< Ezra 4 >

1 Vangsawn ca rhoek loh Israel Pathen BOEIPA ham bawkim a sak te Judah neh Benjamin kah rhal rhoek loh a yaak uh.
Adui za Yuda na Benyamini waliposikia kwamba watu waliorudi kutoka uhamishoni wanajenga Hekalu kwa ajili ya Bwana, Mungu wa Israeli,
2 Te phoeiah Zerubbabel taeng neh a napa boeilu rhoek taengla mop uh tih a taengah, “Nangmih neh ka sa uh mai eh. Nangmih bangla nangmih kah Pathen te ka toem uh. Te pawt akhaw kaimih loh anih taengah te hela kaimih aka khuen Assyria manghai Esarhaddon tue lamlong ni ka nawn uh coeng,” a ti uh.
wakamjia Zerubabeli na viongozi wa jamaa, nao wakasema, “Turuhusuni tuwasaidie kujenga, kwa sababu sisi tunamtafuta Mungu wenu kama ninyi na tumekuwa tukimtolea dhabihu tangu wakati wa Esar-Hadoni mfalme wa Ashuru, aliyetuleta hapa.”
3 Tedae amih te Zerubbabel neh Jeshua long khaw, Israel kah a napa boeilu a coih rhoek long khaw, “Kaimih kah Pathen im sak ham he nangmih hut moenih kaimih hut ni. Tedae Persia manghai, manghai Cyrus loh kaimih n'uen bangla Israel Pathen BOEIPA ham te kamamih bueng loh ka sa uh eh,” a ti nah.
Lakini Zerubabeli, Yeshua na viongozi wengine wa jamaa ya Israeli wakawajibu, “Ninyi hamna sehemu nasi katika kujenga Hekalu la Mungu wetu. Sisi peke yetu tutajenga Hekalu kwa ajili ya Bwana, Mungu wa Israeli, kama Mfalme Koreshi, mfalme wa Uajemi alivyotuagiza.”
4 Te vaengah khohmuen pilnam aka om loh Judah pilnam kut te a kha sak tih a sak ham vaengah amih te a hih khaw a hih uh.
Ndipo watu waliowazunguka wakajipanga kuwakatisha tamaa watu wa Yuda na kuwafanya waogope walipokuwa wakiendelea na ujenzi.
5 Persia manghai Cyrus tue khui neh Persia manghai Darius kah ram duela Judah kah cilsuep te phae pah ham amih te olrhoep a paang thil uh.
Wakaajiri washauri kuwapinga katika kazi yao, nao wakaipinga mipango yao wakati wote wa utawala wa Koreshi mfalme wa Uajemi hadi wakati wa utawala wa Dario mfalme wa Uajemi.
6 Ahasuerus ram ah khaw a ram a moecuek vaengah Judah neh Jerusalem khosa taengah toenah ca a daek uh.
Mnamo mwanzo wa utawala wa Ahasuero, hao adui waliandika mashtaka dhidi ya watu wa Yuda na Yerusalemu.
7 Artaxerxes tue vaengah khaw Bishlam, Mithredath, Tabeel neh a pueipo a coih loh a daek bal. Anih kah a pueipo loh Persia manghai Artaxerxes taengla capat te Aramaih ca la a daek dongah Aramaih te koep a kong pah.
Pia katika siku za utawala wa Artashasta mfalme wa Uajemi, Bishlamu, Mithredathi, Tabeeli pamoja na wenzao waliandika barua kwa Artashasta. Barua hiyo iliandikwa kwa mwandiko wa Kiaramu na katika lugha ya Kiaramu.
8 Hlangcal boei Rehum neh cadaek Shimshai loh Jerusalem kawng te manghai Artaxerxes taengah ca a daek pah bal.
Rehumu afisa msimamizi na mwandishi Shimshai waliandika barua kwa Mfalme Artashasta dhidi ya watu wa Yerusalemu kama ifuatavyo:
9 Hlangcal boei Rehum, cadaek Shimshai neh Dinay hui a ngen rhoek, Tarplay boei rhoek, Persia rhoek, Babylon Erek, amih Almiy Susa,
Rehumu afisa msimamizi na mwandishi Shimshai, pamoja na wenzao, yaani mahakimu na maafisa walio juu ya watu kuanzia Tripoli, Uajemi, Ereki na Babeli, Waelami wa Shushani,
10 a tloe namtu te khaw boeilen tongmang Osnapper loh a khuen coeng. Amih te Samaria khopuei neh sok paem ah a khueh coeng.
na watu wengine ambao mheshimiwa Asur-Banipali aliwahamisha na kuwakalisha katika mji wa Samaria na mahali pengine Ngʼambo ya Mto Frati.
11 Manghai Artaxerxes amah taengla a pat ca kah a toeng he na tueihyoeih sok paem kah hlang taengla ha pawk coeng.
(Hii ndiyo nakala ya barua waliyompelekea.) Kwa Mfalme Artashasta, Kutoka kwa watumishi wako, watu wa Ngʼambo ya Mto Frati:
12 Nang taeng lamloh kaimih taengla aka luei Yahudi rhoek te manghai taengah khaw mingpha la om saeh. Jerusalem khopuei la boekoek neh halang ni a khuen uh. Vongtung aka thung long khaw vongtung te a coeng, a coeng uh vaengah khoengim te a tlaeng uh.
