< Ezekiel 29 >
1 Kum rha dongkah hla rha hnin hlai nit vaengah BOEIPA ol te kai taengla ha pawk tih,
Katika siku ya kumi, katika mwezi wa kumi siku ya kumi na moja ya mwezi, neno la Yahwe likanijia, kusema,
2 “Hlang capa aw, Egypt manghai Pharaoh te na maelhmai khueh thil lamtah amah neh Egypt boeih te tonghma thil.
“Mwanadamu, weka uso wako juu ya Farao, mfalme wa Misri; toa unabii juu yake na juu ya Israeli yote.
3 Voek lamtah ka Boeipa Yahovah loh a thui he thui pah. A sokko tuilung ah aka kol tuihnam puei, Egypt manghai Pharaoh nang kam pai thil coeng ne. Amah long tah kai taengah, 'Ka sokko he kai loh kamah kah la ka khueh,’ a ti.
Nena na sema, 'Bwana Yahwe asema hivi: Tazama! Ni juu yako, Farao, mfalme wa Misri. Wewe joka kubwa ambaye ujifichaye kati ya mto, husema, “Mto wangu ni wangu mwenyewe. Nimeufanya kwa ajili yangu mwenyewe.”
4 Thisum, thisum neh na kam ah kan dueh vetih na sokko kah nga te na lip dongah ka ben ni. Na sokko khui lamloh nang kan doek vetih na sokko kah nga boeih khaw na lip dongah kap ni.
Kwa kuwa nitaweka kalabu katika taya zako, nasamaki za mto wako zitashikamana na magamba yako; nitakuinua juu kutoka kati ya mto wako karibu na samaki zote za mto walioshikamana na maganda yako.
5 Namah neh na sokko nga boeih khaw na khuikah khosoek ah kam phap vetih, lohma tlai ah na cungku ni. Nang n'khoem pawt vetih n'coi mahpawh. Diklai mulhing ham neh vaan kah vaa ham nang te cakok la kam paek ni.
Nitakutupa chini kwenye jangwa, wewe pamoja na samaki wako wote kutoka kwenye mto wako. Utaanguka kwenye shamba la wazi; hutakusanya wala kuinua. Nitakupatia kama chakula kwa viumbe hai vya dunia na kwenye ndege wa angani.
6 Te vaengah Egypt khosa boeih loh BOEIPA kamah ni tila a ming uh ni. Amih te Israel imkhui kah capu conghol la om coeng.
Kisha wote wakaao Misri watajua kwamba mimi Yahwe, kwa sababu wamekuwa mwanzi wa kutegemewa hata kwenye nyumba ya Israeli.
7 Amih loh nang te na kut, kut ah n'tuuk vaengah na paep tih amih kah laengpang boeih na phen pah. Nang dongah a hangdang vaengah nim te na khaem sumsoek tih amih kah cinghen boeih na phit sak.
Wakati watakapokushika kwa mkono wao, ulivunjika na kurarua wazi mabega yao; na watakapojifunza juu yako, ulivunjika, na kusababisha miguu yao kutokuwa imara.
8 Te dongah ka Boeipa Yahovah loh he ni a. thui. Kai loh nang taengah cunghang kang khuen vetih nang lamkah hlang neh rhamsa khaw ka thup ni.
Kwa hiyo Bwana Yahwe asema hivi: Tazama! nitaleta upanga juu yako. Nitawakatilia mbali wote mwanadamu na mnyama mbali nawe.
9 Tedae, 'Sokko te kamah ham tih kamah loh ka saii,’ a ti dongah Egypt khohmuen te khopong neh imrhong la a poeh vaengah BOEIPA kamah he a ming uh bitni.
Hivyo nchi ya Misri itakuwa ukiwa na jangwa. Ndipo watakapojua kwamba mimi ni Yahwe, kwa sababu jitu la kutisha liliseama, “Huu mto ni wangu, kwa kuwa nimeufanya mimi.”
10 Te dongah namah neh na sokko khaw ka pai thil coeng ne. Egypt kho te Syene Migdol lamloh Kusah khorhi due kholing khopong kah imrhong la ka khueh ni.
Kwa hiyo, tazama! Ni juu yako na juu ya mto wako, hivyo nitaitoa nchi ya Misri juu ya ukiwa na jangwa, na utakuwa nchi yenye jangwa kutoka Migdoli hata Sewene na mipaka ya Kushi.
11 Te longah hlang kho loh paan pawt vetih rhamsa kho long khaw, te longah paan mahpawh. Kum sawmli khuiah khosa om mahpawh.
Hakutakuwa na mguu wa mtu kupitia, na hakuna mguu wa wanyama pori watakao upitia. Haitakuwa makao kwa miaka arobaini.
