< Joba 29 >

1 Job loh amah kah a pom te a cong tih,
Ayubu akaendelea na hoja yake, akasema:
2 “Kai he hlamat kah hla bangla aka khueh tih Pathen kah khohnin bangla kai aka tuem te unim?
“Tazama jinsi ninavyoitamani miezi iliyopita, zile siku ambazo Mungu alikuwa akinilinda,
3 Amah loh a hmaithoi te ka lu soah a thangthen tih amah kah vangnah nen ni a. hmuep ah khaw ka caeh.
wakati taa yake iliniangazia kichwani changu, na kwa mwanga wake Mungu nikapita katikati ya giza!
4 Ka cavaa tue vaengah khaw ka dap ah Pathen kah baecenol la ka om.
Natamani siku zile nilizokuwa katika ustawi wangu, wakati urafiki wa Mungu wa ndani ulipoibariki nyumba yangu,
5 Tlungthang te kai taengah om pueng tih, ka kaepvai ka ca rhoek om.
wakati Mwenyezi alikuwa pamoja nami, nao watoto wangu walikuwa wamenizunguka,
6 Ka khokan te suknaeng neh a hluk tih lungpang loh kai ham situi sokca a long sak.
wakati njia yangu ilikuwa imenyweshewa siagi, nao mwamba ukanimiminia vijito vya mafuta ya zeituni.
7 Vangpuei vongka ah ka thoeng tih toltung ah ka ngolhmuen cikngae sak.
“Wakati nilipokwenda kwenye lango la mji na kuketi katika kiwanja,
8 Kai m'hmuh uh vaengah cadong rhoek te thuh uh. Patong rhoek khaw thoo uh tih pai uh.
vijana waliniona wakakaa kando, nao wazee walioketi wakasimama;
9 Mangpa rhoek loh olthui te a phah uh tih a kut te a ka dongla a khueh uh.
wakuu wakaacha kuzungumza na kuziba vinywa vyao kwa mikono yao;
10 Rhaengsang rhoek ol te a phah tih a lai khaw a dang dongla kap.
wenye vyeo wakanyamazishwa, nazo ndimi zao zikagandamana na makaakaa ya vinywa vyao.
11 Hna loh a yaak vaengah kai n'uem tih mik loh a hmuh vaengah kai n'rhalrhing sak.
Yeyote aliyenisikia alinena mema juu yangu, nao walioniona walinisifu,
12 Mangdaeng loh bomnah a bih tih cadah neh a taengah aka bom aka om pawt khaw ka loeih sak.
kwa sababu nilimwokoa maskini aliyeomba msaada, naye yatima aliyekuwa hana wa kumsaidia.
13 Hlang milh kah yoethennah te kai soah pai tih nuhmai kah lungbuei khaw ka tamhoe sak.
Mtu aliyekuwa karibu kufa alinibariki, nami niliufanya moyo wa mjane kuimba.
14 Duengnah te ka bai tih hnikul bangla kai n'khuk. Ka tiktamnah he ka sammuei nah ni.
Niliivaa haki kama vazi langu; uadilifu ulikuwa joho langu na kilemba changu.
15 Mikdael taengah mik la, khokhaem taengah kho la ka om.
Nilikuwa macho ya kipofu na miguu kwa kiwete.
16 Kai tah khodaeng taengah a napa la ka om tih ming pawt kah tuituknah te ka khe pah.
Nilikuwa baba kwa mhitaji; nilimtetea mgeni.
17 Boethae kah pumcu te ka thuk pah tih a no lamkah maeh te ka voeih pah.
Niliyavunja meno makali ya waovu, na kuwapokonya wahanga kwenye meno yao.
18 Te dongah, “Ka bu ah ka pal mako,” ka ti tih laivin bangla khohnin ka puh.
“Nikafikiri, ‘Nitafia katika nyumba yangu mwenyewe, nazo siku zangu zitakuwa nyingi kama chembechembe za mchanga.
19 Ka yung loh tui taengla a muk tih buemtui loh ka cangvuei dongah rhaeh.
Mizizi yangu itafika mpaka kwenye maji, nao umande utakaa juu ya matawi yangu usiku kucha.
20 Ka thangpomnah ka taengah thai tih ka lii ka kut dongah tinghil.
Utukufu wangu utabakia kuwa mpya ndani yangu, upinde wangu daima utaendelea kuwa mpya mkononi mwangu.’
21 Kai taengah a hnatun uh tih a lamtawn uh dongah ka cilsuep ham kuemsuem uh.
“Watu walinisikiliza kwa tumaini, wakingojea ushauri wangu kwa utulivu.
22 Ka ol hnukah talh uh voel pawt tih kai olthui he amih soah tla.
Baada ya mimi kuzungumza, hawakusema zaidi; maneno yangu yaliingia masikioni mwao kwa makini.
23 Kai ham tah khotlan bangla a lamtawn uh tih a ka loh tlankhol bangla a ang uh.
Waliningojea kama manyunyu ya mvua na kuyapokea maneno yangu kama ardhi inyonyavyo mvua ya vuli.
24 Amih taengah ka luem dae n'tangnah uh pawt tih ka maelhmai vangnah dongah khaw yalh uh pawh.
Walipokata tamaa niliwaonyesha uso wa furaha; nuru ya uso wangu ilikuwa ya thamani kwao.
25 Amih kah longpuei te ka coelh tih boeilu la ka ngol. Caem lakli ah manghai bangla kho ka sak tih rhahdoe cangpoem akhaw a hloep.
Niliwachagulia njia na kukaa kama mkuu wao; niliishi kama mfalme katikati ya majeshi yake; nikawa kama yeye anayewafariji waombolezaji.

< Joba 29 >