< Tingtoeng 31 >

1 David kah Tingtoenglung neh aka mawt ham. BOEIPA nang dongah ka ying tih kumhal duela yah sak boeh. Na duengnah neh kai n'hlawt lah.
Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi. Ee Bwana, nimekukimbilia wewe, usiache nikaaibika kamwe, kwa haki yako uniokoe.
2 Na hna te kai taengah rhep duen lamtah kai he tlek n'huul lah. Kai ham lunghim lungpang la, kai aka khang ham rhalvong im la om lah.
Nitegee sikio lako, uje uniokoe haraka; uwe kwangu mwamba wa kimbilio, ngome imara ya kuniokoa.
3 Nang tah ka thaelpang neh ka rhalvong ni. Te dongah namah ming ham kai nan mawt tih nan khool.
Kwa kuwa wewe ni mwamba wangu na ngome yangu, uniongoze na kunilinda kwa ajili ya jina lako.
4 Namah te ka lunghim coeng dongah kai ham a tung uh lawk lamkah te nan doek.
Uniepushe na mtego niliotegewa, maana wewe ndiwe kimbilio langu.
5 Ka mueihla he na kut ah kan hlah tih oltak Pathen BOEIPA loh kai he nan lat.
Ninaikabidhi roho yangu mikononi mwako, unikomboe Ee Bwana, uliye Mungu wa kweli.
6 A poeyoek la a honghi aka ngaithuen khaw ka hmuhuet tih kai tah BOEIPA ni ka pangtung.
Ninawachukia wale wanaongʼangʼania sanamu batili; mimi ninamtumaini Bwana.
7 Namah kah sitlohnah neh kai kah phacip phabaem te nan hmuh tih ka hinglu kah citcai te nan ming dongah ka omngaih vetih ka kohoe ni.
Nitafurahia na kushangilia upendo wako, kwa kuwa uliona mateso yangu na ulijua maumivu ya nafsi yangu.
8 Te dongah kai he thunkha kut ah nan tloeng mueh la ka kho he a hoengpoeknah ah nan sut.
Hukunikabidhi kwa adui yangu bali umeiweka miguu yangu mahali penye nafasi.
9 Konoinah dongah ka mik, ka hinglu neh ka bungko hmawn tih puen ka cak dongah kai n'rhen dae BOEIPA.
Ee Bwana unihurumie, kwa kuwa niko kwenye shida; macho yangu yanafifia kwa huzuni, nafsi yangu na mwili wangu kwa sikitiko.
10 Ka hingnah he kothae loh a ngawn tih ka hueinah neh ka kum thok. Kamah kathaesainah dongah ka thadueng yaai tih ka rhuh hmawn. Te vaengah tol long ah kai aka hmu kamah hmaiben rhoek te kai lamloh birhihnah neh yong uh.
Maisha yangu yamedhoofika kwa majonzi, naam, miaka yangu kwa kulia kwa maumivu makali; nguvu zangu zinaisha kwa ajili ya mateso, na mifupa yangu inachakaa.
11 Kamah puencak dongah hlang boeih neh ka imben kah kokhahnah la mat ka om.
Kwa sababu ya adui zangu wote, nimedharauliwa kabisa na jirani zangu, hata kwa rafiki zangu nimekuwa tisho, wale wanionao barabarani hunikimbia.
12 Duek tangtae bangla a lungbuei ah kai n'hnilh. Am poo bangla ka om.
Nimesahaulika miongoni mwao kama mtu aliyekufa, nimekuwa kama chombo cha mfinyanzi kilichovunjika.
13 theetnah he kaepvai ah rhihnah la muep ka yaak. Amih te kai soah tingtun tih, ka hinglu loh hamla a mangtaeng uh.
Kwa maana nimesikia maneno niliyosingiziwa na wengi; vitisho viko pande zote; kwa kuwa wamefanya mashauri dhidi yangu, na kula njama kuniua.
14 Tedae kai tah BOEIPA nang dongah ka pangtung tih nang te ka Pathen ni ka ti.
Lakini mimi ninakutumaini wewe peke yako, Ee Bwana; nimesema, “Wewe ndiwe Mungu wangu.”
15 Ka khohnin he na kut dongah om. Ka thunkha kut neh kai aka hloem kut lamkah kai n'huul lah.
Siku za maisha yangu ziko mikononi mwako, uniokoe mikononi mwa adui zangu na wale wanifuatiao.
16 Na sal taengah na maelhmai te han sae sak lah. Na sitlohnah neh kai n'khang lah.
Mwangazie mtumishi wako uso wako, uniokoe kwa ajili ya upendo wako usiokoma.
17 BOEIPA nang kan khue vaengah yah m'poh sak boeh. Halang rhoek te yahpok saeh lamtah saelkhui la duem uh saeh. (Sheol h7585)
Usiniache niaibike, Ee Bwana, kwa maana nimekulilia wewe, bali waovu waaibishwe na kunyamazishwa Kuzimu. (Sheol h7585)
18 Hlang dueng te hoemnah neh nueihbu la a hong aka thui mangkhak rhoek loh a kam khom saeh.
Midomo yao isemayo uongo na inyamazishwe, kwa maana kwa kiburi na dharau wao husema kwa majivuno dhidi ya wenye haki.
19 Namah aka rhih rhoek ham na khoem pah tih hlang capa rhoek hmuh ah namah dongla aka ying rhoek ham na saii pah na thennah he bahoeng len.
Tazama jinsi ulivyo mkuu wema wako, uliowawekea akiba wakuchao, ambao huwapa wale wakukimbiliao machoni pa watu.
20 Hlang kah tangkhuepnah lamkah na hmai kah a huephael ah amih te na thuh. Tuituknah ol lamkah pohlip ah amih te na khoem.
Unawahifadhi katika uvuli wa uwepo wako kutokana na hila za wanadamu; katika makao yako huwaweka salama kutokana na ndimi za mashtaka.
21 Khopuei vongup khuiah kai ham a sitlohnah khobaerhambae la a tueng dongah BOEIPA tah a yoethen pai.
Atukuzwe Bwana, kwa kuwa amenionyesha upendo wake wa ajabu nilipokuwa katika mji uliozingirwa.
22 Te dongah ka tamto vaengah, “Na mikhmuh lamkah ka pat coeng,” ka ti. Tedae namah taengla ka pang vaengah ka huithuinah ol nan yaak.
Katika hofu yangu nilisema, “Nimekatiliwa mbali na macho yako!” Hata hivyo ulisikia kilio changu ukanihurumia nilipokuita unisaidie.
23 Amah kah hlangcim rhoek boeih loh BOEIPA te lungnah uh lah. Oltak te BOEIPA loh a kueinah tih hoemnah aka saii te a khawk la a thuung.
Mpendeni Bwana ninyi watakatifu wake wote! Bwana huwahifadhi waaminifu, lakini wenye kiburi huwalipiza kikamilifu.
24 BOEIPA dongah aka ngaiuep boeih loh thahuel uh lamtah na thinko cak sakuh.
Kuweni hodari na mjipe moyo, ninyi nyote mnaomtumaini Bwana.

< Tingtoeng 31 >