< Isaiah 49 >

1 Sanglak rhoek loh kamah taengkah he hnatun uh saeh lamtah khohla lamkah namtu rhoek loh hnatung uh saeh. BOEIPA loh kai he bungko khuiah ng'khue coeng tih a nu bung khuiah ni ka ming a sum coeng.
Nisikilizeni, enyi visiwa, sikieni hili, ninyi mataifa mlio mbali: Kabla sijazaliwa, Bwana aliniita, tangu kuzaliwa kwangu, amelitaja jina langu.
2 Ka ka he cunghang haat bangla a khueh tih a kut dongkah hlipkhup ah kai n'thuh. Kai he thaltang la n'khueh tih amah kah liva dongah a meet tangtae la kai n'thuh.
Akafanya kinywa changu kuwa kama upanga ulionolewa, katika uvuli wa mkono wake akanificha; akanifanya kuwa mshale uliosuguliwa, na kunificha katika podo lake.
3 Kai taengah tah, “Kamah kah sal tah Israel nang, namah dongah ni ka ko ka hang eh.
Akaniambia, “Wewe u mtumishi wangu, Israeli, ambaye katika yeye nitaonyesha utukufu wangu.”
4 Tedae kai loh a poeyoek la ka ti coeng. A hinghong la ka kohnue tih ka thadueng khaw a honghi coeng. Ka tiktamnah he BOEIPA taengah, ka thaphu te ka Pathen taengah ka bawt.
Lakini nilisema, “Nimetumika bure, nimetumia nguvu zangu bure bila faida. Hata hivyo linalonistahili liko mkononi mwa Bwana, nao ujira wangu uko kwa Mungu wangu.”
5 Bungko khui lamloh amah kah sal la kai aka hlinsai BOEIPA loh Jakob te amah taengla mael sak ham neh Israel te amah taengla coi ham te a thui coeng. Te dongah BOEIPA mikhmuh ah ka thangpom uh tih ka Pathen tah ka sarhi la om.
Sasa Bwana asema: yeye aliyeniumba tumboni kuwa mtumishi wake, kumrudisha tena Yakobo kwake na kumkusanyia Israeli, kwa maana nimepata heshima machoni pa Bwana, naye Mungu wangu amekuwa nguvu yangu;
6 Jakob koca te thoh ham neh Israel a kueinah tih mael puei ham khaw kamah kah sal la na om te rhaemaih. Nang tah diklai khobawt duela kamah kah khangnah a om sak ham neh namtom rhoek kah vangnah la kang khueh ni,” a ti.
yeye asema: “Je, ni jambo dogo sana wewe kuwa mtumishi wangu ili kurejeza makabila ya Yakobo, na kuwarudisha wale Waisraeli niliowahifadhi? Pia nitakufanya uwe nuru kwa ajili ya watu wa Mataifa, ili upate kuleta wokovu wangu hata miisho ya dunia.”
7 Israel aka tlan tih anih kah a cim Yahovah loh hinglu kah a hnaep taengah, namtom kah a tuei taengah, aka taemrhai rhoek kah sal taengah, “Manghai rhoek loh a hmuh uh vaengah mangpa rhoek khaw thoo uh vetih a bawk uh bitni. Israel kah a cim BOEIPA tah a uepom dongah ni nang n'coelh.
Hili ndilo asemalo Bwana, yeye Mkombozi na Aliye Mtakatifu wa Israeli, kwake yeye aliyedharauliwa na kuchukiwa na taifa, kwa mtumishi wa watawala: “Wafalme watakuona na kusimama, wakuu wataona na kuanguka kifudifudi, kwa sababu ya Bwana, aliye mwaminifu, yeye Aliye Mtakatifu wa Israeli, aliyekuchagua wewe.”
8 BOEIPA loh, “Kolonah tue vaengah nang kan doo tih khangnah khohnin ah nang kan bom. Nang te kang kueinah vetih aka pong tangtae khohmuen aka thoh ham neh rho aka pang pilnam patai la nang te kang khueh ni.
