< Hebru 4 >

1 Te dongah amah kah duemnah khuiah kun ham olkhueh a paih te nangmih khuiah khat khat loh a hlavawt la a poek khaming tila birhih uh sih.
Kwa hiyo, tunapaswa kuwa makini ili kwamba kati yenu asiwepo hata mmoja atakayeonekana kushindwa kufikia ahadi endelevu ya kuingia katika pumzika la Mungu.
2 Amih bangla olthangthen aka phong lam ni n'om uh ngawn. Tedae a yaak rhoek te tangnah neh a rhoih uh pawt dongah a hnavue kah olka tah phu voel pawh.
Kwani tumekuwa na habari njema kuhusu pumziko la Mungu lililotangazwa kwetu kama Waisrael walivyokuwa nayo, lakini ujumbe huo haukuwasaidia wale ambao waliusikia bila kuunganisha imani kwa hilo.
3 A ti bangla aka tangnah rhoek tah duemnah khuila n'kun uh. Ka kosi neh ka toemngam vanbangla kai duemnah khuiah kun venim. Te cakhaw diklai a tongnah lamloh a bibi te ana om coeng.
Kwa sisi, ambao tumekwisha amini-sisi ndio miongoni tutakaoingia katika lile pumuziko, Kama inavyosema, “Kama nilivyoapa kwa hasira yangu, Hawataingia katika pumziko mwangu.” Alisema hili, ingawa kazi zote alizotengeneza zilikuwa zimekamilika tangu mwanzo wa ulimwengu.
4 Te dongah pakhat ah hninrhih ham a thui tangloeng. Te vaengah Pathen tah a bibi boeih lamkah hnin rhih vaengah duem.
Kwani ameshasema sehemu fulani kuhusu siku ya saba, “Mungu alipumzika siku ya saba katika yote aliyoyafanya.”
5 Te phoeiah amah hmuen la, “Ka duemnah khuiah kun uh mahpawh,” koep a ti.
Tena ameshasema, “Hawataingia kwenye pumziko langu.”
6 Te dongah a khuila kun ham hlangvang a khueh tangloeng pueng. Tedae hnukbuet kah aka phong rhoek tah althanah dongah kun uh pawh.
Kwa sababu hiyo, tangu pumziko la Mungu bado ni akiba kwa ajili ya baadhi kuingia, na tangu Waisraeli wengi ambao walisikia habari njema kuhusu pumziko lake hawakuingia kwa sababu ya kutotii,
7 Te phoeiah khohnin pakhat te “Tihnin” la a hoep tih kum he yet phoeiah ni David loh a thui. A thui bangla, tihnin ah a ol te na yaak uh atah nangmih kah thinko te ning sak uh boeh.
Mungu aliweka tena siku fulani, iitwayo “Leo.” Yeye aliiongeza siku hii alipozungumza kupitia Daudi, ambaye alisema kwa muda mrefu baada ya yaliyosemwa kwanza, “Leo kama mtasikia sauti yake, msifanye mioyo yenu kuwa migumu.”
8 Joshua loh amih te a duem sak atah hekah khohnin phoeiah a tloe ham tah thui mahpawh.
Kwani kama Yoshua aliwapatia pumziko, Mungu asingelisema juu ya siku nyingine.
9 Te dongah duemhnin tah Pathen kah pilnam ham ni a om.
Kwa hiyo bado kuna Sabato ya pumziko iliyotunzwa kwa ajili ya watu wa Mungu.
10 Te dongah amah kah duemnah khuiah aka kun tah Pathen loh amah bibi lamkah a duem vanbangla anih khaw amah bibi lamkah duem.
Kwani anayeingia katika pumziko la Mungu yeye mwenyewe pia amepumzika kutokana na matendo yake, kama Mungu alivyofanya katika yeye.
11 Te dongah tekah duemnah khuiah kun hamla haam uh sih. Te daengah ni althanah moeiboe dongah pakhat khaw amah la a bung pawt eh.
Kwa hiyo tuweni na shauku ya kuingia katika lile pumziko, ili kwamba asiwepo atakayeanguka katika aina ya uasi waliofanya.
12 Te dongah Pathen kah olka tah hing tih khuekcet. cunghang boeih lakah voeivang la haat tih hinglu neh mueihla, rhuhcong neh hliing, duela a thun tih a sah. Thinko poeknah neh hmuhnah khaw khocueh rhamvueh la a khueh.
Kwa maana neno la Mungu li hai na lina nguvu na linaukali kuliko upanga wowote wenye makali kuwili. Na huchoma hata kufikia kugawanya nafsi na roho, na viungo kutika uboho. Na lenye kuweza kufahamu fikira za moyo nia yake.
13 Amah hmaikah a thuhphah suentae a om moenih. Tedae a cungkuem he a tlingyal neh a mikhmuh ah rha uh coeng. Anih taengah mamih ol te a paek.
. Hakuna kilichoumbwa kilichojificha katika uso wa Mungu. Badala yake, kila kitu ni dhahiri na wazi kwa macho ya mmoja ambaye ni lazima tutoe hesabu.
14 Khosoihham koek, vaan aka hil la Pathen Capa Jesuh n'khueh uh te olphoei la pom uh sih.
Baadaye kuwa na kuhani mkuu aliyeingia katika mbingu, Yesu Mwana wa Mungu, kwa uimara tushikilie imani zetu.
15 Mamih kah vawtthoeknah aka rhen thai mueh khosoihham n'khueh uh moenih. A cungkuem dongah mamih mueiloh la a noemcai coeng dae tholhnah a khueh moenih.
Kwa kuwa hatuna kuhani mkuu ambaye hawezi kuhisi huruma kwa ajili udhaifu wetu, lakini yeye ambaye kwa njia zote amekuwa akijaribiwa kama sisi, isipokuwa yeye ambaye hana dhambi.
16 Te dongah lungvatnah ngolkhoel taengah sayalh la paan uh sih. Te daengah ni rhennah n'dang vetih bomnah he tapkhoeh la lungvatnah neh m'hmuh eh.
Na tuje kwa ujasiri katika kiti cha enzi cha neema, ili kwamba tupokee rehema na kupata neema ya kutusaidia wakati wa hitaji.

< Hebru 4 >