< ESTHER 7 >

1 Manghai neh Haman te manghainu Esther neh ok hamla cet.
Basi mfalme na Hamani wakaenda kula chakula pamoja na Malkia Esta.
2 Buhkoknah a hnin bae dongkah misurtui a ok bal vaengah tah manghai loh Esther te, “Manghainu Esther nang kah huithuinah te menim? Nang ham m'paek bitni. Na kueknah te ram rhakthuem hil pataeng han suem bitni,” a ti nah.
Walipokuwa wakinywa mvinyo katika siku ya pili, mfalme akauliza tena, “Malkia Esta, ni nini haja yako? Utapewa. Ombi lako ni nini? Hata nusu ya ufalme, utapewa.”
3 Esther manghainu loh a doo tih, “Manghai nang mikhmuh ah mikdaithen ni ka hmuh atah, manghai ham a then mak atah ka huithuinah bangla, ka kueknah bangla, kamah neh ka pilnam kah hinglu ham kai taengah bet n'rhen mai.
Kisha Malkia Esta akajibu, “Kama nimepata kibali kwako, ee mfalme, tena kama inapendeza utukufu wako, nijalie maisha yangu, hii ndiyo haja yangu. Pia uokoe watu wangu, hili ndilo ombi langu.
4 Kamah khaw, ka pilnam khaw, mitmoeng sak ham neh ngawn ham khaw, milh sak ham n'yoih uh coeng. Salnu, salpa bangla n'yoih uh. Manghai kah pocinah ham rhal neh a tluk pawt dongah hil ka phah,” a ti nah.
Kwa kuwa mimi na watu wangu tumeuzwa kwa kuangamizwa, kuchinjwa na kuharibiwa. Kama tungalikuwa tumeuzwa tu kuwa watumwa wa kiume na wa kike, ningalinyamaza kimya, kwa sababu shida kama hii isingalitosha kumsumbua mfalme.”
5 Manghai Ahasuerus te cal tih Esther manghainu taengah, “Anih te unim? Anih te melae? Te bang te saii ham a lungbuei aka hah te unim?” a ti nah.
Mfalme Ahasuero akamuuliza Malkia Esta, “Ni nani huyu? Yuko wapi mtu huyu aliyethubutu kufanya jambo kama hili?”
6 Te vaengah Esther loh, “Tekah hlang tah rhal neh thunkha boethae Haman ni,” a ti nah. Te dongah Haman tah manghai neh manghainu mikhmuh ah let coeng.
Esta akasema, “Mtesi na adui ni huyu mwovu Hamani.” Hamani alifadhaika mbele ya mfalme na malkia.
7 Manghai khaw buhkoknah misurtui kung lamloh a kosi neh thoo tih impuei dum la cet. Tedae Haman tah boethae loh manghai taeng lamkah amah a khah te a hmuh dongah a hinglu kongah manghainu Esther te hloep ham pai pueng.
Mfalme akainuka kwa ghadhabu, akaacha mvinyo wake, akaenda kwenye bustani ya jumba la kifalme. Lakini Hamani, akitambua kwamba mfalme ameshaamua hatima yake, alibaki nyuma kumsihi Malkia Esta aokoe maisha yake.
8 Te phoeiah manghai te impuei dum lamloh buhkoknah im kah misurtui kung la mael. Te vaengah Haman te Esther kah a thingkong soah ana bakop pah. Te dongah manghai loh, “Im khui kah kamah taeng nawn ah manghainu te na khoh ham bal a?” a ti nah. Manghai ka lamloh ol a thoeng neh Haman maelhmai khaw a thing uh coeng.
Mara mfalme aliporudi kutoka bustani ya jumba la kifalme na kuja kwenye ukumbi wa karamu, Hamani alikuwa akijitupa juu ya kiti mahali ambapo Esta alikuwa akiegemea. Mfalme akasema kwa nguvu, “Je, atamdhalilisha malkia hata huku nyumbani akiwa pamoja nami!” Mara neno lilipotoka kinywani mwa mfalme, walifunika uso wa Hamani.
9 Te vaengah imkhoem rhoek khui lamkah pakhat Harbona loh manghai mikhmuh ah, “Haman loh Mordekai ham thing a saii coeng ke. Te te Haman im ah dong sawmnga a sang la pai tih manghai ham tah hnothen la a thui,” a ti nah. Te dongah manghai loh, “Te dongah te amah kuiok sak,” a ti nah.
Kisha Harbona, mmoja wa matowashi wanaomtumikia mfalme, akasema, “Mahali pa kuangika watu penye urefu wa mita ishirini na mbili pako nyumbani mwa Hamani. Alikuwa amepatengeneza kwa ajili ya Mordekai, ambaye alizungumza ili kumsaidia mfalme.” Mfalme akasema, “Mwangikeni juu yake!”
10 Mordekai ham a tawn pah thing dongah Haman te a kuiok sak uh van daengah ni manghai kah kosi khaw a daeh pueng.
Kwa hiyo wakamtundika Hamani mahali alipokuwa ameandaa kwa ajili ya Mordekai. Ndipo ghadhabu ya mfalme ikatulia.

< ESTHER 7 >