< Tingtoeng 24 >

1 David kah Tingtoenglung Diklai neh a a cungkuem khaw, lunglai neh anih dongkah khosa rhoek khaw BOEIPA kah ni.
Nchi ni ya Yahwe, na vyote viijazavyo, dunia, na wote wakaao ndani yake.
2 Amah loh tuitunli dongah a sut tih tuiva dongah a pai sak.
Kwa kuwa yeye aliianzisha juu ya bahari na kuiimarisha juu ya mito.
3 BOEIPA tlang la unim aka luei vetih a hmuen cim ah unim aka pai eh?
Ni nani atakaye panda mlima wa Yahwe? Ni nani atakaye simama patakatifu pake?
4 A kut aka ommongsitoe tih thinko aka caih, a hinglu loh a poeyoek la aka nuen pawh, hlangthai palat la ol aka caeng pawt long ni,
Yeye ambaye ana mikono misafi na moyo safi; ambaye hajauinua uongo, na haja apa kiapo ili kudanganya.
5 BOEIPA taeng lamkah yoethennah neh daemnah Pathen amah taengkah duengnah te a dang eh.
Yeye atapokea baraka kutoka kwa Yahwe na haki kutoka kwa Mungu wa wokovu wake.
6 BOEIPA te a tlap la aka tlap thawnpuei tah Jakob Pathen namah maelhmai aka tlap rhoek pai ni. (Selah)
Kizazi cha wale wamtafutao Mungu ni kama hiki, wale ambao wanautafuta uso wa Mungu wa Yakobo.
7 Aw vong ka rhoek na lu dangrhoek uh lah. Khosuen thohka rhoek khaw pom uh hang lamtah thangpomnah manghai kun lah saeh.
Inueni vichwa vyenu, ninyi malango; muinuliwe juu, milango ya milango ya kudumu, ili kwamba Mfalme wa utukufu aweze kuingia!
8 Thangpomnah manghai he unim? BOEIPA hlangtlung pa-al neh hlangrhalh pai ni. BOEIPA tah caemtloek hlangrhalh pai ni.
Huyu Mfalme wa utukufu ni nani? Yahwe, mwenye nguvu na uweza; Yahwe, mwenye uweza katika vita.
9 Aw vong ka rhoek na lu dangrhoek uh lah. Khosuen thohka rhoek khaw rhoep uh lamtah thangpomnah manghai kun lah saeh.
Inueni vichwa vyenu, ninyi malango; muinuliwe juu, milango ya kudumu, ili kwamba Mfalme wa utukufu aweze kuingia!
10 Thangpomnah manghai amah he unim? Thangpomnah manghai tah caempuei BOEIPA amah pai ni. (Selah)
Huyu Mfalme wa utukufu ni nani? Yahwe wa majeshi, yeye ni Mfalme wa utukufu.

< Tingtoeng 24 >