Hili ndilo asemalo Bwana: “Wakati wangu uliokubalika nitakujibu, nami katika siku ya wokovu nitakusaidia; nitakuhifadhi, nami nitakufanya kuwa agano kwa ajili ya watu, ili kurudisha nchi na kugawanyia urithi tena wale waliokuwa ukiwa,
9 Amih hmaisuep ah a khih rhoek te, ‘Ha pawk uh lamtah ha mop uh,’ ti nah. Longpuei ah luem uh vetih caphoei cuk boeih te amih kah rhamtlim la poeh ni.
kuwaambia mateka, ‘Tokeni nje,’ nao wale walio gizani, ‘Kuweni huru!’ “Watajilisha kando ya barabara na kupata malisho yao juu ya kila kilima kilicho kitupu.
10 Lamlum uh pawt vetih halthi uh mahpawh. Amih te unghae neh khomik loh do mahpawh. Amih aka haidam loh amih te a hmaithawn vetih tuisih tui taengla a khool ni.
Hawataona njaa wala kuona kiu, wala hari ya jangwani au jua halitawapiga. Yeye mwenye huruma juu yao atawaonyesha njia, na kuwaongoza kando ya chemchemi za maji.
11 Kamah kah tlang boeih te long la ka khueh vetih ka longpuei te ka pomsang ni.
Nitaifanya milima yangu yote kuwa barabara, na njia kuu zangu zitainuliwa.
12 Khohla lamkah rhoek te ha pawk uh ni ke. Tlangpuei lamkah rhoek neh tuitun lamkah ke khaw, Sinim kho lamkah rhoek khaw.
Tazama, watakuja kutoka mbali: wengine kutoka kaskazini, wengine kutoka magharibi, wengine kutoka nchi ya Sinimu.”
13 Vaan rhoek loh tamhoe uh lamtah diklai khaw omngaih saeh. Tlang rhoek khaw tamlung neh rhong la rhong uh saeh. BOEIPA loh a pilnam te a hloep tih mangdaeng rhoek te a haidam coeng.
Pigeni kelele kwa furaha, enyi mbingu; furahi, ee dunia; pazeni sauti kwa kuimba, enyi milima! Kwa maana Bwana anawafariji watu wake, naye atakuwa na huruma kwa watu wake walioumizwa.
14 Zion loh, “Yahovah loh kai n'hnoo tih ka Boeipa loh kai n'hnilh coeng,” a ti.
Lakini Sayuni alisema, “Bwana ameniacha, Bwana amenisahau.”
15 Huta loh a ca cahni te a hnilh a? A bungko khuikah a ca te a haidam ta. Te rhoek loh hnilh uh mai cakhaw kai long he nang kan hnilh mahpawh.
“Je, mama aweza kumsahau mtoto aliyeko matitini mwake akinyonya, wala asiwe na huruma juu ya mtoto aliyemzaa? Ingawa anaweza kusahau, mimi sitakusahau wewe!
16 Kutpha dongah nang kan tarhit coeng tih na vongtung khaw kamah hmaiah om yoeyah coeng he.
Tazama, nimekuchora kama muhuri katika vitanga vya mikono yangu, kuta zako zi mbele yangu daima.
17 Na ca rhoek loh namah n'koengloeng uh paitok tih namah lamkah aka thoeng rhoek loh nang n'khah uh.
Wana wako wanaharakisha kurudi, nao wale waliokuteka wanaondoka kwako.
18 Na mik te huel kilkoel lamtah hmu van lah. Amih te boeih coi uh thae tih nang taengla ha pawk uh coeng. Kai, hingnah BOEIPA kah olphong ni. Amih boeih te kamrhui bangla na vah vetih na langa bangla na hlaengtang ni.
Inua macho yako ukatazame pande zote: wana wako wote wanakusanyika na kukujia. Kwa hakika kama vile niishivyo, utawavaa wote kama mapambo, na kujifunga nao kama bibi arusi,” asema Bwana.
