< Jeremiah 39 >
1 Judah manghai Zedekiah kah a kum ko hla rha dongah Babylon manghai Nebukhanezar tah amah kah caem boeih neh Jerusalem la ha pawk uh tih a dum.
Hivi ndivyo Yerusalemu ilivyotwaliwa: Katika mwaka wa tisa wa utawala wa Mfalme Sedekia wa Yuda, katika mwezi wa kumi, Nebukadneza mfalme wa Babeli akiwa na jeshi lake lote alifanya vita dhidi ya Yerusalemu na akauzunguka mji.
2 Zedekiah kah a kum hlai at a hla li dongkah hlasae hnin ko vaengah khopuei te rhek.
Katika siku ya tisa ya mwezi wa nne wa mwaka wa kumi na moja wa utawala wa Sedekia, ukuta wa mji ulibomolewa.
3 Te vaengah Babylon manghai kah mangpa boeih ha pawk tih laklung vongka ah Nergalsharezer, Samgarnebo, Rabsaris, Sarsekhim, Nergalsharezer, Rabmag neh Babylon manghai kah mangpa kah a meet rhoek khaw boeih ngol uh.
Kisha maafisa wote wa mfalme wa Babeli wakaja na kuketi kwenye Lango la Kati, nao ni: Nergal-Shareza wa Samgari, Nebo-Sarsekimu afisa mkuu, Nergal-Shareza afisa mwenye cheo cha juu, na maafisa wengine wote wa mfalme wa Babeli.
4 Judah manghai Zedekiah neh caemtloek hlang boeih loh amih a hmuh vaengah tah yong uh. Khoyin ah khopuei lamloh manghai dum long kah vongka neh vongtung laklo longah coe uh tih kolken longpuei la pawk.
Mfalme Sedekia wa Yuda na askari wote walipowaona, wakakimbia na kuondoka mjini usiku kwa njia ya bustani ya mfalme, kupitia lango lililokuwa kati ya kuta mbili, wakaelekea Araba.
5 Tedae Khalden caem loh amih hnukah a hloem tih Zedekiah te Jerikho kolken ah tah a kae uh. Anih te a tuuk uh tih Babylon manghai Nebukhanezar taengla a thak uh. Khamath kho khuikah Riblah ah anih soah laitloeknah a thui.
Lakini jeshi la Wakaldayo likawafuatia na kumpata Sedekia katika sehemu tambarare za Yeriko. Wakamkamata na kumpeleka kwa Nebukadneza mfalme wa Babeli huko Ribla, katika nchi ya Hamathi, mahali ambapo alimtangazia hukumu.
6 Babylon manghai loh Zedekiah ca rhoek te Riblah kah amah mikhmuh ah a ngawn. Judah hlangcoelh boeih te khaw Babylon manghai loh a ngawn.
Huko Ribla, mfalme wa Babeli aliwachinja wana wa Sedekia mbele ya macho yake, na pia akawaua wakuu wote wa Yuda.
7 Zedekiah mik te khaw a dael sak tih Babylon la khuen ham rhohum neh a khih.
Kisha akayangʼoa macho ya Sedekia na kumfunga kwa pingu za shaba na kumpeleka Babeli.
8 Manghai im neh pilnam im te Khalden loh hmai neh a hoeh tih Jerusalem vongtung te a palet uh.
Jeshi la Wakaldayo likachoma moto jumba la kifalme na nyumba za watu, na kuzibomoa kuta za Yerusalemu.
9 Khopuei ah aka sueng pilnam hlangrhuel khaw, amah taengla aka cungku, aka cungku neh pilnam hlangrhuel aka sueng te khaw Babylon imtawt boeiping Nebuzaradan loh a poelyoe.
Nebuzaradani kiongozi wa walinzi wa mfalme akawachukua na kuwapeleka uhamishoni Babeli watu waliokuwa wamebaki ndani ya mji, pamoja na wale waliokuwa wamejisalimisha kwake, na watu wengine wote.
10 Tedae pilnam lamkah a taengah pakhat khaw aka khueh pawh tattloel rhoek te tah imtawt boeiping Nebuzaradan loh Judah khohmuen ah a hlun tih amih te tekah khohnin ah misurdum neh lohmuen a paek.
Lakini Nebuzaradani kiongozi wa walinzi aliwabakiza baadhi ya watu maskini katika nchi ya Yuda, ambao hawakuwa na kitu. Naye wakati huo akawapa mashamba ya mizabibu na mashamba mengine.
11 Jeremiah ham te Babylon manghai Nebukhanezar loh imtawt boeiping Nebuzaradan kut ah a uen tih,
Basi, Nebukadneza mfalme wa Babeli alikuwa ametoa maagizo kuhusu Yeremia kupitia Nebuzaradani kiongozi wa walinzi wa mfalme akisema:
12 “Anih he khuen lamtah na mik te anih soah khueh. Anih taengah boethae pakhat khaw saii boeh. Na taengah a thui bangla anih ham saii pah van,” a ti nah.
“Mchukue umtunze. Usimdhuru, lakini umfanyie chochote anachotaka.”
13 Te phoeiah imtawt boeiping Nebuzaradan, Rabsaris Nebushasban, Rabmag Nergalsharezer neh Babylon manghai kah boeiping te boeih a tueih.
Basi Nebuzaradani kiongozi wa walinzi, Nebushazbani afisa mkuu, Nergal-Shareza afisa wa cheo cha juu, na maafisa wengine wote wa mfalme wa Babeli
14 A tueih bangla Jeremiah te thongim vongup lamloh a loh uh tih im la thak ham Shaphan koca Ahikam capa Gedaliah taengah a paek uh tih pilnam lakli ah kho a sak.
wakatuma watu kumwondoa Yeremia kutoka ua wa walinzi. Wakamkabidhi kwa Gedalia mwana wa Ahikamu mwana wa Shafani, ili amrudishe nyumbani kwake. Kwa hiyo akabaki miongoni mwa watu wake mwenyewe.
15 Thongim vongup ah khaih la a om vaengah BOEIPA ol he Jeremiah taengla ha pawk tih,
Wakati Yeremia alipokuwa amezuiliwa katika ua wa walinzi, neno la Bwana lilimjia kusema:
16 “Cet lamtah Kushi Ebedmelek te thui pah. 'Israel Pathen caempuei BOEIPA loh he ni a. thui. He khopuei he ka ol ka thoeng rhoe ka thoeng sak coeng ne. Te khohnin ah yoethaenah he na mikhmuh ah om vetih hnothen om mahpawh.
“Nenda ukamwambie Ebed-Meleki Mkushi, ‘Hili ndilo Bwana Mwenye Nguvu Zote, Mungu wa Israeli, asemalo: Ninakaribia kutimiza maneno yangu dhidi ya mji huu kwa njia ya maafa, wala si kwa kuwafanikisha. Wakati huo hayo yatatimizwa mbele ya macho yako.
17 Tedae te khohnin ah nang kan huul ni. He tah BOEIPA kah olphong ni. Na rhih hlang rhoek kut dongah n'tloeng mahpawh.
Lakini siku hiyo nitakuokoa, asema Bwana; hutatiwa mikononi mwa wale unaowaogopa.
18 Nang te kan loeih rhoe kan loeih sak ni. cunghang dongah khaw na cungku pawt vetih kai dongah na pangtung coeng dongah na hinglu te na taengah kutbuem bangla la om ni he tah BOEIPA kah olphong ni, 'ti nah,” a ti.
Nitakuokoa; hutaanguka kwa upanga, lakini maisha yako yatakuwa salama, kwa sababu unanitumaini, asema Bwana.’”