< Joba 7 >

1 “Diklai hman ah hlanghing hamla caempuei a om moenih a? A khohnin te kutloh kah khohnin banghui ni.
“Je, mwanadamu hana kazi ngumu duniani? Siku zake si kama zile za mtu aliyeajiriwa?
2 Sal bangla hlipkhup a hloep tih kutloh bangla a bisai a lamtawn.
Kama mtumwa anavyovionea shauku vivuli vya jioni, au mtu aliyeajiriwa anavyoungojea mshahara wake,
3 Ka taengah a poeyoek la a hla ka pang van tih thakthaenah hlaem he kai hamla a khueh.
ndivyo nilivyogawiwa miezi ya ubatili, nami nimeandikiwa huzuni usiku hata usiku.
4 Ka yalh tih, ‘Me vaengah nim ka thoh ve?’ ka ti. Khoyin loh puh tih hlaemhmah duela yuthonah khaw ka cung.
Wakati nilalapo ninawaza, ‘Itachukua muda gani kabla sijaamka?’ Usiku huwa mrefu, nami najigeuzageuza hadi mapambazuko.
5 Ka saa loh a rhit a bai, ka vin dongkah laipi tiknong khaw uet tih a tuei.
Mwili wangu umevikwa mabuu na uchafu, ngozi yangu imetumbuka na kutunga usaha.
6 Ka khohnin loh tampai lakah bawn tih lungli lungla la ngaiuepnah bawt.
“Siku zangu zinapita upesi kuliko mtande wa kufuma, nazo zinafikia mwisho wake bila matumaini.
7 Ka hingnah mueihla he poek lah. Hnothen hmuh ham khaw ka mik loh mael voel mahpawh.
Kumbuka, Ee Mungu, maisha yangu ni kama pumzi; macho yangu kamwe hayataona tena raha.
8 Kai aka so mik loh kai m'mae voel mahpawh. Na mik te kai soah om dae kai ka om voel pawh.
Lile jicho linaloniona sasa halitaniona tena; utanitafuta, wala sitakuwepo.
9 Cingmai loh haai tih cing, saelkhui la aka suntla rhoek tah ha mael tangloeng pawh. (Sheol h7585)
Kama vile wingu liondokavyo na kutoweka, vivyo hivyo yeye ashukaye kaburini harudi tena. (Sheol h7585)
10 A im la koep mael pawt vetih, a hmuen loh anih hmat voel mahpawh.
Kamwe harudi tena nyumbani mwake; wala mahali pake hapatamjua tena.
11 Te dongah kai khaw ka ka tuem mahpawh. Ka mueihla khobing doela ka thui vetih. Ka hinglu khahing doela ka lolmang pueng ni.
“Kwa hiyo sitanyamaza; nitanena kutokana na maumivu makuu ya roho yangu, nitalalama kwa uchungu wa nafsi yangu.
12 Kai he tuipuei tuihnam tih nim, kai soah thongim na khueh.
Je, mimi ni bahari, au mnyama mkubwa mno akaaye vilindini, hata uniweke chini ya ulinzi?
13 Ka soengca loh kai n'hloep bitni, ka thingkong loh ka kohuetnah te a phueih bitni ka ti.
Ninapofikiri kwamba kitanda changu kitanifariji, nacho kiti changu cha fahari kitapunguza malalamiko yangu,
14 Mueimang neh kai nan rhihyawp sak tih, olphong neh kai nan let sak.
ndipo wanitisha kwa ndoto na kunitia hofu kwa maono,
15 Ka hinglu loh ka rhuhrhong lakah khaknah neh dueknah ni a coelh.
hivyo ninachagua kujinyonga na kufa, kuliko huu mwili wangu.
16 Ka kohnue coeng, kumhal duela ka hing mahpawh, kai he n'toeng laeh, ka khohnin khaw a honghi ni.
Ninayachukia maisha yangu; nisingetamani kuendelea kuishi. Niache; siku zangu ni ubatili.
17 Mebang hlanghing lae amah na pantai sak tih, a taengah na lungbuei na khueh te.
“Mwanadamu ni kitu gani hata umjali kiasi hiki, kwamba unamtia sana maanani,
18 Anih te mincang ah na cawh tih mikhaptok ah ni anih te na loepdak.
kwamba unamwangalia kila asubuhi na kumjaribu kila wakati?
19 Balae tih kai lamloh na mangthung pawt eh? Ka timtui ka dolh hil kai nan rhael moenih.
Je, hutaacha kamwe kunitazama, au kuniacha japo kwa kitambo kidogo tu?
20 Hlang aka kueinah nang taengah ka tholh tih balae ka saii? Balae tih kai he na kutnoek la nan khueh. Te dongah kai ham tah hnorhih la ka om coeng.
Ikiwa nimetenda dhambi, nimekufanyia nini, Ewe mlinzi wa wanadamu? Kwa nini umeniweka niwe shabaha yako? Je, nimekuwa mzigo kwako?
21 Te dongah ka boekoek he na phueih tih kai kah thaesainah he nan khoe mai pawt lae? Laipi khuila ka yalh pawn ni. Kai nan toem cakhaw ka om voel moenih,” a ti nah.
Kwa nini husamehi makosa yangu na kuachilia dhambi zangu? Kwa kuwa hivi karibuni nitalala mavumbini; nawe utanitafuta, wala sitakuwepo.”

< Joba 7 >