< Joba 10 >

1 “Ka hingnah soah ka hinglu loh a ko-oek coeng. Ka kohuetnah he kamah taengah ka sah tih ka hinglu a khahing hil ka thui.
“Nayachukia sana haya maisha yangu; kwa hiyo nitatoa malalamiko yangu kwa wazi bila kujizuia, nami nitanena kutokana na uchungu wa moyo wangu.
2 Pathen taengah, Kai m'boe sak boeh, balae tih kai nan ho, kai m'ming sak.
Nitamwambia Mungu: Usinihukumu, bali niambie una mashtaka gani dhidi yangu.
3 Na kut thaphu na hnawt vaengah halang kah cilsuep dongah na sae tih na hnaemtaek te nang ham then a?
Je, inakupendeza wewe kunionea, kuikataa kwa dharau kazi ya mikono yako, huku wewe ukitabasamu juu ya mipango ya waovu?
4 Hlanghing he na sawt tih na hmuh bangla nang taengah pumsa mik om a?
Je, wewe una macho ya kimwili? Je, wewe huona kama mwanadamu aonavyo?
5 Na khohnin he hlanghing khohnin bangla, na kum khaw hlang khohnin bangla om a?
Je, siku zako ni kama zile za mwanadamu, au miaka yako ni kama ile ya mtu,
6 Te dongah kai kah thaesainah te na tlap tih, ka tholhnah hnukah nan toem.
ili kwamba utafute makosa yangu na kuichunguza dhambi yangu;
7 Ka boe pawt tih na kut lamloh a huul thai pawt te, na mingnah dongah om pataeng.
ingawa wajua kuwa mimi sina hatia, na hakuna awezaye kunitoa mkononi mwako?
8 Na kut loh kai n'noih pai tih thikat la kai n'saii akhaw kai nan dolh pawn ni.
“Mikono yako ndiyo iliyoniumba na kunifanya. Je, sasa utageuka na kuniangamiza?
9 Amlai bangla kai nan saii tih laipi la, kai nan mael sak te poek mai lah.
Kumbuka kuwa ulinifinyanga kama udongo wa mfinyanzi. Je, sasa utanifanya kuwa mavumbi tena?
10 Suktui bangla kai nan sui tih sukkhal bangla kai nan khal sak moenih a?
Je, wewe hukunimimina mimi kama maziwa, na kunigandisha kama jibini,
11 Kai he ka vin ka saa neh nan dah tih, ka rhuh neh tharhui neh nan cun.
ukanivika ngozi na nyama, na kuniunga pamoja kwa mifupa na mishipa?
12 Hingnah neh sitlohnah te kai taengah nan khueh tih, ka mueihla loh na ngoldoelh a ngaithuen.
Umenipa uhai na kunitendea wema, katika uangalizi wako umeilinda roho yangu.
13 Tedae na thinko ah na khoem he na khuiah tila ka ming.
“Lakini hili ndilo ulilolificha moyoni mwako, nami ninajua kuwa hili lilikuwa katika nia yako:
14 Ka tholh sitoe cakhaw kai nan ngaithuen dongah kai kah thaesainah lamloh kai nan hmil moenih.
Kama nilifanya dhambi, ungekuwa umeniona, wala usingeacha kosa langu lipite bila kuadhibiwa.
15 Ya-oe kai he ka boe akhaw, ka tang akhaw ka lu ka dangrhoek moenih. Yah ka hah tih ka phacip phabaem loh n'yan.
Kama nina hatia, ole wangu! Hata kama ningekuwa sina hatia, siwezi kukiinua kichwa changu, kwa kuwa nimejawa na aibu, na kuzama katika mateso yangu.
16 Sathuengca bangla a phul atah kai nan mae tih kai taengah khobaerhambae la na mael.
Kama nikiinua kichwa changu juu, unaninyatia kama simba, na kuonyesha tena uwezo wa kutisha dhidi yangu.
17 Na laipai neh kai hmai ah nan tlaih tih kai taengah na konoinah na hong. Thovaelnah neh caempuei la kai taengah na pai.
Wewe waleta mashahidi wapya dhidi yangu na kuzidisha hasira yako juu yangu; nazo nguvu zako zinanijia wimbi moja baada ya jingine.
18 Balae tih bung khui lamloh loh kai nan poh. Ka pal palueng vetih mik loh kai m'hmu pawt mako.
“Kwa nini basi ulinitoa tumboni? Ninatamani ningekufa kabla jicho lolote halijaniona.
19 A om khaw a om pawt bangla bungko lamloh phuel la n'khuen.
Laiti nisingekuwako kamwe, au ningekuwa nimechukuliwa moja kwa moja kutoka tumboni kwenda kaburini!
20 Ka khohnin he bawn tih a muei la a muei moenih a? Kai lamkah he na dueh na dueh vetih ka ngaidip laem mako.
Je, siku zangu chache si zimekaribia kuisha? Niachie ili niweze kupata muda mfupi wa kufurahi
21 Ka caeh hlan vaengah hmaisuep khohmuen neh dueknah hlipkhup la ka mael pawt mako.
kabla sijaenda mahali ambapo hakuna kurudi tena, katika nchi ya giza na uvuli wa mauti,
22 khoyinnah kho tah dueknah hlipkhup a hmuep bangla om tih cikngae pawh. Te dongah a hmuep la sae ka ti ni,” a ti.
nchi ya giza kuu sana, yenye uvuli wa giza na machafuko, mahali ambapo hata nuru ni giza.”

< Joba 10 >