Yapasa Mfalme ajue kuwa Wayahudi waliopanda kuja kwetu kutoka kwenu, wamekwenda Yerusalemu nao wanaujenga upya ule mji wa uasi na uovu. Wanajenga kuta upya na kukarabati misingi yake.
13 Khopuei he a thung tih vongtung a coeng atah mangmu khaw, hlang mangmu khaw, cawn khaw thoo uh mahpawh. Manghai kah mangmu khaw a vaitah ni tila manghai taengah mingpha la om pawn saeh.
Zaidi ya hayo, mfalme yampasa ajue kwamba kama mji huu ukijengwa na kuta zake zikafanywa upya, hakutakuwa na ulipaji wa kodi wala ada au ushuru, hivyo hazina za mfalme zitaathirika.
14 Manghai im kah lungkaehtael te ka laeh uh van lamlong tah kaimih kongah manghai kah mingthae a hmuh ham khaw a rhoeprhui moenih. Te dongah ni kam pat uh tih manghai taengah kam mingpha sak uh.
Sisi sasa kwa kuwa tunawajibika kwa jumba la kifalme na kwamba siyo sawasawa kwetu kuona mfalme akidharauliwa, basi tunatuma ujumbe huu kumtaarifu mfalme,
15 Na pa rhoek kah cathut cabu nen khaw thoelh saeh lamtah cathut cabu khuiah na hmuh bitni. Khopuei he khaw boekoek khopuei, manghai neh paeng aka vaitah sak, khosuen khohnin lamloh a khui ah caemrhal aka saii, te dongah ni khopuei he a phae tila na mingpha bitni.
ili kwamba ufanyike uchunguzi kwenye kumbukumbu ya maandishi ya waliokutangulia. Katika kumbukumbu hizi utagundua kwamba mji huu ni wa maasi, unaowataabisha wafalme na majimbo, ni mahali pa maasi tangu zamani. Ndiyo maana mji huu uliharibiwa.
16 Khopuei he tung tih vongtung he coeng koinih sok paem kah khoyo hmatoeng he nang hamla om pawh tila kaimih loh manghai taengah kam ming sak.
Tunamjulisha mfalme kwamba kama mji huu ukijengwa na kuta zake zikifanywa upya, hutabakiwa na chochote Ngʼambo ya Mto Frati.
17 Manghai loh hlangcal boei Rehum, cadaek Shimshai neh Samaria kah aka om a hui a ngen taengah ol a mael tih, sok paem boeih te ngaimongnah om pawn saeh.
Mfalme alirudisha jibu hili: Kwa Rehumu, afisa msimamizi, mwandishi Shimshai na wenzenu wote wanaoishi katika Samaria na penginepo Ngʼambo ya Mto Frati: Salamu.
18 Kaimih taengla ca nan pat uh te kai taengah a tae tih a kong.
Barua mliyotutumia imesomwa na kutafsiriwa mbele yangu.
19 Kai lamloh hlangcal ka khueh tih a thoelh uh vaengah khopuei he khosuen khohnin lamloh manghai taengah lai a loh uh. A khuiah tloelhnah neh caemrhal a puek te a hmuh uh.
Nilitoa amri na uchunguzi ukafanyika na imegundulika kwamba mji huu una historia ndefu ya maasi dhidi ya wafalme na pamekuwa mahali pa maasi na uchochezi.
20 Manghai tlungluen rhoek khaw Jerusalem ah om uh tih sok paem boeih te a hung uh. Mangmu, hlang mangmu neh cawn khaw amih taengah ana paek uh coeng.
Yerusalemu umepata kuwa na wafalme wenye nguvu wakitawala nchi yote iliyo Ngʼambo ya Mto Frati, wakitoza kodi, ada na ushuru huko.
21 Hlang rhoek he paa sak ham hlangcal ka khueh coeng. Kai lamloh hlangcal a om hlan ah khopuei te thung uh boel saeh.
Kwa hiyo toeni amri kwa watu hawa wasimamishe ujenzi, ili kwamba mji huu usiendelee kujengwa hadi nitakapoagiza.
22 He dongah a saii ham te dalrhanah a om khaw ngaithuen uh. Balae tih manghai vaitah sak ham pocinah a pungtai mai eh.
Mwe waangalifu msipuuze jambo hili. Kwa nini kuruhusu tishio hili kuendelea na kusababisha hasara kwa ufalme?
23 Manghai Artaxerxes kah ca a toeng te Rehum, cadaek Shimshai neh a hui rhoek taengah a tae van neh tokrhat la Jerusalem kah Yahudi taengla cet uh tih amih te thadueng neh kutrham neh a paa sak uh.
Mara waliposomewa nakala ya barua ya Mfalme Artashasta, Rehumu na Shimshai aliyekuwa mwandishi na wenzao, walikwenda mara moja kwa Wayahudi huko Yerusalemu na kuwalazimisha kwa nguvu kusimamisha ujenzi.
24 Jerusalem Pathen im kah imsak te paa tangloeng tih Persia manghai Darius ram kah kum bae hil paa van.
Hivyo kazi ya ujenzi wa nyumba ya Mungu huko Yerusalemu ikasimamishwa kabisa hadi mwaka wa pili wa utawala wa Dario mfalme wa Uajemi.

< Ezra 4 >