< Isaiah 58 >
1 Olrhong neh pang lamtah tuem boeh. Tuki bangla na ol te huel. Ka pilnam taengah a boekoek, Jakob imkhui taengah a tholh te puen pah.
“Piga kelele, usizuie. Paza sauti yako kama tarumbeta. Watangazieni watu wangu uasi wao, na kwa nyumba ya Yakobo dhambi zao.
2 A hnin, hnin ah kai n'toem uh tih duengnah aka saii namtom bangla ka longpuei mingnah dongah hmae uh. A Pathen kah laitloeknah te hnoo uhpawt tih laitloeknah te kai n'dawt uh. Duengnah dongah Pathen vang a kai uh.
Kwa maana kila siku hunitafuta, wanaonekana kutaka kujua njia zangu, kana kwamba walikuwa taifa linalotenda lililo sawa, na ambalo halijaziacha amri za Mungu wake. Hutaka kwangu maamuzi ya haki, nao hutamani Mungu awakaribie.
3 Ba ham nim ka yaeh uh. Ka hinglu ka phaep uh khaw na hmu pawt tih na ming pawh. Na yaehnah hnin ah na ngaih te na dan tih na tueihyoeih rhoek te boeih na tueihno.
Wao husema, ‘Mbona tumefunga, nawe hujaona? Mbona tumejinyenyekeza, nawe huangalii?’ “Lakini katika siku ya kufunga kwenu, mnafanya mnavyotaka na kuwadhulumu wafanyakazi wenu wote.
4 Tuituknah, olpungnah neh na yaeh uh tih halangnah kuthluem neh hlang aka ngawn rhung mai la. Tihnin kah bangla na ol te hmuensang ah yaak sak ham na yaeh uh moenih.
Kufunga kwenu huishia kwenye magomvi na mapigano, na kupigana ninyi kwa ninyi kwa ngumi za uovu. Hamwezi kufunga kama mnavyofanya leo na kutazamia sauti zenu kusikiwa huko juu.
5 Kai kah ka tuek yaehnah tah he tla om a? Hlang loh amah kah hinglu a phaep ham khohnin dae ni. A lu te canghlong bangla duengyai tih tlamhni neh hmaiphu a phaih te nim? Te mai te nim yaehnah neh BOEIPA taengkah kolonah khohnin na ti van?
Je, hii ndiyo aina ya mfungo niliouchagua, siku moja tu ya mtu kujinyenyekeza? Je, ni kwa kuinamisha kichwa chini kama tete, na kwa kujilaza juu ya nguo ya gunia na majivu? Je, huo ndio mnaouita mfungo, siku iliyokubalika kwa Bwana?
6 He bang yaehnah he ni ka coelh moenih a? Halangnah dongkah thuengthuelnah te dul pah ham, hnokohcung rhoi te hlam ham, a neet rhoek te sayalh la tueih ham ni. Te dongah hnokohcung boeih te khaem laeh.
“Je, hii si ndiyo aina ya mfungo niliyoichagua: kufungua minyororo ya udhalimu, na kufungua kamba za nira, kuwaweka huru walioonewa, na kuvunja kila nira?
7 Na buh te bungpong taengah tael pah ham moenih a? Mangdaeng airhoeng te im la na khuen mako, pumtling te na hmuh vaengah anih te na khuk mako. Namah saa te thuh tak boeh saw.
Je, sio kushirikiana chakula chako na wenye njaa na kuwapatia maskini wasiokuwa na makao hifadhi, unapomwona aliye uchi, umvike, wala si kumkimbia mtu wa nyama na damu yako mwenyewe?
8 Te vaengah na vangnah te khothaih bangla thoeng vetih na hoeihnah khaw pahoi poe ni. Na duengnah te na mikhmuh ah pongpa vetih BOEIPA kah thangpomnah loh nang n'cului ni.
Ndipo nuru yako itajitokeza kama mapambazuko na uponyaji wako utatokea upesi; ndipo haki yako itakapokutangulia mbele yako, na utukufu wa Bwana utakuwa mlinzi nyuma yako.
9 Na khue tih na pang vaengah BOEIPA loh n'doo vetih, “Kai la he,” a ti ni. Kutdawn loh a khi hnokohcung neh boethae la aka cal te khaw na khui lamloh na khoe mako.
Ndipo utaita, naye Bwana atajibu, utalia kuomba msaada, naye atasema: Mimi hapa. “Kama ukiiondoa nira ya udhalimu, na kunyoosha kidole na kuzungumza maovu,
10 Na hinglu he bungpong ham na dang van coeng dongah a phaep hlang kah a hinglu khaw cung sak van. Te daengah ni na vangnah loh hmaisuep ah thoeng vetih na taengkah khohmuep te khothun la a poeh eh.
nanyi kama mkimkunjulia mtu mwenye njaa nafsi zenu na kutosheleza mahitaji ya walioonewa, ndipo nuru yenu itakapongʼaa gizani, nao usiku wenu utakuwa kama adhuhuri.
11 BOEIPA loh nang m'mawt yoeyah vetih tuikoek haikoeng khuikah na hinglu te n'cung sak ni. Na rhuh a caang sak vetih khosul dum bangla na om ni. Tuiphuet tui bangla anih kah tui tah caap pah pawh.
Bwana atakuongoza siku zote, atayatosheleza mahitaji yako katika nchi kame, naye ataitia nguvu mifupa yako. Utakuwa kama bustani iliyonyweshwa vizuri, kama chemchemi ambayo maji yake hayakauki kamwe.
12 Te vaengah na taengkah khosuen imrhong te a yung lamkah loh hang khoeng uh vetih cadilcahma phoeikah cadilcahma duela pai ni. Namah te khaw a puut aka biing, khosa ham a hawn aka tlaih la n'khue uh ni.
Watu wako watajenga tena magofu ya zamani na kuinua misingi ya kale; utaitwa Mwenye Kukarabati Kuta Zilizobomoka, Mwenye Kurejeza Barabara za Makao.
13 Kai kah khohnin cim ah na kongaih saii hamla namah kho neh Sabbath te na mael tak atah, Sabbath tah BOEIPA kah a thangpom neh aka cim pangdoknah la na thui atah, na longpuei na saii nen khaw, na sanaep na hmuh nen khaw, olka na thui nen khaw, na thangpom atah,
“Kama ukitunza miguu yako isivunje Sabato, na kutokufanya kama vile upendavyo katika siku yangu takatifu, kama ukiita Sabato siku ya furaha na siku takatifu ya Bwana ya kuheshimiwa, kama utaiheshimu kwa kutoenenda katika njia zako mwenyewe, na kutokufanya yakupendezayo au kusema maneno ya upuzi,
14 BOEIPA dongah na pang na dok vetih diklai kah hmuensang, hmuensang ah nang te n'ngol sak ni. Na pa Jakob kah rho te nang kan cah ni. BOEIPA kah ka loh a thui ngawn coeng.
ndipo utakapojipatia furaha yako katika Bwana, nami nitakufanya upande juu ya miinuko ya nchi na kusherehekea urithi wa Yakobo baba yako.” Kinywa cha Bwana kimenena haya.