< Ezekiel 35 >

1 BOEIPA ol he kai taengla ha pawk bal tih,
Neno la Bwana likanijia kusema:
2 “Hlang capa aw, Seir tlang te na maelhmai khueh thil lamtah tonghma thil lah.
“Mwanadamu, elekeza uso wako juu ya mlima Seiri, utabiri dhidi yake
3 Ka Boeipa Yahovah loh a thui he a taengah thui pah. Kai loh Seir tlang nang te kam pai thil. Nang taengla ka kut kan thueng vetih nang te khopong neh rhaerhap la kang khueh ni.
na useme: ‘Hili ndilo Bwana Mwenyezi asemalo: Mimi ni kinyume nawe, ee mlima Seiri, nami nitanyoosha mkono wangu dhidi yako na kukufanya ukiwa na usiyekaliwa na watu wala kulimika.
4 Na khopuei te imrhong ka khueh vetih namah te khopong la na om vaengah kai he BOEIPA la nan ming bitni.
Nitaifanya miji yako kuwa magofu nawe utakuwa ukiwa. Ndipo utakapojua kuwa Mimi ndimi Bwana.
5 Nang ham kumhal kah thunkha thunhling la om ham neh thaesainah a tloihsoi tue kah a rhainah tue ah tah Israel ca rhoek te cunghang kut ah na lun.
“‘Kwa sababu ulificha moyoni uadui wa siku nyingi nawe ukawatoa Waisraeli wauawe kwa upanga wakati wa maafa yao, wakati adhabu yake ilipofikia kilele chake,
6 Te dongah kai tah hingnah ni tite ka Boeipa Yahovah kah olphong ni. Na thii ham ka saii vetih thii loh namah n'hloem ni. A thii pawt te na hmuhuet dongah thii loh namah n'hloem ni.
kwa hiyo hakika kama niishivyo, asema Bwana Mwenyezi, nitakutia katika umwagaji damu nao utakufuatia. Kwa kuwa hakuchukia kumwaga damu, kumwaga damu kutakufuatia.
7 Seir tlang te khopong phoeikah khopong la ka khueh vetih te lamkah aka voei aka bal khaw ka saii pueng ni.
Nitaufanya Mlima Seiri ukiwa na usiokaliwa na watu wala kulimika na kuukatilia mbali na wote wanaokuja na wanaokwenda.
8 A tlang te a rhok ka hah sak ni. Na som neh na kolrhawk khaw, na sokca boeih te cunghang dongah a rhok la cungku uh ni.
Nitaijaza milima yenu kwa watu wake waliouawa, wale waliouawa kwa upanga wataanguka juu ya vilima vyako na katika mabonde yako na katika makorongo yako yote.
9 Nang te kumhal kah khopong la kang khueh tih na khopuei kah khosa loh kho a sak pawt vaengah kai he BOEIPA la nan ming uh bitni.
Nitakufanya ukiwa milele, watu hawataishi katika miji yako. Ndipo utakapojua kuwa Mimi ndimi Bwana.
10 ‘Namtom rhoi neh khohmuen rhoi khaw ka taengah om vetih m'pang uh bitni,’ na ti sitoe cakhaw BOEIPA om lah lahko te.
“‘Kwa sababu umesema, “Mataifa haya mawili na nchi hizi zitakuwa zetu nasi tutazimiliki,” ingawa hata mimi Bwana nilikuwa huko,
11 Te dongah kai tah hingnah ni tite ka Boeipa Yahovah kah olphong ni. Na thintoek tarhing neh na thatlainah tarhing ah kan saii ni. Na hmuhuetnah neh amih na saii dongah nang lai kan tloek vaengkah bangla amih taengah ka phoe ni.
kwa hiyo hakika kama niishivyo, asema Bwana Mwenyezi, nitakutenda kwa kadiri ya hasira na wivu uliouonyesha katika chuki yako juu yao nami nitafanya nijulikane miongoni mwao wakati nitakapokuhukumu.
12 Te vaengah kai he BOEIPA la nan ming bitni. Nang kah kokhahnah cungkuem te ka yaak coeng. Israel tlang rhoek te na voek vaengah tah, “Pong tah pong uh tih kaimih taengah cakkoi la tloeng uh coeng,’ na ti.
Ndipo utakapojua kuwa Mimi Bwana nimesikia mambo yote ya dharau uliyosema dhidi ya milima ya Israeli. Ulisema, “Wamefanyika ukiwa na kutiwa mikononi mwetu tuwararue.”
13 Na ka nen tah kai taengah na khuet van tih na ol neh kai taengah na rhoekoe aih khaw kamah loh ka yaak ta.
Ulijigamba dhidi yangu na kusema maneno dhidi yangu bila kujizuia, nami nikayasikia.
14 Ka Boeipa Yahovah loh he ni a thui. Diklai pum ko a hoe vaengah nang te khopong kang khueh ni.
Hili ndilo Bwana Mwenyezi asemalo: Wakati dunia yote inashangilia nitakufanya ukiwa.
15 Israel imkhui kah rho a pong vaengkah te na kohoenah van dongah nang te kan saii ni. Seir tlang neh Edom pum te khopong la boeih na om vaengah kai he BOEIPA la a ming uh bitni,” a ti.
Kwa sababu ulishangilia wakati urithi wa nyumba ya Israeli ulipofanyika ukiwa, hivyo ndivyo nitakavyokutendea. Utakuwa ukiwa, ee mlima Seiri, wewe na Edomu yote. Kisha ndipo watajua kuwa Mimi ndimi Bwana.’”

< Ezekiel 35 >