoa kuta zake ili wote wapitao karibu wazichume zabibu zake?
13 Duup lamkah okngal loh a thoe tih kohong kah satlung loh a luem thil.
Nguruwe mwitu wanauharibu na wanyama wa kondeni hujilisha humo.
14 Caempuei Pathen aw, ha mael laeh. Misur he vaan lamloh paelki lah, so lamtah hip lah.
Turudie, Ee Mungu Mwenye Nguvu Zote! Tazama chini kutoka mbinguni na uone! Linda mzabibu huu,
15 Na bantang kut neh a yung te na phung tih namah ham a ca na hlul sak.
mche ulioupanda kwa mkono wako wa kuume, mwana uliyemlea kwa ajili yako mwenyewe.
16 Hmai neh a hoeh tih a vung. Na mikhmuh kah tluungnah dongah milh uh.
Mzabibu wako umekatwa, umechomwa moto, unapowakemea, watu wako huangamia.
17 Na bantang hlang so neh namah ham na thoh hlang capa soah na kut tloeng lah.
Mkono wako na utulie juu ya mtu aliyeko mkono wako wa kuume, mwana wa mtu uliyemlea kwa ajili yako mwenyewe.
18 Te daengah ni nang taeng lamkah ka balkhong uh pawt eh. Kaimih he nan hlun daengah ni na ming te kang khue uh eh.
Ndipo hatutakuacha tena, utuhuishe, nasi tutaliitia jina lako.
19 Caempuei Pathen Yahweh kaimih nan lat tih na maelhmai a sae daengah ni ka daem uh eh.
Ee Bwana Mungu Mwenye Nguvu Zote, uturejeshe; utuangazie uso wako, ili tuweze kuokolewa.