< 2 Khokhuen 16 >
1 Asa ram kah sawmthum kum rhuk vaengah Israel manghai Baasha loh Judah te a paan tih Judah manghai Asa taengla kunael vuenva sak pawt ham Ramah te a sak.
Katika mwaka wa thelathini na sita wa utawala wa Asa, Baasha, mfalme wa Israeli, akatenda kwa ukatili dhidi ya Yuda na akaujenga Rama, ili kwamba asimruhusu mtu yeyote kutoka wala kuingia katika nchi ya Asa, mfalme wa Yuda.
2 Asa loh cak neh sui te BOEIPA im neh manghai im kah thakvoh khui lamloh a poh tih Damasku ah kho aka sa Aram manghai Benhadad taengla a pat.
Kisha Asa akaitoa fedha na dhahabu nje ya vyumba vya kuhifadhia katika nyumba ya Yahwe na nje ya nyumba ya mfalme, na akaituma kwa Ben Hadadi mfalme wa Aramu, ambaye aliishi Dameski. Akasema, pawe na agano kati yako na mimi, kama palivyokuwa na agano kati ya baba yangu na baba yako. Angalia, nimekutumia fedha na dhahabu.
3 “Paipi he kai laklo neh nang laklo ah, a pa laklo neh na pa laklo ah om tih nang hamla cak neh sui kam pat coeng ne. Israel manghai Baasha taengla cet lamtah na paipi phae laeh. Te vaengah kai taeng lamloh cet saeh,” a ti nah.
Livunje agano lako na Baasha, mfalme wa Israeli, ili kwamba aniache.”
4 Te dongah Benhadad loh manghai Asa te a rhoi tih anih ham te Israel khopuei rhoek ah tatthai mangpa rhoek te a tueih pah. Te vaengah Ijon, Dan, Abelmaim neh Naphtali khopuei rhuengim te boeih a ngawn.
Ben Hadadi akamsikiliza mfalme Asa na kutuma maakida wa majeshsi dhidi ya miji ya Israeli. Wakavamia Iyoni, Dani, Abelimaimu, na miji yoye ya kuhifadhia ya Naftali.
5 Baasha loh a yaak van neh Ramah a sak te a toeng tih a bitat te a paa sak.
Ikawa kwamba Baasha aliposikia hili, akaacha kuujenga Rama, na akaistisha kazi yake.
6 Te vaengah manghai Asa loh Judah pum te a khuen tih Baasha loh a sak nah Ramah lungto neh thing te a phueih pah. Te nen te Geba neh Mizpah a sak.
Kisha Asa mfalme akawachukua Yuda wote pamoja naye. Wakayabeba mawe na mbao za Rama ambazo Baasha alikuwa anajengea ule mji. Kisha Mfalme Asa alitumia vifaa hivyo vya ujenzi kwa ajili ya kuijenga Gaba na Mispa.
7 Te vaeng tue ah khohmu Hanani tah Judah manghai Asa taengla pawk tih anih te, “Aram manghai dongah na hangdang tih na Pathen BOEIPA dongah na hangdang pawh. Te dongah manghai Aram kah caem tah na kut lamloh loeih coeng.
Wakati huo Hanani mwonaji akaenda kwa Asa, mfalme wa Yuda, na akamwambia, “Kwa sababu umemtegemea mfalme wa Aramu, na hukumtegemea Yahwe Mungu wako, jeshi la mfalme wa Aramu limetoroka nje ya mikono yako.
8 Kushi neh Lubim khaw a cungkuem dongah tatthai la a om uh moenih a? Leng neh, marhang caem neh muep ping dae BOEIPA dongah na hangdang dongah ni amih te nang kut ah m'paek.
Waethiopia na Walubi hawakuwa jesi kubwa, wenye magari mengi na wapanda farasi wengi? Na bado, kwa sababau ulimtegemea Yahwe, alikupa ushindi juu yao.
9 Amah taengah rhuemtuet la a thinko aka hong te moem hamla BOEIPA loh diklai pum ah a mik a van sak thikthuek. Tahae ah na pavai ngawn cakhaw tahae lamloh na taengah caemtloek om coeng,” a ti nah.
Kwa maana macho ya Yahwe hukimbia kila mahali katika dunia yote, ili kwamba ajioneshe mwenyewe shujaa kwa niaba ya wale amabao mioyo yao ni mikamilifu kumwelekea yeye. Lakini umetenda kipumbavu katika jambo hili. Kwa maana tangu sasa na kuendelea, utakuwa na vita.” Kisha Asa akamkasirikia mwonaji, akamuweka gerezani, kwa maana alikuwa na hasira naye juu ya jambao
10 Tedae Asa te khohmu taengah hue a sak tih anih taengkah a thintoek ah anih te hloong im khuila a khueh. Te vaeng tue ah Asa loh pilnam te a neet.
hili. Wakati huo huo, aliwagandamiza baadhi ya watu
11 Asa olka a kung neh a dong he khaw Judah neh Israel kah manghai cabu khuiah a daek uh ne.
Tazma, matendo ya Asa, kutoka mwanzo hadi mwisho, tazama, yameandikwa katika kitabu cha wafalme wa Yuda na Israeli.
12 Asa kah a ram te sawmthum kum ko vaengah anih te tloh loh a dom. A kho dongkah a tloh te a so duela a om pah. A tlohtat khuiah pataeng aka hoeih sak ham BOEIPA te a toem moenih.
Katika mwaka wa thelathini na tisa wa utawala wake, Asa alipata ugnjwa kwenye miguu yake; ugonjwa wake ulikuwa mkali sana. Hata hivyo, hakutafuta msaada kutoka kwa Yahwe, lakini kutoka kwa waganga tu.
13 Asa khaw a napa rhoek taengah khoem uh tih a manghai te sawmli kum khat a lo vaengah duek.
Asa akalala pamoja na babu zake; alikufa katika mwaka wa arobaiani na moja wa utawala wake. Wakamzika katika kaburi lake, ambalo alilichimba mwenyewe katika mji wa Daudi.
14 Anih te amah kah phuel ah ah a up uh. Te te amah loh David khopuei ah a vueh. Anih te thingkong dongah a yalh sak uh tih botui neh si bibi neh a comluem a thungnom tih a vuei. Anih ham hmai len muep a hueng uh.
Walimlaza juu ya kitanda kilichokuwa kimewekewa manukato na aina mbali mbali ya dawa zilizotayarishwa na wale mafundi wa manukato. KIsha wakatengeneza moto kwa heshima yake.