12 Egypt khohmuen te khopong la ka khueh vaengah diklai hman ah pong ni. A khopuei rhoek khaw khopuei rhoek lakli ah a khah vetih kum sawmli khopong la om ni. Egypt te namtom taengla ka taek ka yak vetih amih te diklai ah ka haeh ni.
Kwa kuwa nitaifanya nchi ya Misri kuwa ukiwa kati ya nchi zilizoharibiwa, na miji yake kati ya miji isiyotumika itakuwa ukiwa kwa miaka arobaini; kisha nitaitawanya Misri miongoni mwa mataifa, nitawatapanya kati ya nchi mbali mbali.
13 Tedae ka Boeipa Yahovah loh he ni a. thui. Kum sawmli a thok vaengah Egypt te ka taek ka yak nah pilnam taeng lamloh pahoi ka coi ni.
Kwa kuwa Bwana Yahwe asema hivi: Mwisho wa miaka arobaini nitaikusanya Misri kutoka kwa watu miongoni mwao wale waliokuwa wametawanyika.
14 Egypt thongtla te ka mael puei vetih amih te amah tuikong khohmuen kah Parthros khohmuen la ka bal sak ni. Te vaengah tlarhoel ram la pahoi om uh ni.
Nitawarudisha wageni wa Misri na kuwarudisha hata mkoa wa Pathrosi, hata kwenye nchi ya asili yao. Kisha huko watakuwa ufalme wa chini.
15 Ram tom lakah tlarhoel la om vetih namtom soah koep cungphoek mahpawh. Amih te ka muei sak daengah ni namtom soah a taemrhai pawt eh.
Utakuwa chini ya falme, na hautajiinua tena juu ya mataifa. Nitawapunguza hivyo hawatatawala tena juu ya mataifa.
16 Te vaengah a taengla amamih hooi uh tih thaesainah aka poek rhoek kah pangtungnah la Israel imkhui he om voel mahpawh. Te phoeiah Kai he, ka Boeipa Yahovah ni tila a ming uh bitni,” a ti.
Wamisri hawatakuwa sababu kwa ajili ya imani kwa ajili ya nyumba ya Israeli. Badala yake, watakuwa kumbusho la uovu ambao Israeli umeufanya walipogeukia Misri kwa ajili ya msaada. Kisha watajua kwamba mimi ni Bwana Yahwe.”'
17 Kum kul kum rhih, hla lamhma hnin at dongla a om vaengah BOEIPA ol kai taengla ha pawk tih,
Kisha ikawa katika mwaka wa ishirini na saba siku ya kwanza ya mwezi, lile neno la Yahwe likanijia, kusema,
18 “Hlang capa aw, Babylon manghai Nebukhanezar loh Tyre te a caem kah thohtatnah a len neh a thohtat sak coeng. A lu khaw boeih tlong tih laengpang boeih thool coeng. Tedae amah ham neh a caem ham thapang om hae pawh. Tyre lamkah thohtatnah lamloh a taengah a thohtat sak.
“Mwanadamu, Nebukadreza mfalme wa Babeli amelinda jeshi lake kufanya kazi ngumu juu ya Tiro. Kila kichwa kilitiwa upara, na kila bega lilifanywa mali ghafi. Kisha yeye na jeshi lake hawakupokea malipo kutoka Tiro kwa kazi ngumu aliyokuwa ameimaliza dhidi yake.
19 Te dongah ka Boeipa Yahovah loh he ni a. thui. Kai loh Babylon manghai Nebukhanezar taengah Egypt khohmuen ka paek coeng he. Te vaengah a hlangping te a khuen pah vetih a kutbuem khaw a buem pah ni. A maeh te a poelyoe pah vetih a caem ham thapang la om ni.
Kwa hiyo Bwana Mungu asema hivi, 'Tazama! ninawapatia Nebukadreza nchi ya Misri mfalme wa Babeli, na atachukua utajiri wake, kuziteka nyara milki zake, na kuchukua yote atakayoyakuta huko; nayo yatakuwa mshahara wa jeshi lake.
20 A taengah a thohtat te khaw kai ham a saii uh dongah, a thaphu la anih te Egypt khohmuen ka paek. He tah ka Boeipa Yahovah kah olphong ni.
Nimempatia nchi ya Misri kama mshahara kwa ajili ya kazi waliyonifanyia-hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo.
21 Te khohnin ah Israel imkhui ham ki cawn ni. Te vaengah nang te amih lakli ah ka ongnah ka paek vetih BOEIPA kamah he m'ming uh ni,” a ti.
siku hiyo nitachipusha pembe kwa ajili ya nyumba ya Israeli, na nitakufanya uzungumze kati yao, ili kwamba wajue yakwamba mimi ni Yahwe.”'