19 Namah kah imrhong neh na ponah kho na pong sak. Khosa taeng lamloh n'daengdaeh pawn vetih nang aka yoop rhoek khaw lakhla uh bitni.
“Ingawa uliangamizwa na kufanywa ukiwa, na nchi yako ikaharibiwa, sasa nafasi itakuwa finyu kwa ajili ya watu wako, nao wale waliokuangamiza watakuwa mbali sana.
20 Nang hlangmoeng ca rhoek na hna khuiah, “Kai ham a hmuen caek coeng tih kamah ham han thoeih lamtah kho ka sa eh,” a ti uh ni.
Watoto waliozaliwa wakati wa msiba wako bado watakuambia, ‘Mahali hapa ni finyu sana kwetu, tupe eneo kubwa zaidi la kuishi.’
21 Te vaengah na thinko nen tah, “Kai aka cun te unim? Kai dueidah laemhong neh pumhong he a hliphen tih n'rhoe sut. Te dongah te rhoek aka puel sak te unim? Kai kamah bueng ka sueng vaengah melae amih eh,” na ti ni.
Ndipo utasema moyoni mwako, ‘Ni nani aliyenizalia hawa? Nilikuwa nimefiwa, tena tasa; nilikuwa nimehamishwa na kukataliwa. Ni nani aliyewalea hawa? Niliachwa peke yangu, lakini hawa wametoka wapi?’”
22 Ka Boeipa Yahovah loh he ni a thui. Namtom taengah ka kut ka thueng vetih pilnam hamla ka rholik ka thoh pah ni. Te vaengah tah na ca rhoek te poehla neh ham pawk puei uh vetih na tanu rhoek te laengpang dongah a poeh uh ni.
Hili ndilo asemalo Bwana Mwenyezi: “Tazama, nitawaashiria watu wa Mataifa, nitainua bendera yangu kwa mataifa; watawaleta wana wako mikononi yao, na kuwabeba binti zenu juu ya mabega yao.
23 Manghai rhoek te nang aka kaem la, a boeinu rhoek khaw nang aka khut la om uh ni. Nang taengah a tallung neh diklai la bakop uh vetih na kho dongkah laipi a laem uh ni. Te vaengah kai Yahovah neh kai aka lamtawn rhoek loh yah a poh pawt te na ming uh ni.
Wafalme watakuwa baba zenu wa kuwalea, na malkia wao watakuwa mama zenu wa kuwalea. Watasujudu mbele yako nyuso zao zikigusa ardhi; wataramba mavumbi yaliyo miguuni mwako. Ndipo utajua ya kuwa Mimi ndimi Bwana; wale wanaonitumaini mimi hawataaibika.”
24 Hlangrhalh kah hnorhawt te a loh vetih aka dueng kah tamna te a loeih khaming a?
Je, nyara zaweza kuchukuliwa kutoka kwa mashujaa wa vita, au mateka kuokolewa kutoka kwa watu wakali?
25 Tedae BOEIPA loh, “Hlangrhalh tamna khaw a loh pah vetih hlanghaeng a dang khaw a khong pah ni. Na lungawn taengah kai loh kang rhoe vetih na ca rhoek te kamah loh ka khang ni.
Lakini hili ndilo asemalo Bwana: “Naam, mateka watachukuliwa kutoka kwa mashujaa, na nyara zitapokonywa kutoka kwa watu wakali. Nitashindana na wale wanaoshindana nawe, nami nitawaokoa watoto wako.
26 Nang aka vuelvaek rhoek te a saa ka cah vetih a thii te thingtui bangla rhuihmil uh ni. Te vaengah pumsa boeih loh kai tah nang kah khangkung Yahovah neh nang aka tlan Jakob kah samrhang la a ming uh ni.
Nitawafanya wale wanaokuonea kula nyama yao wenyewe, watalewa kwa damu yao wenyewe, kama vile kwa mvinyo. Ndipo wanadamu wote watajua ya kuwa Mimi, Bwana, ni Mwokozi wako, Mkombozi wako, niliye Mwenye Nguvu wa Yakobo.”

< Isaiah 49 >