< 2 Khokhuen 22 >

1 Jerusalem khosa rhoek loh Jehoram capa a noe Ahaziah te anih yueng la a manghai sakuh. Lamhma rhoek te tah rhaehhmuen la Arab rhoek neh aka kun caem loh boeih a ngawn. Te dongah Judah manghai Jehoram capa Ahaziah te manghai.
Wakaaji wa Yersusalemu wakamfanya Ahazia, mwana mdodgo wa Yehoramu, mfalme katika nafasi yake, kwa maana kundi la watu ambalo lilikuja na Waarabu katika ngome lilikuwa limewauwa wanaye wakubwa wote. Kwa hiyo Ahazia mwana wa Yehoramu, mfalme wa Yuda, akawa mfalme.
2 Ahaziah te sawmli kum nit a lo ca vaengah manghai tih Jerusalem ah kum at manghai. A manu ming tah Omri canu Athaliah ni.
Ahazia alikuwa na umri wa mika arobaini na mbili alipoanza kutawala; alitawala kwa mwaka mmoja katika Yerusalemu. Jina la mama yake aliitwa Athalia; alikuwa binti Omri.
3 A manu tah anih poehlip sak ham aka uenkung la a om dongah anih khaw Ahab imkhui kah longpuei ah ni a. pongpa.
Pia Ahazia alitembea katika njia za nyumba ya Ahabu kwa maana mama yake alikuwa mshauri katika kufanya mamabo maovu.
4 Ahab imkhui bangla BOEIPA mikhmuh ah boethae a saii. Amih te a napa a dueknah hnukah tah anih te kutcaihnah ham anih aka uenkung la om uh.
Ahazia alifanya yaliyokuwa maovu katika macho ya Yahwe, kama nyumba ya Ahabu walivyokuwa wakifanya, kwa maana walikuwa washauri wake baada ya kifo cha baba yake, hadi kuangamia kwake.
5 Amih kah cilsuep te a vai van dongah Ramothgilead kah Aram manghai Hazael taengah caemtloek hamla Israel manghai Ahab capa Jehoram te a caeh puei dae Arammi rhoek loh Joram te a ngawn uh.
Pia aliufuata ushauri wao; akaenda pamoja na Yoramu mwana wa Ahabu, mfalme wa Israeli, kwa ajili ya kupigana dhidi ya Hazaeli, mfalme wa Aramu, huko Ramothi-gileadi. Waaramu wakamjeruhi Yoramu.
6 Te dongah hmasoe lamloh hoeih hamla Jezreel la mael. Te khaw Aram manghai Hazael te a vathoh vaengah ni anih te Ramah ah a ngawn uh. Te dongah Judah manghai Jehoram capa Azariah tah Ahab capa Jehoram a tloh te sawt hamla Jezreel la suntla.
Yoramu akaraudi Yezreeli kwa ajili ya kuponywa majeraha ambayo walipa huko Rama, alipopigana dhidi ya Hazaeli, mfalme wa Aramu. Kwa hiyo Ahazia mwana wa Yehoramu, mfalme wa Yuda, akaenda chini Yezreeli ili kumuona Yoramu mwana wa Ahabu, kwa sababu Yoramu alikuwa amejeruhiwa.
7 Joram taengla a pawk te Pathen taeng lamloh Ahaziah kah cungkunah a om pah tih a pha neh Nimshi capa Jehu taengla Jehoram te a khuen. Anih te Ahab imkhui saii sak hamla BOEIPA loh a koelh.
Sasa uharibifu wa Ahazia ulikuwa umeletwa na Mungu kupitia kutembelewa na Yoramu. Alipokuwa amewasiri, alienda pamoja na Yeharamu ili kumvamia Yehu mwana wa Nimshi, ambaye Yahwe alikuwa amemchagua kwa ajili ya kuingamiza nyumba ya Ahabu.
8 Jehu loh Ahab imkhui ah lai a tloek van vaengah tah Judah mangpa rhoek neh Ahaziah taengla aka thotat Ahaziah kah paca boeina te a hmuh uh tih amih te a ngawn.
Ikawa kwamba, Yehu alikuwa akichukua hukumu ya Mungu juu ya nyumba ya Ahabu, kwamba aliwakuta viongozi wa Yuda na wana wa ndugu zake Ahazia wakimtumikia Ahazia. Yehu akawauwa.
9 Ahaziah te a tlap uh dae Samaria ah a thuh vaengah anih te a tuuk uh. Te phoeiah anih te Jehu taengla a khuen tih a duek sak uh phoeiah a up uh. Te vaengah, “Anih he a thinko boeih neh BOEIPA aka toem Jehoshaphat capa ni,” a ti uh. Te dongah Ahaziah imkhui kah thadueng pakhat khaw ram hamla a nuen moenih.
Yehu akamtafuta Ahazia; Wakamkamata akiwa amejificha katika Samaraia, wakamleta kwa Yehu, na wakamuuwa. Kisha wakamzika, kwa maana walisema, “Ni mwana wa Yehoshafati, ambaye alimtafuta Yahwe kwa moyo wake wote.” Kwa hiyo nyumba ya Ahazia haikuwa na nguvu zaidi kwa ajili ya kuutawala ule ufalme.
10 Ahaziah manu Athaliah loh a capa a duek te a hmuh vaengah tah thoo tih ram kah tiingan boeih te Judah imkhui ah a thui.
Sasa Athalia, mama wa Ahazia, akaoana kwamba mwanaye alikuwa amekufa, akaianuka na kuwauwa watoto wote wa kifalme katika nyumba ya Yehu.
11 Tedae Joash capa Ahaziah te manghai canu Jehoshabeath loh a loh. Anih te a ngawn uh manghai koca rhoek lakli lamloh a huen tih baiphaih imkhui ah a cakhoem neh anih te a khueh. Anih te khosoih Jehoiada yuu, manghai Jehoram canu Jehoshabeath loh a thuh. Anih te Athaliah mikhmuh lamkah tah Ahaziah ngannu la a om dongah anih te duek sak pawh.
Lakini Yehoshaba, binti wa mfalme, akamchukua Yoashi, mwana wa Ahazia, na akamvutia mbali kutoka miongoni mwa wana wa mfalme ambao waliuawa. Akamuweka yeye na mlezi wake katika chumba cha kulala. Kwa hiyo Yehoshaba, binti wa mfalme Yehoramu, mke wa Yehoiada kuhani (kwa maana alikuwa dada yake Ahazia), akamficha asimuone Athalia, kwa hiyo Athalia hakumuuwa.
12 Athaliah loh khohmuen a manghai thil vaengah amih neh Pathen im ah om tih kum rhuk thuh uh.
Alikuwa pamoja nao, wakiwa wamejificha katika nyumba ya Mungu kwa miaka sita, Athalia alipotawala juu ya Yuda.

< 2 Khokhuen 22 >