< Isaiah 34 >
1 Namtom rhoek loh hnatun hamla ha mop lah. Namtu rhoek loh hnatung uh saeh lamtah diklai neh lunglai boeih neh a cadil cahma rhoek boeih loh yaa saeh.
Njooni karibu enyi mataifa, sikilizeni na muwe makini, enyi watu! Dunia na vyote vijazavyo vinatakiwa kusikiliza, dunia na vyote vitokavyo,
2 BOEIPA kah a thinhul te namtom boeih taengah, a kosi te amih kah caempuei boeih taengla pawk. Amih te a thup vetih maeh la a voeih ni.
Maana Yahwe ana hasira na mataifa yote, ana hasira dhidi ya majeshi yao; amewaangamiza wao kabisa, ameawakabidhi kwa wachinjaji.
3 Amih a ngawn te a voeih vaengah a rhok kah a bothae te rhim ni. Amih thii loh tlang a yut sak ni.
Miili ya watu wao waliokufa itatupwa nje. Harufu ya miili iliyokffa itakuwa kila mahali; na mlilima italowekwa kwa damu yao.
4 Vaan dong caempuei boeih te muei vetih vaan cabu bangla kolong uh ni. Amih kah caempuei boeih te misur hnah a hoo bangla, thaibu a hoo bangla hoo ni.
Nyota zote angani zitafifia, na anga litakunjwa kama kitabu; na nyota zake zitafifia mbali, kama tawi linavyonyauka kwenye mzabibu, kama tunda lilokomaa kwenye mti.
5 Ka cunghang loh vaan ah hmilhmal tih Edom a cuk thil. Pilnam te kamah kah yaehtaboeih loh laitloeknah neh a pha coeng.
Maana pale upanga wangu utakapokunywa na kushiba mbinguni; tazama, maana sasa utakuja chini huko Edomu, kwa watu ambao nimewaweka mbali na adhabu.
6 BOEIPA kah cunghang tah a thii hah coeng. Bozrah kah BOEIPA hmueih neh Edom khohmuen kah maeh len kongah maehtha neh, tuca thii neh, kikong neh tutal kuel kah a tha loh a men sak.
Upanga wa Yahwe unadondosha matone ya damu na kufunikwa kwa mafuta, matone ya damu ya kondoo na mbuzi, yamefunikwa kwa figo za kondoo. Maana Yahwe ametoa sadaka katika Bozra na mauwaji katika nchi ya Edomu.
7 Cung neh vaito lueng khaw amih taengla suntla ni. Te vaengah a khohmuen te thii neh hmilhmal vetih a laipi khaw maehtha bangla men ni.
Ng'ombe wa porini watachinjwa pamoja na wao, fahali wakubwa na fahali wadogo. Nchi yao italewa kwa damu, na mavumbi yake yatafanjwa kuwa mafuta na mafuta yaliyonona.
8 BOEIPA taengah phulohnah khohnin neh, Zion kah tuituknah te a sah kum khaw om.
Maana itakuwa ni siku ya kisasi kwa Yahwe na mwaka ambao anawalipa kwa sababu ya Sayuni.
9 A soklong te kunhnai la, a laipi te kat la poeh ni. A khohmuen te kunhnai rhawm la poeh ni.
Mifereji ya Edomu itageuka kuwa lami, na mavumbi yake yatakuwa kiberiti na nchi itakuwa kama lami inayoungua.
10 Khoyin khothaih kumhal duela thi mahpawh. A khu khaw cadilcahma lamkah cadilcahma patoeng taengla cet ni. A yoeyah kah a yoeyah la khap uh vetih te long te paan uh voel mahpawh.
Itaungua usiku na mchana; moshi wake utatoka daima; na patakuwa nyika kizazi hata kizazi; na hakuna hata mmoja atakayepita hapo milele na milele.
11 Khosoek saelbu, kharhoeng neh saelbu loh a pang vetih vangak loh kho a sak thil ni. Rhilam te hinghong la, lungto he a hong la a toe uh.
Lakini ndege na wanyama porini wataishi pale; bundi na kunguru watatengeneza viota vyao pale. Atanjoosha juu yake futi kamba ya uharibifu na pima maji ya uharibifu.
12 A hlangcoelh rhoek khaw a ram ah hah a khueh uh vetih a mangpa rhoek khaw a honghi la boeih om ni.
Wenye vyeo hawatakuwa na kitu kilichobakia kuita ufalme, na wakuu wote watakuwa si kitu.
13 A impuei te dohui hling loh, a hmuencak te mutlo hling loh a yam thil ni. Te vaengah pongui kah tolkhoeng la, tuirhuk vanu kah a bu la poeh ni.
Miiba itaota katika maeneo yao, viwavi na mbigiri vitakuwa katika ngome zao. Yatakuwa makao ya mbweha, makazi ya mbuni.
14 Te vaengah kohong neh sa-ui hum vetih maae loh a hui a khue ni. Vathae khaw pahoi paa vetih amah ham ngolbuel a hmuh ni.
Wanyama wa porini na fisi watakusanyika pale, na mbuzi wa porini watalia wao kwa wao. Nyakati za usiku wanyama watakaa pale na watajitafutia wenywe mahali pa kupumzikia.
15 Te ah valah loh bu a tuk vetih oi ni. A khae phoeiah tah a hlipkhup ah a ku thil ni. Te ah te valae rhoek khaw tingtun uh vetih a la te a paa cu ni.
Bundi watatengeneza viota vyao, na kutotolea mayai yao, kila mmoja na mwenzake.
16 BOEIPA kah cabu dongah cae uh lamtah tae uh lah. Amih kah pakhat khaw hmaai mahpawh. A la pakhat khaw a paa vawt uh mahpawh. Ka ka loh a uen coeng dongah amih te BOEIPA kah a mueihla loh a coi ni.
Kutafuta kupitia kitabu cha Yahwe; hakuna hata kimoja ambacho hakitakuwepo. Hakuna kitakacho kosa mwenzake; maana mdoma wake umeamuru hivyo, roho yake imewakusanya wao.
17 Amah loh amih ham hmulung a nan pah. A kut loh amih ham rhilam a suem pah te kumhal duela a pang uh ni. Cadilcahma phoeikah cadilcahma loh a khuiah kho a sak uh ni.
Atapiga kura katika eneo lao, na mkono wake umewapima kwa kamba. Wataimiliki daima; kutoka kizazi hata kizazi wataishi pale.