< Tingtoeng 24 >

1 [David kah Tingtoenglung] Diklai neh a cungkuem khaw, lunglai neh anih dongkah khosa rhoek khaw BOEIPA kah ni.
Zaburi ya Daudi. Dunia ni mali ya Bwana, na vyote vilivyomo ndani yake, ulimwengu, na wote waishio ndani yake,
2 Amah loh tuitunli dongah a sut tih tuiva dongah a pai sak.
maana aliiwekea misingi yake baharini na kuifanya imara juu ya maji.
3 BOEIPA tlang la unim aka luei vetih a hmuen cim ah unim aka pai eh?
Nani awezaye kuupanda mlima wa Bwana? Ni nani awezaye kusimama patakatifu pake?
4 A kut aka ommongsitoe tih thinko aka caih, a hinglu loh a poeyoek la aka nuen pawh, hlangthai palat la ol aka caeng pawt long ni,
Ni yule mwenye mikono safi na moyo mweupe, yule ambaye hakuinulia sanamu nafsi yake au kuapa kwa kitu cha uongo.
5 BOEIPA taeng lamkah yoethennah neh daemnah Pathen amah taengkah duengnah te a dang eh.
Huyo atapokea baraka kutoka kwa Bwana, na hukumu ya haki kutoka kwa Mungu Mwokozi wake.
6 BOEIPA te a tlap la aka tlap thawnpuei tah Jakob Pathen namah maelhmai aka tlap rhoek pai ni. (Selah)
Hiki ndicho kizazi cha wale wamtafutao, wale wautafutao uso wako, Ee Mungu wa Yakobo.
7 Aw vongka rhoek na lu dangrhoek uh lah. Khosuen thohka rhoek khaw pom uh hang lamtah thangpomnah manghai kun lah saeh.
Inueni vichwa vyenu, enyi malango, inukeni enyi milango ya kale, ili mfalme wa utukufu apate kuingia.
8 Thangpomnah manghai he unim? BOEIPA hlangtlung pa-al neh hlangrhalh pai ni. BOEIPA tah caemtloek hlangrhalh pai ni.
Ni nani huyu Mfalme wa utukufu? Ni Bwana aliye na nguvu na uweza, ni Bwana aliye hodari katika vita.
9 Aw vongka rhoek na lu dangrhoek uh lah. Khosuen thohka rhoek khaw rhoep uh lamtah thangpomnah manghai kun lah saeh.
Inueni vichwa vyenu, enyi malango, viinueni juu enyi milango ya kale, ili Mfalme wa utukufu apate kuingia.
10 Thangpomnah manghai amah he unim? Thangpomnah manghai tah caempuei BOEIPA amah pai ni. (Selah)
Ni nani yeye, huyu Mfalme wa utukufu? Ni Bwana Mwenye Nguvu Zote; yeye ndiye Mfalme wa utukufu.

< Tingtoeng 24 >