< Tingtoeng 138 >

1 David kah Ka lungbuei boeih neh nang kan uem vetih pathen rhoek hmaiah nang kan tingtoeng ni.
Nitakushukuru kwa moyo wangu wote; mbele ya miungu nitakuimbia sifa.
2 Na bawkim cim taengla ka bakop vetih na sitlohnah neh na oltak dongah na ming te ka uem ni. A cungkuem soah na ming neh na olthui ni na pomsang.
Nitasujundu mbele ya hekalu lako takatifu na kulishukuru jina lako kwa ajili ya uaminifu wa agano lako na kwa uaminifu wako. Umelifanya muhimu zaidi neno lako na jina lako kuliko kitu chochote.
3 Kang khue khohnin vaengah khaw kai nan doo tih ka hinglu dongkah sarhi neh kai nan hloep.
Siku ile niliyo kuita, ulinijibu; ulinitia moyo na kuitia nguvu nafsi yangu.
4 Na ol na ka a yaak uh coeng dongah diklai manghai boeih loh BOEIPA nang te n'uem uh saeh.
Wafalme wote wa nchi watakushukuru wewe, Yahwe, maana watasikia maneno kutoka kinywani mwako.
5 BOEIPA kah thangpomnah tah khuet pai tih BOEIPA kah longpuei te khaw hlai uh pai saeh.
Hakika, wataimba kuhusu matendo ya Yahwe, kwa kuwa utukufu wa Yahwe ni mkuu.
6 BOEIPA tah sang ngawn cakhaw a tlarhoel te a hmuh dongah kopoek sang te khohla bangsang lamloh a hmat.
Maana ingawa Yahwe yuko juu, lakini anawajali wanyenyekevu, lakini hawatambui wenye majivuno.
7 Citcai lakli ah ka pongpa cakhaw ka thunkha rhoek kah thintoek lamloh kai nan hing sak. Na kut na yueng tih na bantang kut neh kai nan khang.
Nijapopita katikati ya hatari, wewe utauhifadhi uhai wangu; utanyoosha mkono wako dhidi ya hasira ya adui zangu, na mkono wako wa kuume utaniokoa.
8 BOEIPA loh kai ham hma a khah ni. BOEIPA nang kah sitlohnah tah kumhal duela a cak dongah na kut dongkah bibi khaw na duem pawh.
Yahwe yuko pamoja nami hadi mwisho; uaminifu wa agano lako, Yahwe, wadumu milele. Usiwaache wale ambao mikono yako imewaumba.

< Tingtoeng 138 >